Dar es Salaam kila baada ya mita tatu kuna ndoo ya maji na kitakasa mikono, hivi mbona Marekani utaratibu huu umewashinda, au ndoo kwao ni ghali sana?

Kuna ndoo kwa sababu hakuna bomba. Nchi zilizoendelea kila sehemu ni bomba. Na zaidi njia kuu ya kuenea kwa virus wa korona ni msongamano. Hata unawe kila sekunde kama upo kwenye msongamano ni bure. Tanzania imeamua kufanya usanii kwenye kukabiliana na virus. Wamechagua njia rahisi ya kunawa mikono na wakakwepa njia ngumu ya kuepuka misongamano. Hii ni hatari sana.
Kwahiyo wanabomba la maji tiririka na sabuni kila baada ya mita tatu nje ya kila jengo, duka na ofisi?
 
Kwenye nyumba zao zote kuna mabomba. Ukishakuwa na bomba ndani huhitaji kuweka ndoo barabarani. Hii ndiyo tabu ya kuzaliwa na kukulia sehemu moja yenye shida na umaskini. Unafikiri dunia yote watu wanaishi kwa shida kama wewe.
Kwahiyo wanakata mikono yao kwa shoka kisha wanampa mwenye jengo, duka au ofisi ili aingie nayo ndani akaioshe halafu anawarudishia wanaishona kisha ndio wanaingia ndani ya jengo? Au wanafanya uchawi upi? Na mpita njia ambae hana nia ya kuingia kwenye jengo ila anataka ajitakase nae anafanya process hiyo ya kukata mikono kwa panga na kumkabidhi mwenye jengo akamuoshee ndani kisha amrudishie?
 
hapo umedanganya,ofisi nyingi hata huko ulaya utaratibu wa sehemu za kunawa hupo chooni ndo utakuta sehemu ya kunawa.kwa mfumo tulio weka sisi uwezi kuingia sehemu yoyote lazima unawe.
kuna mda watanzaniatu ujinga wa kuona kila tunalo fanya sio zuri kuliko la mzungu


Sent from my iPhone using JamiiForums
Ulaya na Marekani vyoo viko vya kutosha.
 
🤣🤣🤣 kwa kweli we needed this to cheer us up

Tuwapelekee hii technology hasa ile ya kufungua koki kwa mlio wa simu,ni super.
 

Attachments

  • 74183903-4248-4826-A0E4-5393B4F56611.MP4
    8.2 MB
Mkuu mbona una kichwa kigumu? Nimekuambia maji tiririka ni substitute ya hand sanitizer.Hata hapa dar ukienda ofisi za watu wenye pesa zao,hawajaweka ndo mlangoni bali wameweka sanitizer.masikini wazio na uwezo kununua sanitizer ndo tunatumia ndoo za maji tiririka.Pia kwa mfano ukija kwangu ambapo nina mabomba yanayotoa maji 24/7 hutakuta ndoo
Unaweza ukachamba kisha ukanawa kwa sanitizer kisha ukala ugali?
 
Zanini wakati kila mtu ana sanitizer (alcohol) yake kwenye pochi? Sanitizer ya bei ya chini kabisa ni dola 15 shilingi ngapi kwa bongo?
.
Huku hata kuchamba kwa kushika ny'a hakupo.
.
Hizo koki za kwenye hivyo vindoo vya dola mbili ni kila mtu anajifungulia au kuna mtu special anawafungulia?
Uliwasearch wote mifukoni mwao ukaviona hivyo visanitizer au umetumia uchawi gani?
 
Maji hayaui kirusi hata unawe ziwa Victoria lote hafi ng'o!
Kinachoua ni ile chemical reaction iliyoko kwenye sanitizers
Kwani unapoambiwa tuna nawa maji na sabuni huwa unaelewa nini? Na kwa uelewa wako sabuni haina hiyo chemical (gwajima’s amfifiro)yenye kuua virusi?
 
Kwahiyo wanakata mikono yao kwa shoka kisha wanampa mwenye jengo, duka au ofisi ili aingie nayo ndani akaioshe halafu anawarudishia wanaishona kisha ndio wanaingia ndani ya jengo? Au wanafanya uchawi upi? Na mpita njia ambae hana nia ya kuingia kwenye jengo ila anataka ajitakase nae anafanya process hiyo ya kukata mikono kwa panga na kumkabidhi mwenye jengo akamuoshee ndani kisha amrudishie?
Acha ushamba wewe. Unafikiri wanaposema kunawa mikono basi mtu anatembea barabarani huku akinawa! Nchi zilizoendelea watu hawazagai kama huko madongokuinama unakoishi! Ukiingia majengo ya public kuna rest room za kutosha. Maduka na migahawa yote yana rest room na sanitizers (ambazo wewe umezijua baada ya korona kuingia kumbe zinatumika siku nyingi) zimewekwa kwenye entrance na exist. Kwa ujumla ni shida kueleshwa na ukaelewa kwa sababu hujafika majuu.
 
Back
Top Bottom