Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,549
- 34,877
Una hoja mkuu, ila jiji linakua hili kuna kipindi pori litatoweka jijiniSema na kuishi mbali sana jau,
Hapo mkuu kama hio ratiba ni kweli nakuonea huruma,
Sometimes tunakimbilia viwanja vya bei rahisi ila mara mia ulipe pesa kubwa upate sehemu nzuri sio kujificha huko porini.