DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 18,059
- 45,661
Ukiwa toothless dog unadhani kuna kiongozi atashtuka, utabweka tu lakini huwezi kung'ata kwa hiyo aacha tuendelee kupambana
Kulalamika sio njia sahihi ya kuondoa tatizo binafsi Mimi Kama naishi nchi za watu ambao ni self-center huwa naweka bajeti Kali ili niweze kusur-vive katika nyakati za jua Kali na mvua Kali.
Ukiitegemea serikali utaumia Mara 100