Dar es Salaam ili uende kazini na kurudi lazima uandae elfu 10 ya usafiri pamoja na chakula. Maskini hana chake hapa nchini

Ukiwa toothless dog unadhani kuna kiongozi atashtuka, utabweka tu lakini huwezi kung'ata kwa hiyo aacha tuendelee kupambana

Kulalamika sio njia sahihi ya kuondoa tatizo binafsi Mimi Kama naishi nchi za watu ambao ni self-center huwa naweka bajeti Kali ili niweze kusur-vive katika nyakati za jua Kali na mvua Kali.


Ukiitegemea serikali utaumia Mara 100
 
Tupige hesabu za mtu anayetumia gari ndogo tu inayokula wese la kawaida tu, say 1.3L engine. Mtu huyu anaendesha 50km kwenda kazini na kurudi kila siku. Gari inakula walau 1L kwa 10-12km/hr kwa wastani. Huyu mtu anahitaji kila siku kuweka wese angalau 5L x 3150 = 16,000 ≈ 20,000...hapo ameenda na kurudi, hajapata mishe yoyote ya kuongeza km.

Mwanzo tuliona wanaomiliki pikipiki hawajielewi, leo hii naona wao ndio wanafurahia maisha. Nasikia 1L inaweza kutembea hadi 60km sijui kama kuna ukweli hapo.
Boda boda mpya 1lt inapiga 50Km
Ikishakuwa chakavu inapiga 35-42Km
Ukienda kuibana cableta inapiga 55-60Km

Kwa rate hiyo mtu unaweza kukaa bunju na kufanya kazi kariakoo kwa Lita 1 tu go and return ambayo ni 3200 per lita.

Kwa common sense kutoka bunju had kariakoo huwezi kumkosa abiria hata 1 ambaye ukimuambia akupe buku 5 au buku nne hawezi kukataa.
Sasa ukipiga hesabu umeenda na kichwa kimoja kakupa elfu 4 means kakulipia hela ya mafuta.

Kurudi umepata kichwa kingine kakupa buku 4 means umepata hela ya msosi kazini.

Kwa mantiki hii hautakuwa na kuhangaika na mshahara wako.

Note. Service za boda boda siyo ghali na kubwa kinachotakiwa ni kubadilisha oil kila baada ya week 2 au siku 10. Na hiyo oil ni buku ,8-10

Kwa boda boda ambayo private haiwezi kupata hitilafu.

Bei ya boda boda, polisi unaweza kuuziwa kuanzia laki 5-9.

Za mtaani kuanzia laki 8-2M
Ukienda dukani jipange na 2.6-3.1M

Kupanga ni.kuchagua.
 
Dah nmetoka kupiga jana tu hesabu ya mwezi maana nlidownload app ya budget playstore ambayo nilikua naandika kila income na expenses nlizokuwa natumia mbona macho yaligeuka mekundu na nguvu kuniisha

Maana daily 20k mafuta gari
Daily 20k home na hapo baadh ya vitu vipo
Bills umeme,maji nk 50k
Chakula job 10k hpo ndo kujibana
Vocha
Na mengineyo.
NB;
Sinywi pombe wala si mtu wa starehe
Umefka mwsho wa mwezi Expenses zimegonga 3m+ nikawa kama nimemwagiwa maji
 
Naandika hii mada nikiwa na uchungu moyoni.

Sasa hivi nina miezi kama 4 hivi natumia Daladala kwenda na kurudi kazini na mara chache, tena chache sana huwa natumia bodaboda kazini mpaka home, home mpaka kazini.

Kutoka Nyumbani mpaka kazini nikipanda bodaboda direct ni elfu 15. Go and return inalala 30000 sh
Nikipanda bodaboda 1500 sh. mpaka kituo cha Daladala na nikipanda Daladala moja mpaka kazini awali nilikuwa natumia 1000 sh. Jumla 2500 sh, kwenda na kurudi natumia sh. 5000 kamili, nikipanda gari mbili nilikuwa natumia kama elfu 6 hivi. Pesa ambayo himilivu kwangu.

Ila sasa nikipanda Daladala itanilazimu nitumie takribani 7000 kwenda na kurudi.

Hapo ukiweka na chakula na maji around 5000.

Kwahiyo Mimi tu inabidi nitumie angalau elfu 12 kwaajili ya kazini. Familia kwa sasa hali ilivyo kwa siku ni sh. 10 -20 hapo mahitaji yote muhimu kama gas, mkaa, chumvi, Michele na unga viko ndani. Kama havipo lazima uangushe 20.

Kwahiyo inanilazimu kwa siku nitumie kuanzia elfu 30.

Vipi kwa anayelipwa laki 2.5 au laki tatu kwa Wahindi?

Vipi anayelipwa elfu 7 kiwandani kwa siku?

Kipato changu kidogo nahisi kupata msongo wa mawazo.

Serikali ipunguze nauli, watu wanashindia mihogo makazini Ili kubana nauli za kurudia nyumbani jioni.

Hakuna mtumishi wa umma au mwajiriwa wa sekta binafsi Dar es Salaam anaweza kununua kiwanja center labda awe fisadi. Wengi tunajuchanga tunapata viwanja Chanika, Bagamoyo, Kisarawe, Pugu n.k.

Kwa nauli hizi Ili ugeuke na gari upate seat lazima ujipange. Unakuta kila ukipiga hesabu 20 imeenda kwa usafiri na misosi.

Umaskini utaendelea kutupiga maana hatuna mtetezi.
Unajitafuta kimaisha katika mazingira hayo unakula chakula cha mchana ili ugundue nini.
 
Sema na kuishi mbali sana jau,
Hapo mkuu kama hio ratiba ni kweli nakuonea huruma,

Sometimes tunakimbilia viwanja vya bei rahisi ila mara mia ulipe pesa kubwa upate sehemu nzuri sio kujificha huko porini.
Muache ajenge kwanza,avamiwe na wahuni,atamani kuja kununua mjini ha pesa yote amejengea. Teh teh teh
 
Naandika hii mada nikiwa na uchungu moyoni.

Sasa hivi nina miezi kama 4 hivi natumia Daladala kwenda na kurudi kazini na mara chache, tena chache sana huwa natumia bodaboda kazini mpaka home, home mpaka kazini.

Kutoka Nyumbani mpaka kazini nikipanda bodaboda direct ni elfu 15. Go and return inalala 30000 sh
Nikipanda bodaboda 1500 sh. mpaka kituo cha Daladala na nikipanda Daladala moja mpaka kazini awali nilikuwa natumia 1000 sh. Jumla 2500 sh, kwenda na kurudi natumia sh. 5000 kamili, nikipanda gari mbili nilikuwa natumia kama elfu 6 hivi. Pesa ambayo himilivu kwangu.

Ila sasa nikipanda Daladala itanilazimu nitumie takribani 7000 kwenda na kurudi.

Hapo ukiweka na chakula na maji around 5000.

Kwahiyo Mimi tu inabidi nitumie angalau elfu 12 kwaajili ya kazini. Familia kwa sasa hali ilivyo kwa siku ni sh. 10 -20 hapo mahitaji yote muhimu kama gas, mkaa, chumvi, Michele na unga viko ndani. Kama havipo lazima uangushe 20.

Kwahiyo inanilazimu kwa siku nitumie kuanzia elfu 30.

Vipi kwa anayelipwa laki 2.5 au laki tatu kwa Wahindi?

Vipi anayelipwa elfu 7 kiwandani kwa siku?

Kipato changu kidogo nahisi kupata msongo wa mawazo.

Serikali ipunguze nauli, watu wanashindia mihogo makazini Ili kubana nauli za kurudia nyumbani jioni.

Hakuna mtumishi wa umma au mwajiriwa wa sekta binafsi Dar es Salaam anaweza kununua kiwanja center labda awe fisadi. Wengi tunajuchanga tunapata viwanja Chanika, Bagamoyo, Kisarawe, Pugu n.k.

Kwa nauli hizi Ili ugeuke na gari upate seat lazima ujipange. Unakuta kila ukipiga hesabu 20 imeenda kwa usafiri na misosi.

Umaskini utaendelea kutupiga maana hatuna mtetezi.
Tatizo ni huyu zuzu anaye tuongoza sasa kazi pekee aliyo mudu ni kunya basi
 
Inasikitisha sana, wenye mamlaka wanaona sio jukumu lao kuset standard of living kwa watu wao baadala yake wameacha kila kitu out of control.
Sometimes tuache kulalamikia serikali kila siku,

Wew unajua una kazi ya kudumu kkoo,
Unaenda nunua na kujenga nyumba huko kibaha kwa mfipa tena ndani kabisa, unataka serikali ifanyaje ?
Sometimes tusikwepe majukumu yetu na uzembe wetu wa kupiga hesabu, mtoa mada angejua maisha yake pengine angejichanga zaidi apate kiwanja karibu na kazini
 
Dah nmetoka kupiga jana tu hesabu ya mwezi maana nlidownload app ya budget playstore ambayo nilikua naandika kila income na expenses nlizokuwa natumia mbona macho yaligeuka mekundu na nguvu kuniisha

Maana daily 20k mafuta gari
Daily 20k home na hapo baadh ya vitu v aipo
Bills umeme,maji nk 50k
Chakula job 10k hpo ndo kujibana
Vocha
Na mengineyo.
NB;
Sinywi pombe wala si mtu wa starehe
Umefka mwsho wa mwezi Expenses zimegonga 3m+ nikawa kama nimemwagiwa maji
We bwege tunakujua ni muongo muongo tena dalali njaa kali
 
Back
Top Bottom