Jmn huyu kaka anaweza akawa amakufa kweli?Nimekuelewa mkuu.. Hata Damu ya Ben kuna watu inawanukia, wanatamani kuua tena na tena.
Ukishaonja nyama ya binadamu utatamani zaidi na zaidiNiliwahi kusikia kwamba hata ikitokea mtu ameliwa na simba kwenye kijiji Fulani basi ni lazima huyo simba atafutwe na auliwe kwa maana ni lazima tu atarudi tena na tena na kuua watu eneo hilo. Ufafanuzi mkuu
Hawa watu hutofautiana jinsi ya kuua..baadhi hupenda kufanya mauaji ya kutisha kama haya![]()
![]()
Uyu dogo ametoka juzijuzi kwamsamaha ingia youtube umuone akifanya mahojiano na saleh jembe wa global amerudi kitaani wamemtoa nduki ndugu zake na yule mtoto aliyemkula wanataka kumuuwaPicha zimenikumbusha ile story ya Rama mla vichwa,sijui kesi yake iliishiaga wapi.
Uyu ndo mama yaoHawa watu hutofautiana jinsi ya kuua..baadhi hupenda kufanya mauaji ya kutisha kama haya![]()
![]()
Alitoka magereza hope this year. Nilisikia akihojiwa alijibu kuwa that day ni zile dawa za kumzuia asionekane wakati amebeba vichwa zilikosewa. Naamini hataacha. Time will tell.Kama alipelekwa kwenye mahabusu ya magereza zetu hizi,basi walimpeleka kumshape product ambayo inaweza kuja kuwa muuaji tishio
Simuombei mabaya Rama, simtakii mabaya mimi kama mzazi natamani kusikia kesi yake iliisha na sasa ni kiumbe kipya kabisa! Raia mwema mtaani