hahaha, umesema kweli. kama wangetafsiri kwamba Mungu alituumba kwa mfano wetu na kwa sura zetu, mbona ingekuwa balaa. hakuna ubishi kuna sura zingine mtoto huwa analia akiziona, na zingine mtoto anafurahia kuziona. na kuna sura mabilioni mengi ambazo hazifanani, hivyo tungesema Mungu amefanana na sura ya nani tu sasa, za wote, ana sura ya kwangu, ya wasira, ya pinda, ya kikwete, ya lowasa, ya mshana jr, ya madame b, ya n.k, ni kitu ambacho hakiwezekani.Kuna majibu ya maswali mengi hapa hasa kwa wale wanaotatizwa na lile neno la. ...na tuumbe mtu kwa mfano wetu....!
Uchambuzi mzuri wenye kuendelea kujibu maswali mengi kwa wale wote waliokuwa wanatafuta ufafanuzihahaha, umesema kweli. kama wangetafsiri kwamba Mungu alituumba kwa mfano wetu na kwa sura zetu, mbona ingekuwa balaa. hakuna ubishi kuna sura zingine mtoto huwa analia akiziona, na zingine mtoto anafurahia kuziona. na kuna sura mabilioni mengi ambazo hazifanani, hivyo tungesema Mungu amefanana na sura ya nani tu sasa, za wote, ana sura ya kwangu, ya wasira, ya pinda, ya kikwete, ya lowasa, ya mshana jr, ya madame b, ya n.k, ni kitu ambacho hakiwezekani.
kuna ulimwengu wa kiroho ambao hata wanadamu wanaoishi kwasasa huwa wanaweza kuoperate kiroho. mambo yote ya nguvu za giza huoperate kiroho, kuloga mtu, kumweka mtu msukule nk, ni mambo ambayo hayaonekani kwa macho ya nyama, ni katika ulimwengu wa roho, na kwamfano, uuua mwanadamu katika ulimwengu hu wa mwili yaani kumwaga damu, ni kosa. Ni Mungu tu huwa anatakiwa kumuua mtu na si mwanadamu. hivyo ukimwaga damu ya mtu hasa ile isiyo na hatia, ile damu huwa inaendelea kulia mbele za Mungu katika ulimwengu wa roho ikimlilia Mungu kwamba huyu jamaa amenimwaga bila sababu. hii husababisha mtu huyo kupatwa na laana na mashetani ya uuaji humvaa zaidi ya yale aliyokuwa nayo mwanzo, hivyo anakuwa katili zaidi ya mwanzo, anapenda kuua zaidi ya mwanzo, na lazima tu ataua wengine hadi siku atakapokamatika na yeye auawe. kumbuka damu ya habili, ililia Mungu akamlaani Kaini akawa kituko, na damu au laana hiyo inaweza kufuatilia hadi kizazi chako nao watakuwa na roho mbaya kama wewe.
Nimeomba radhi kwa hili na nitaendelea kuomba radhi Diva Beyonce sikudhamiria kumtisha yeyote bali kwa muktadha wa mada husika nikajikuta nahitaji picha kama hiziMshana topic yako inatisha na hzo picha za watu na damu nimeogopa kupitia comments
Pamoja KiongoziAsante kwa angalizo nimesahau kufanya hivyo naomba radhi
Ndio mahabusu wengi wanaoshitakiwa wakiwa na matatizo au akionekana ana mapungufu yasio ya kawaida hupelekwa kwnye taasisi ya isanga iliyo chini ya wizara ya afya na ustawi wa jamii hupimwa akili na hutibiwa akipata afueni hurudishwa gerezani na kurudishwa alipotoka chini ya uangalizi wa jeshi la magereza nchini.Mirembe?
hahaha, umesema kweli. kama wangetafsiri kwamba Mungu alituumba kwa mfano wetu na kwa sura zetu, mbona ingekuwa balaa. hakuna ubishi kuna sura zingine mtoto huwa analia akiziona, na zingine mtoto anafurahia kuziona. na kuna sura mabilioni mengi ambazo hazifanani, hivyo tungesema Mungu amefanana na sura ya nani tu sasa, za wote, ana sura ya kwangu, ya wasira, ya pinda, ya kikwete, ya lowasa, ya mshana jr, ya madame b, ya n.k, ni kitu ambacho hakiwezekani.
kuna ulimwengu wa kiroho ambao hata wanadamu wanaoishi kwasasa huwa wanaweza kuoperate kiroho. mambo yote ya nguvu za giza huoperate kiroho, kuloga mtu, kumweka mtu msukule nk, ni mambo ambayo hayaonekani kwa macho ya nyama, ni katika ulimwengu wa roho, na kwamfano, uuua mwanadamu katika ulimwengu hu wa mwili yaani kumwaga damu, ni kosa. Ni Mungu tu huwa anatakiwa kumuua mtu na si mwanadamu. hivyo ukimwaga damu ya mtu hasa ile isiyo na hatia, ile damu huwa inaendelea kulia mbele za Mungu katika ulimwengu wa roho ikimlilia Mungu kwamba huyu jamaa amenimwaga bila sababu. hii husababisha mtu huyo kupatwa na laana na mashetani ya uuaji humvaa zaidi ya yale aliyokuwa nayo mwanzo, hivyo anakuwa katili zaidi ya mwanzo, anapenda kuua zaidi ya mwanzo, na lazima tu ataua wengine hadi siku atakapokamatika na yeye auawe. kumbuka damu ya habili, ililia Mungu akamlaani Kaini akawa kituko, na damu au laana hiyo inaweza kufuatilia hadi kizazi chako nao watakuwa na roho mbaya kama wewe.
wana sema ni kama 90 nazaidi hao 48 ndo alioweza kuwa kumbukaAisee kaua 48