Ila mshana junior mi nakushangaa sana, m nakuona mtu makin sana , kwañn usijitokeze hadharan umati kukajua kwa uchambuzi wako huu mzuri,? M nadhani huu umaarufu mkubwa ulionao ndani ya hili jamvi , siku ukianza kujiweka hadharan taifa likakujua kama tunavokujua sisi huku ndani,,,, haki ya mungu utakua zaidi ya EDO KUMWEMBEUnaweza kuuliza inanukaje na pengine unadhani ni baada ya kuhifadhiwa muda mrefu kwa utaratibu usio sahihi...kwenye mada hii sina maana hiyo
Damu ya mtu ina harufu yake, harufu ya kushangaza harufu yenye kuvuta kwa namna ya ajabu kabisa...hii ni damu ile ambayo mhusika wake amekatishwa maisha yake kwa namna dhalimu
Wauaji ndio wahanga wakubwa wa hili jambo, damu ya marehemu huwanukia, huwavuta na ili waweze kuwa sawa hutamani kuua tena, nafuu yao ni kupata ile harufu, hawa ndio wale serial killers
Kuua mnyama ni tofauti kabisa na kuua mtu na sababu yake ni moja tu..binadamu ana utashi wakati mnyama ni hayawani...binadamu ana fikra yakinifu wakati mnyama hana
Ni kitu cha kawaida kabisa kumgonga mnyama kama mbwa sungura ng'ombe punda nk uwapo barabarani na ukasimulia hilo tukio bila hisia zozote! Lakini gonga mtu uone...!
Asante Mzunde ila JF inatoshaIla mshana junior mi nakushangaa sana, m nakuona mtu makin sana , kwañn usijitokeze hadharan umati kukajua kwa uchambuzi wako huu mzuri,? M nadhani huu umaarufu mkubwa ulionao ndani ya hili jamvi , siku ukianza kujiweka hadharan taifa likakujua kama tunavokujua sisi huku ndani,,,, haki ya mungu utakua zaidi ya EDO KUMWEMBE

Mkuu,Unaweza kuuliza inanukaje na pengine unadhani ni baada ya kuhifadhiwa muda mrefu kwa utaratibu usio sahihi...kwenye mada hii sina maana hiyo
Damu ya mtu ina harufu yake, harufu ya kushangaza harufu yenye kuvuta kwa namna ya ajabu kabisa...hii ni damu ile ambayo mhusika wake amekatishwa maisha yake kwa namna dhalimu
Wauaji ndio wahanga wakubwa wa hili jambo, damu ya marehemu huwanukia, huwavuta na ili waweze kuwa sawa hutamani kuua tena, nafuu yao ni kupata ile harufu, hawa ndio wale serial killers
Kuua mnyama ni tofauti kabisa na kuua mtu na sababu yake ni moja tu..binadamu ana utashi wakati mnyama ni hayawani...binadamu ana fikra yakinifu wakati mnyama hana
Ni kitu cha kawaida kabisa kumgonga mnyama kama mbwa sungura ng'ombe punda nk uwapo barabarani na ukasimulia hilo tukio bila hisia zozote! Lakini gonga mtu uone...!
Nakumbuka kukisoma hiki kitabuMkuu,
Umenikumbusha Kitabu kiitwacho "Bado Mmoja" kikiwa na mauaji mfululizo na kila ilipokutwa maiti ya mtu pembeni yake kulikuwa na karatasi yenye tangazo "bado mmoja"
Mauaji hayo yalikuwa yakifanywa na MTU aitwaye "Marcus Sayuki"
Kuna mmoja alikuwa akiua makahaba kwenye guest house hasa Keko. Sijui aliishia wapiUmenifanya nivutiwe na hawa watu nitawatafiti, naamini hapa kwetu pia wapo!tungekuwa na utaratibu kama was wenzetu wa kufanya tafiti kama hizi tungefahamu mengi sana
Mbonaalitoka kitambo tu kama miaka miwili nyuma, alitoka akiwa mkubwa mkubwa kidogoPicha zimenikumbusha ile story ya Rama mla vichwa,sijui kesi yake iliishiaga wapi.
hii ni tomato mbonaNi kitu kama hicho na nafsi zao huwaadhibu kwa namna tofauti hivyo hutamani kuua hata kwa silaha yoyote mpaka meno hutumika![]()
![]()
![]()