Damu ya mtu hunuka

Damu ya mtu hunuka

331c65f3be5a91d344bd19fd0eb44922.jpg
 
Unaweza kuuliza inanukaje na pengine unadhani ni baada ya kuhifadhiwa muda mrefu kwa utaratibu usio sahihi...kwenye mada hii sina maana hiyo
Damu ya mtu ina harufu yake, harufu ya kushangaza harufu yenye kuvuta kwa namna ya ajabu kabisa...hii ni damu ile ambayo mhusika wake amekatishwa maisha yake kwa namna dhalimu
Wauaji ndio wahanga wakubwa wa hili jambo, damu ya marehemu huwanukia, huwavuta na ili waweze kuwa sawa hutamani kuua tena, nafuu yao ni kupata ile harufu, hawa ndio wale serial killers
Kuua mnyama ni tofauti kabisa na kuua mtu na sababu yake ni moja tu..binadamu ana utashi wakati mnyama ni hayawani...binadamu ana fikra yakinifu wakati mnyama hana
Ni kitu cha kawaida kabisa kumgonga mnyama kama mbwa sungura ng'ombe punda nk uwapo barabarani na ukasimulia hilo tukio bila hisia zozote! Lakini gonga mtu uone...!
Nimekuelewa mkuu.. Hata Damu ya Ben kuna watu inawanukia, wanatamani kuua tena na tena.
 
Unaweza kuuliza inanukaje na pengine unadhani ni baada ya kuhifadhiwa muda mrefu kwa utaratibu usio sahihi...kwenye mada hii sina maana hiyo
Damu ya mtu ina harufu yake, harufu ya kushangaza harufu yenye kuvuta kwa namna ya ajabu kabisa...hii ni damu ile ambayo mhusika wake amekatishwa maisha yake kwa namna dhalimu
Wauaji ndio wahanga wakubwa wa hili jambo, damu ya marehemu huwanukia, huwavuta na ili waweze kuwa sawa hutamani kuua tena, nafuu yao ni kupata ile harufu, hawa ndio wale serial killers
Kuua mnyama ni tofauti kabisa na kuua mtu na sababu yake ni moja tu..binadamu ana utashi wakati mnyama ni hayawani...binadamu ana fikra yakinifu wakati mnyama hana
Ni kitu cha kawaida kabisa kumgonga mnyama kama mbwa sungura ng'ombe punda nk uwapo barabarani na ukasimulia hilo tukio bila hisia zozote! Lakini gonga mtu uone...!
mshana mi nilishawahi kugonga mtu pale babati njia ya kwenda singida baada ya lile bwawa kuna kamuinuko flani hv ilikua 2012 mida ya saa moja jioni watu wamejaza pembeni ya barabra kuna kama kisenta hv wanauza uza vitu,mlevi akajichomeka katikat ya barabara nikawaza nikimkwepa naua makumi,so nikafanya busara nikapita nae,akafa palepale,watu walinisifu sana na sikuumia moyoni kaisa nilikua normal hadi leo sijuti kuua ila nafurahi niliokoa watu wa pembeni na waliomo kwenye gari.
 
Nimesoma baadhi ya makala za serial killers, Ted Bundy aliamua kuua baada ya kuachwa na mpenzi wake hata wahanga wake walikua ni wanaoendana kimuonekano na aliyekuwa mpenzi wake, nyakati nyingine alikaa na maiti kwa muda mrefu akiendelea kuiingilia (necrophilia). Kuna Andrei Chikatilo uhanithi wake mbele ya wanawake aliulipizia kwa kua mbabe mbele ya wavulana wadogo huku akiwabaka pia hata baada ya kufa aliendelea kuwaingilia au kupiga puchu (necrophilia).

Stori ndefu iwe fupi. Baadhi ya Serial killers huwa wanavutiwa na wao kujiona kama Mungu kwamba wanaamua nani aishi na nani asiishi (serial killers madaktari wana tendency hii).
Wengine hupendelea jinsi wanavyozungumziwa midomoni mwa watu na vyombo vya habari mfano Dennis Rader a.k.a BTK.
Wengine huinjoy ile scenario na kuwapandisha ashki mfano Andrei Chikatilo na David Berkowitz.

Aliyepoint kua anavutiwa na damu ni mmexico mmoja (jina limenitoka) na Charles Manson. Hawa walikua wana mawazo ya kishirikina wote walitaka kuunda followers wengi ambao watafuatisha imani na mitazamo yao bila kupinga.
Kina Dr Harold Shipman wapo wengi
 
mshana mi nilishawahi kugonga mtu pale babati njia ya kwenda singida baada ya lile bwawa kuna kamuinuko flani hv ilikua 2012 mida ya saa moja jioni watu wamejaza pembeni ya barabra kuna kama kisenta hv wanauza uza vitu,mlevi akajichomeka katikat ya barabara nikawaza nikimkwepa naua makumi,so nikafanya busara nikapita nae,akafa palepale,watu walinisifu sana na sikuumia moyoni kaisa nilikua normal hadi leo sijuti kuua ila nafurahi niliokoa watu wa pembeni na waliomo kwenye gari.
Well said! Mola tuongoze!
 
Kwa vile mwanadamu aliumbwa kwa mfano wake Mungu mwenyewe yeyote amuuwaye mwanadamu damu yake itamsumbua kwa kumlilia mpk pale atakapotubu. La sivyo atajikuta anakufa kihoro
 
Bora hao ma serial killer kwenye hii thread ni wanaume ingekuwa ni wanawake comments zingekuwa zaidi ya 1000 watu wakitukana wanawake ni wabaya na wana roho mbaya sana na ni wakatili. Sisemi kuwa hakuna ma serial killer wanawake hawapo LA wapo sana ila jamii inapenda kumtukana sana mwanamke anapokosea kana ya kwamba wengine ni malaika
 
Unaweza kuuliza inanukaje na pengine unadhani ni baada ya kuhifadhiwa muda mrefu kwa utaratibu usio sahihi...kwenye mada hii sina maana hiyo
Damu ya mtu ina harufu yake, harufu ya kushangaza harufu yenye kuvuta kwa namna ya ajabu kabisa...hii ni damu ile ambayo mhusika wake amekatishwa maisha yake kwa namna dhalimu
Wauaji ndio wahanga wakubwa wa hili jambo, damu ya marehemu huwanukia, huwavuta na ili waweze kuwa sawa hutamani kuua tena, nafuu yao ni kupata ile harufu, hawa ndio wale serial killers
Kuua mnyama ni tofauti kabisa na kuua mtu na sababu yake ni moja tu..binadamu ana utashi wakati mnyama ni hayawani...binadamu ana fikra yakinifu wakati mnyama hana
Ni kitu cha kawaida kabisa kumgonga mnyama kama mbwa sungura ng'ombe punda nk uwapo barabarani na ukasimulia hilo tukio bila hisia zozote! Lakini gonga mtu uone...!
Mshana naomba tuu eje uokoke ili utuhadithie vizuri majanga yote unayoyajua nna imani kutafurika nyuzi mpya za kwako tuu
 
Kama alipelekwa kwenye mahabusu ya magereza zetu hizi,basi walimpeleka kumshape product ambayo inaweza kuja kuwa muuaji tishio
Simuombei mabaya Rama, simtakii mabaya mimi kama mzazi natamani kusikia kesi yake iliisha na sasa ni kiumbe kipya kabisa! Raia mwema mtaani
Hebu tupen kidog alikumbwa na maswahibu gan huyo ram
 
mshana mi nilishawahi kugonga mtu pale babati njia ya kwenda singida baada ya lile bwawa kuna kamuinuko flani hv ilikua 2012 mida ya saa moja jioni watu wamejaza pembeni ya barabra kuna kama kisenta hv wanauza uza vitu,mlevi akajichomeka katikat ya barabara nikawaza nikimkwepa naua makumi,so nikafanya busara nikapita nae,akafa palepale,watu walinisifu sana na sikuumia moyoni kaisa nilikua normal hadi leo sijuti kuua ila nafurahi niliokoa watu wa pembeni na waliomo kwenye gari.
kafa na pombe zake.... Kuna pombe za laana
mshana mi nilishawahi kugonga mtu pale babati njia ya kwenda singida baada ya lile bwawa kuna kamuinuko flani hv ilikua 2012 mida ya saa moja jioni watu wamejaza pembeni ya barabra kuna kama kisenta hv wanauza uza vitu,mlevi akajichomeka katikat ya barabara nikawaza nikimkwepa naua makumi,so nikafanya busara nikapita nae,akafa palepale,watu walinisifu sana na sikuumia moyoni kaisa nilikua normal hadi leo sijuti kuua ila nafurahi niliokoa watu wa pembeni na waliomo kwenye gari.
 
Bora hao ma serial killer kwenye hii thread ni wanaume ingekuwa ni wanawake comments zingekuwa zaidi ya 1000 watu wakitukana wanawake ni wabaya na wana roho mbaya sana na ni wakatili. Sisemi kuwa hakuna ma serial killer wanawake hawapo LA wapo sana ila jamii inapenda kumtukana sana mwanamke anapokosea kana ya kwamba wengine ni malaika
 
Back
Top Bottom