Hivi ni kweliNimekuelewa mkuu.. Hata Damu ya Ben kuna watu inawanukia, wanatamani kuua tena na tena.
Tumuombee sana amefahamu mambo makubwa magumu katika umri mdogo sana.... Watu wanapopinga tena kwa nguvu kabisa kuwa hakuna uchawi hua nawaangalia kwa mshangao sanaAlitoka magereza hope this year. Nilisikia akihojiwa alijibu kuwa that day ni zile dawa za kumzuia asionekane wakati amebeba vichwa zilikosewa. Naamini hataacha. Time will tell.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh karma haukuwachelewesha karma is bitch wanavyosema kwa lugha ya malkiaKijijini kwetu kuna jamaa wawili walishiriki kumuua mtu kwa kumtuhumu wizi wa mtambo (pipa) wa kupikia piwa almaarufu gongo (chang'aa kwa Kenya). Alieibiwa ndie aliemnyongea majini mpaka akafa, mpambe akambeba na weelbarrow usiku akaenda kumlaza marehemu geto kwake ili ieleweke alikunywa akazidiwa akafa, ilichukua siku 3 majirani kuhisi harufu na hatimae mwili kugundulika.
BAADA YA MWAKA 1. Aliemnyoga marehemu aliuwawa kwa kunyongwa majini mtoni alipokuwa anajaribu kupora baiskel mpaka akafa.
BAADA YA MIAKA 5. Alimbeba marehemu na weelbarrow na kumpeleka geto kwake hatimae maiti kugundulika siku ya tatu, mwili wake uligundulika siku ya 3 geto baada ya inzi wa chooni kuonekana kujaa dirishani na harufu kali tokea chumbani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Liache hili kwenye mabano hewa (. . )Hivi ni kweli
ben amekatishwa uhai ?
Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
Hivi ni kweli
ben amekatishwa uhai ?
Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
Makinika ndugu yangu huko nje si salama tena!Magufuli inabidi ahojiwe la sivyo ataendelea kuua ndugu zetu
Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
Nlikuwa sijui hata Spree killer Ni nani..asante.Serial killer anakua ni muuaji ambaye kutoka kutimiza tukio moja mpaka jingine kunakua na muda hapo kati kati, yaweza kua miezi au hata mwaka au miaka ila anakua anatumia njia moja tu kuua mfano mwningine atatumia shoka, mwingine kukata kata, mwingine bastola ila wapo ambao walichanganya njia za kutekeleza uovu wao.
Ikatokea muuaji haachi interval hapo kati au interval yake ni ndogo sana mfano wiki, huyu huitwa spree killer.
Washindwe na walegehee kwa Jina la YESU aliyeshinda mauti/kifo..!
Hakuna uwezekano wa kujitoa muhanga kijadi na kimila?
Aaamen risasi zilikuwa zaidi ya 20! Lengo lilikuwa kuua kabisa at the closest rangeWashindwe na walegehee kwa Jina la YESU aliyeshinda mauti/kifo..!
Tatizo kafara lake kubwa mnoHakuna uwezekano wa kujitoa muhanga kijadi na kimila?
Mniachani niokoke tuuhh..! Mungu yupo hakika..Aaamen risasi zilikuwa zaidi ya 20! Lengo lilikuwa kuua kabisa at the closest range
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa kaka
Tuzidi tu kumuombea kwa Mungu....Sawa kaka
ila huyu jamaa analeta hasira aiseeh
Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
Namuombea amalize salama miaka yake iliyobaki, arudi chato akafanye shughuli nyingine.