Asante nimepata tofauti ya serial killer na spree killerSerial killer anakua ni muuaji ambaye kutoka kutimiza tukio moja mpaka jingine kunakua na muda hapo kati kati, yaweza kua miezi au hata mwaka au miaka ila anakua anatumia njia moja tu kuua mfano mwningine atatumia shoka, mwingine kukata kata, mwingine bastola ila wapo ambao walichanganya njia za kutekeleza uovu wao.
Ikatokea muuaji haachi interval hapo kati au interval yake ni ndogo sana mfano wiki, huyu huitwa spree killer.
Serial killer anakua ni muuaji ambaye kutoka kutimiza tukio moja mpaka jingine kunakua na muda hapo kati kati, yaweza kua miezi au hata mwaka au miaka ila anakua anatumia njia moja tu kuua mfano mwningine atatumia shoka, mwingine kukata kata, mwingine bastola ila wapo ambao walichanganya njia za kutekeleza uovu wao.
Ikatokea muuaji haachi interval hapo kati au interval yake ni ndogo sana mfano wiki, huyu huitwa spree killer.
Asante nimepata tofauti ya serial killer na spree killer
Shukrani mkuu...Serial killer anakua ni muuaji ambaye kutoka kutimiza tukio moja mpaka jingine kunakua na muda hapo kati kati, yaweza kua miezi au hata mwaka au miaka ila anakua anatumia njia moja tu kuua mfano mwningine atatumia shoka, mwingine kukata kata, mwingine bastola ila wapo ambao walichanganya njia za kutekeleza uovu wao.
Ikatokea muuaji haachi interval hapo kati au interval yake ni ndogo sana mfano wiki, huyu huitwa spree killer.
Serial killers wengi hua wanaonesha dalili za kua walaghai, na wenye uwezo wa kumanipulate mazingira na hata watu pia serial killers ni watu ambao tunao majumbani ni wake, mama, wame na baba zetu hivyo hadi kujulikana hua inakua ngumu mfano John Wayne Gacy.Shukrani mkuu...
Hasa akiua hakamatwi na kufungwa au inakuaje mpaka inajirudia hiyo interval
Kuna vyombo niliviacha kumbe daah, asante kwa kutuongezea mwanga.
utofauti wa mnyama na binadamu ni kwamba, binadamu ni roho, wakati mnyama sio roho, ni kitu tu, ndio maana ya kufanana na Mungu kwasababu Mungu ni roho hivyo anaoperate kiroho so is satan. mwanadamu hata akifa kimwili, huu mwili ni udongo tu, kuna roho huwa haifi na hiyo ndiyo inaenda kunakotakiwa kwenda. hata wanaofanya uchawi, huwa wanaoperate kiroho, wanaoua kiroho huwa wanaua kiroho, kuna ulimwengu wa roho ambao ni mwanadamu, mashetani na Mungu ndio huwa wanaweza kuwepo huko. wanyama hawapo huko ndio maana inasemekana Mungu alituumba kwa mfano wake, haimaanishi tuna nguvu au tunafanana sura hapana, tunafanana naye kwasababu sisi pia ni roho kama alivyo yeye.Unaweza kuuliza inanukaje na pengine unadhani ni baada ya kuhifadhiwa muda mrefu kwa utaratibu usio sahihi...kwenye mada hii sina maana hiyo
Damu ya mtu ina harufu yake, harufu ya kushangaza harufu yenye kuvuta kwa namna ya ajabu kabisa...hii ni damu ile ambayo mhusika wake amekatishwa maisha yake kwa namna dhalimu
Wauaji ndio wahanga wakubwa wa hili jambo, damu ya marehemu huwanukia, huwavuta na ili waweze kuwa sawa hutamani kuua tena, nafuu yao ni kupata ile harufu, hawa ndio wale serial killers
Kuua mnyama ni tofauti kabisa na kuua mtu na sababu yake ni moja tu..binadamu ana utashi wakati mnyama ni hayawani...binadamu ana fikra yakinifu wakati mnyama hana
Ni kitu cha kawaida kabisa kumgonga mnyama kama mbwa sungura ng'ombe punda nk uwapo barabarani na ukasimulia hilo tukio bila hisia zozote! Lakini gonga mtu uone...!
Hahahaha usije kua kama mdau mmoja hapo juu kasema kuna tamthilia mtu anaua vizuri.Nimejikuta navutiwa na hizi habari
Kuna majibu ya maswali mengi hapa hasa kwa wale wanaotatizwa na lile neno la. ...na tuumbe mtu kwa mfano wetu....!utofauti wa mnyama na binadamu ni kwamba, binadamu ni roho, wakati mnyama sio roho, ni kitu tu, ndio maana ya kufanana na Mungu kwasababu Mungu ni roho hivyo anaoperate kiroho so is satan. mwanadamu hata akifa kimwili, huu mwili ni udongo tu, kuna roho huwa haifi na hiyo ndiyo inaenda kunakotakiwa kwenda. hata wanaofanya uchawi, huwa wanaoperate kiroho, wanaoua kiroho huwa wanaua kiroho, kuna ulimwengu wa roho ambao ni mwanadamu, mashetani na Mungu ndio huwa wanaweza kuwepo huko. wanyama hawapo huko ndio maana inasemekana Mungu alituumba kwa mfano wake, haimaanishi tuna nguvu au tunafanana sura hapana, tunafanana naye kwasababu sisi pia ni roho kama alivyo yeye.