Dalili kuu ya mwanaume shoga!

Dalili kuu ya mwanaume shoga!

Halafu wewe ulivutiwa nini na utafiti unaohusu magay? Au na wewe unakuhusu...?
Unanihusu ndio kwa sabau i am related to each and every living and non-living thing that dwells in mother earth. I am everything!
 
na ukileta tafiti kama hizi nawe ni mchele mchele! unataka muwe wengi
 
na ukileta tafiti kama hizi nawe ni mchele mchele! unataka muwe wengi

Sikulaumu kwa sababu hapo ndipo uwezo wako wa kufikiri ulipoishia, so nothing good can come from your head
 
[/COLOR]

Hata mimi naunga mkono hoja,..huwa ninawa_underate sana watu wanaoandika message kwa mtindo huo....na hasa wanaume.

xaxa 2fenyeje wakat ndo mtindo wa digital xo chukulia poa 'k'
 
ni k tu au unamaanisha kufupisha maneno ambako mara nyingi kuna fanywa na wanawake mpaka sometimes mimi uwa nashindwa kuelewa text sasa mwanaume akifanya the same lazima kutakuwa na walakini!

Asante sana Nyani Ngabu need to see this
 
Sijavutiwa bali nimeshangazwa na wewe kuhangaika kwenye mitandao ya Wapopo kutafuta tafiti zinazohusu ushoga halafu na kuja kuzileta hapa.

Nothing surprise a real man!
 
Kwa mujibu wa utafiti ulio fanywa na blogu moja huko nchini Nigeria, wanaume wanane kati ya kumi ambao huandika herufi " K" wakimaanisha OKAY ,ni mashoga, yaani ni wanaume wanao ingiliwa kinyume na maumbile. EWE KIJANA WA KITANZANIA, EPUKA MATUMIZI YA NENO "K" UNAPOKUWA UNAANDIKA MESEJI, KWANI UTADHANIWA KUWA SHOGA!

Tafiti kama hizi zipeleke hapo nchi jirani
 
Sikulaumu kwa sababu hapo ndipo uwezo wako wa kufikiri ulipoishia, so nothing good can come from your head

we jamaa akili zako ni zero. kuna jamaa anapenda kutmia hzo 'k' bt sio bwabwa kama wewe
 
ni k tu au unamaanisha kufupisha maneno ambako mara nyingi kuna fanywa na wanawake mpaka sometimes mimi uwa nashindwa kuelewa text sasa mwanaume akifanya the same lazima kutakuwa na walakini!

Nyani Ngabu dont like to hear this
 
we jamaa akili zako ni zero. kuna jamaa anapenda kutmia hzo 'k' bt sio bwabwa kama wewe
Am sory young man, wanaume hatutukanani matusi hata kama hatujuani. So please you shall not talk to me like this again! Hayo maneno yanakufaa wewe tu, mimi hayanifai. You better stay with them
 
Kwa mujibu wa utafiti ulio fanywa na blogu moja huko nchini Nigeria, wanaume wanane kati ya kumi ambao huandika herufi " K" wakimaanisha OKAY ,ni mashoga, yaani ni wanaume wanao ingiliwa kinyume na maumbile. EWE KIJANA WA KITANZANIA, EPUKA MATUMIZI YA NENO "K" UNAPOKUWA UNAANDIKA MESEJI, KWANI UTADHANIWA KUWA SHOGA!

Mbona na ww umetyumia K?
 
ni k tu au unamaanisha kufupisha maneno ambako mara nyingi kuna fanywa na wanawake mpaka sometimes mimi uwa nashindwa kuelewa text sasa mwanaume akifanya the same lazima kutakuwa na walakini!

Hakuna cha ufipisho bali ni swaga emu nambie hapa nimefupisha nini? 'xaxa=sasa' 'xo=so' au neno 'ok' lina uref gani mpaka lifupishwe? Dot com 2naita swaga men!
 
Back
Top Bottom