data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,943
- 23,884
Sura gani hiyo inayokemea ugay?
..hali ya hewa inachafuka sasa hivi hapa.... For the gud of us all Nyani Ngabu tuombee mods wafute huu uzi.
Last edited by a moderator:
Sura gani hiyo inayokemea ugay?
What is the connections writing xoxo and being a gay........
we dont have to believe any findings &just because they are findngs doesnt mean we should believe!!!!
anybody can do a research and come out with those findings our concern
Should be is it worthy enough to believe on those findings!!!!!!!!
...kula tano,nadhani mkuu Likud anamalizia shahada ya uganga wa kienyeji....
Sura gani hiyo inayokemea ugay?
nimepanick? how?
Sijavutiwa bali nimeshangazwa na wewe kuhangaika kwenye mitandao ya Wapopo kutafuta tafiti zinazohusu ushoga halafu na kuja kuzileta hapa.
How sure ur kwamba nimetafuta huo utafiti? kwa nini usingefikiria kwamba nimekutana nao bila kutegemea na nikaamua kuuleta hapa?
Mwanaume timamu hauwezi kuwa uwasiliana kwa sms na mwanaume mwenzako halafu ukawa unatumia maandishi yanayo tumiwa zaidi na mabinti kama vile " Xaxa' " xo" "k" nakadhalika. Nakubaliana na matokeo ya utafiti huu.
[/COLOR]
Hata mimi naunga mkono hoja,..huwa ninawa_underate sana watu wanaoandika message kwa mtindo huo....na hasa wanaume.
Mhnn... Na wewe ndo ushatumia hiyo herufi kwenye post yako...lol..!!Kwa mujibu wa utafiti ulio fanywa na blogu moja huko nchini Nigeria, wanaume wanane kati ya kumi ambao huandika herufi " K" wakimaanisha OKAY ,ni mashoga, yaani ni wanaume wanao ingiliwa kinyume na maumbile. EWE KIJANA WA KITANZANIA, EPUKA MATUMIZI YA NENO "K" UNAPOKUWA UNAANDIKA MESEJI, KWANI UTADHANIWA KUWA SHOGA!
Kwani ushoga ni nini?