Dalili kuu ya mwanaume shoga!

Dalili kuu ya mwanaume shoga!

Mkuu unaposema wanaume wanaingiliwa kinyume na maumbile ni kama sikusomi hivi, sijawahi kuona mwanaume anaeingiliwa kikawaida ili hao wanaoingiliwa kinyume na maumbile wawe shoga. Mwanaoume haingiliwi bali anaingilia so jipange brother na pia huo utafiti wako hauna mashiko kitaalam.
 
Kwa mujibu wa utafiti ulio fanywa na blogu moja huko nchini Nigeria, wanaume wanane kati ya kumi ambao huandika herufi " K" wakimaanisha OKAY ,ni mashoga, yaani ni wanaume wanao ingiliwa kinyume na maumbile. EWE KIJANA WA KITANZANIA, EPUKA MATUMIZI YA NENO "K" UNAPOKUWA UNAANDIKA MESEJI, KWANI UTADHANIWA KUWA SHOGA!


Hueleweki bana, kajipange!
 
Back
Top Bottom