Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,022
- 26,356
Unawaambia wasijenge chuki ikiwa wewe mwenyewe ushajenga chukiWalimu wa diploma wako bize kujipendekeza kwa mkuu wa shule na maafisa elimu ili wachaguliwe kusahihisha mitihani ya Taifa kidato Cha pili na Cha nne,
Wengi ni wanafiki, poor reasoning, na wachonganishi, kiufupi hawako tofauti na wanafunzi wanao wafundisha, japo kuna baadhi ya matcha degree holders nao ni masnich
Msijenge chuki matichaaaa