Daktari wa Diploma ni bora kuliko yule wa degree

Walimu wa diploma wako bize kujipendekeza kwa mkuu wa shule na maafisa elimu ili wachaguliwe kusahihisha mitihani ya Taifa kidato Cha pili na Cha nne,

Wengi ni wanafiki, poor reasoning, na wachonganishi, kiufupi hawako tofauti na wanafunzi wanao wafundisha, japo kuna baadhi ya matcha degree holders nao ni masnich

Msijenge chuki matichaaaa
Unawaambia wasijenge chuki ikiwa wewe mwenyewe ushajenga chuki
 
Hakuna dakitari wa diploma. Dakitari by definition ni MD OR equivalent. Diploma holders ni CO au Bwana Mganga.
Sio bwana mgnga ni tabibu i have been a clinical officer for years ni ujinga tu most of time we are doing things in blinded eyes unafanya vitu kwa kukarir with poor reason and justification mtu anafanya kitu ukimuuliza kwa nn umefanya au kwa nn unatoa dawa hii anasema tunatoaga tu huwezi kumfananisha medical officer na clinical officer tuacheni uvivu let us go back to school
Ukiona mtu anakisifia ki diploma chake ujue hana qualification za ku join higher studies either ana gpa ya 2 au principle pass hana
 
Na walimu wa Diploma wapo vizuri sana kuliko degree. Msijiulize kwa nini waajiri wanawachukua vijana wengi wa Diploma kuliko degree msiseme diploma ni cheap kuliko wakiajiri degree ukweli vijana wa degree hawana kitu
Hizo nyingine sijui, ila hapa nakubaliana na wewe, hata mi nilishaona hii walimu wenye diploma wako vizuri sana kuanzia kwenye maadili na utendaji wao...
 
Hamjamuelewa alietoa post! Ajamaanisha CO Ni kubwa kuliko.MD no.....ila.amafafanua kwamba CO Ni nzur kuliko MD kwenye uzoefu wa kutibu wagonjwa( tena kwa uelewa wake) alafu Kuna kitu ukijua kwamba hata huyo CO anaweza kusoma MD Kama akifaulu vizur lakin jua MD anatoka direct form six ajui chochote kuhus afya anapofika MD wakikutana na CO yeye atapata shida Sanaa lakin CO yeye kwake mtelezo....na hata mkifika kazn MD anapita anamaliza ajui chochote fanya utafiti
Kwa nini umeanza kumpa advantage ya muda huyo CO?! Vipi na mimi nikikuambia CO kaja kamkuta MD kazini?
Issue ni kuwa CO yuko kazini na MD yuko kazini, CO katoka chuo na MD katoka chuo.
Wazee kama ni maCO nendeni mkasome tu, mtakuja wenyewe kubadili mada hapa. Wanachosoma hadi kuwa maMD ni way above wanachosoma maCO
 
Hamjamuelewa alietoa post! Ajamaanisha CO Ni kubwa kuliko.MD no.....ila.amafafanua kwamba CO Ni nzur kuliko MD kwenye uzoefu wa kutibu wagonjwa( tena kwa uelewa wake) alafu Kuna kitu ukijua kwamba hata huyo CO anaweza kusoma MD Kama akifaulu vizur lakin jua MD anatoka direct form six ajui chochote kuhus afya anapofika MD wakikutana na CO yeye atapata shida Sanaa lakin CO yeye kwake mtelezo....na hata mkifika kazn MD anapita anamaliza ajui chochote fanya utafiti
Mwingne yupo diploma, mwingne yupo advance watakutana degree na wa advance atatusua tyuuh, acha kabisa msuli wa PCB, usiufananishe na chochote.
 
Mtoa Mada acha inferiority issues hizo, hakuna kitu general kama hicho, na nnachoona mie hapa ni kuwa hivi:
1. MD (alimaliza Form Six akaenda kupiga Degree yake ya Udaktari) anakuja kuanza kazi leo anamkuta CO mwenye miaka kumi kazini halafu siku hiyo hiyo unawapima hawa watu kwa uwezo wa kazi hlf unaanza kumponda MD kweli?
2. Kama unataka kupima ubora na ujazo wa Maarifa kati ya MD na CO waweke ktk mizania moja huyo MD na CO wenye uzoefu wa miaka sawa kazini ndo utashangaa kwa majb utakayoyaona na utaanza kuwaheshimu vzr MDs
3. CO siyo Daktari unatakiwa ujue hilo, hivyo usirudie tena CO kumuita Daktari
4. Ubora ama uwezo wa mtu unakua determined na juhudi binafsi za mtu ktk field yake bila kujali kiwango chake cha elimu, hivyo tuache kuchonganisha ama kulinganisha makazini wale wenye Diploma vs wenye Degree, haya mambo ya kizamani sana tuyaache sasa
Umemaliza kila kitu. Nimependa umeazia kua CO sio DR. Wapo wana utani na taaluma za watu. Dawa yao noi kuwaambia ukweli.
 
Sio bwana mgnga ni tabibu i have been a clinical officer for years ni ujinga tu most of time we are doing things in blinded eyes unafanya vitu kwa kukarir with poor reason and justification mtu anafanya kitu ukimuuliza kwa nn umefanya au kwa nn unatoa dawa hii anasema tunatoaga tu huwezi kumfananisha medical officer na clinical officer tuacheni uvivu let us go back to school
Ukiona mtu anakisifia ki diploma chake ujue hana qualification za ku join higher studies either ana gpa ya 2 au principle pass hana
Ukweli mchungu huu.
 
Kwa hapa bongo daktari wa Diploma ni mzuri zaidi kuliko yule wa degree. Daktari wa Diploma kwanza ananidhamu ya hali ya juu pia wanafanya practical za kutosha kuliko wa degree. Degree holders wengi wanameza videsa ,chabo kwa wingi ila ukija kazini hawana kitu.

Mbali na madaktari wahandisi wanafata, muandisi wa certificate au Diploma ni bora kuliko yule wa degree ukibisha nenda field ukajionee

Na walimu wa Diploma wapo vizuri sana kuliko degree. Msijiulize kwa nini waajiri wanawachukua vijana wengi wa Diploma kuliko degree msiseme diploma ni cheap kuliko wakiajiri degree ukweli vijana wa degree hawana kitu

Nna wasi wasi na mtoa maada yuko vizuri kweli
 
Nenda t
Kwa nini umeanza kumpa advantage ya muda huyo CO?! Vipi na mimi nikikuambia CO kaja kamkuta MD kazini?
Issue ni kuwa CO yuko kazini na MD yuko kazini, CO katoka chuo na MD katoka chuo.
Wazee kama ni maCO nendeni mkasome tu, mtakuja wenyewe kubadili mada hapa. Wanachosoma hadi kuwa maMD ni wUpay above wanachosoma maCO
Iyo point shida GPA inasemaje pia O level glade
 
Back
Top Bottom