Watoto wa 2000’s, muvi yao itakuwaje 2025?

marcoveratti

JF-Expert Member
Sep 21, 2017
968
1,695
Tangu Tanganyika ipate uhuru wake kamili December 1961 ni kama miaka 60 imepita huu ni wa 61..
Kutokana na sheria kua ili raia wa Tanzania awe na uwezo wa kupiga kura ni lazima awe angalau na miaka 18 hivyo tangu tupate uhuru kuna vizazi vitano tofauti ambavyo vime Timiza umri wa kupiga kura kama tuta vigawa vizazi kwa miaka kumi kumi yani 60's ,70''s,80's 90s, na hawa wa 2000's

Haya magroup ya tabia tofauti sana na zisizo fanana kabisa!

Watu wa 60's
hawa wengi saizi wamesha staafu wanakula zao mafao ..
Enzi zao ilikua kama una certificate ajira uhakika ,wengi ni wale wali ijua CCM kama TANU wako loyal sana na Taifa lao wanaamini amani ya Taifa ni mhimu kuliko barabara ya lami na maji safi!
wadogo zaidi kutoka kundi hili wana umri wa miaka 50+

Watu wa 70's
Hawatofautiani saana na wale wa 60+ japo kwenye kizazi hiki ndio kulipokea vyama vingi na msuala ya upinzani yalia anzia kwao ..
kuna wana harakati wengi sana japo wengi hawako willing kujitoa sadaka sababu pia kizazi chao hakikupata shida kwenye kuingia kwenye mifumo,
kama una elimu umetoboa
wengi wenye degree na Diploma wanaishi vizuri hawana shida ndogo ndogo wala
stress hawa kwao katiba na serikali sio issue sana..
Wengi bado wapo kazini ndio wameshikiria usukani kwasasa kwenye mifumo mingi..

Watu wa 80
Kizazi cha wapole alaf wako smart
Kwa Tanzania hiki kizazi ndio kilipewa Elimu nzuri zaidi hawa jamaa ukimkuta ana degree basi yupo deep na ana iq haswa...
Sio wana harakati sana kwenye masuala ya siasa ila wana jua nini kinatakiwa kifanyike tufike ..japo wengi hawaja ingia kwenye mfumo Ila wana fanya vitu muhimu waki wasubiri watu wa 70's watoke waingie wao idadi yao sio kuubwa sana..

Watu 90
Hapa ndio pameanza kua na idadi kubwa ya wasomi wasio na kazi..
hiki kizazi ni wapole sana na hawana mambo mengi na ndio vijana wa sasa ..
Wavumilivu hawa react sana juu ya serikali wala viongozi wao ..wanaamini kua jasho lina lisha familia na sio Mbunge ....
Hawa hawapigi kura!
Wana idadi kubwa ya waathirika wa dawa za kulevya na bangi kuliko vizazi vyote vilivyo pita ila ni wa staarabu wana elimu bora kiasi sio wazidi wa 80's kiongozi alie bora kwao ni yule anae tekeleza kazi yake na sio chama anachotoka..

watu 2000
Wengi wanaenda kupiga kura kwa mara ya kwanza mwaka 2025 mwaka ambao wale wa 1960's hawapo...endapo kama nita tumia makadirio ya umri wa kuishi wa mTanzania (life span)
Hapa wale wali ishuhudia TANU wanakua hawapo!
Hawa jamaa elimu yao si bora sana hasa kwenye elimu ya kujitegema ukilinganisha na walio pita,wengi walisombwa na BIG RESULT NOW(BRN) elimu ya kujitegemea ni ndogo..
Kuna kundi kubwa zaidi la waathirika wa mihadarati kuliko makundi yote
Panya todi ndio hawa!
Watoto wa singeli ndio hawa!
Hawa ndio watoto wa Kikwete wanaitwa,
Wanajua kila kitu na hawajari.!

Kwao Taifa huja baada ya maslahi binafsi hawapo kwenye mfumo wowote wengi wana elimu ya kidacho cha nne ila ujuziwa mtu darasa la saba

Walio endelea na shule ndio wanaanza ku graduate miaka hii!

Maamuzi yao ni magumu sana na hua hawanaa moyo wa kusita wanaweza fanya jambo huwezi kutegemea!

Hawa ndio main character wa movie ya 2025 nasubiri nione hii Movie kama ni ya Romantic ,Interigence au la kizombi ...
90' kurudi nyuma watapanga vitu na kuandaa pop corn ila movie ni ya watoto wa 2000's
FB_IMG_1672264081072.jpg
 
Tangu Tanzania ipate uhuru wake kamili tarehe 9 December mwaka 1961 ni kama miaka 60 imepita huu ni wa 61..
Kutokana na sheria kua ili raia wa Tanzania awe na uwezo wa kupiga kura ni lazima awe angalau na miaka 18 hivyo tangu tupate uhuru kuna vizazi vitano tofauti ambavyo vime Timiza umri wa kupiga kura kama tuta vigawa vizazi kwa miaka kumi kumi yani 60's ,70''s,80's 90s, na hawa wa 2000's

Haya magroup ya tabia tofauti sana na zisizo fanana kabisa!

Watu wa 60's
hawa wengi saizi wamesha staafu wanakula zao mafao ..
Enzi zao ilikua kama una certificate ajira uhakika ,wengi ni wale wali ijua CCM kama TANU wako loyal sana na Taifa lao wanaamini amani ya Taifa ni mhimu kuliko barabara ya lami na maji safi!
wadogo zaidi kutoka kundi hili wana umri wa miaka 50+

Watu wa 70's
Hawatofautiani saana na wale wa 60+ japo kwenye kizazi hiki ndio kulipokea vyama vingi na msuala ya upinzani yalia anzia kwao ..
kuna wana harakati wengi sana japo wengi hawako willing kujitoa sadaka sababu pia kizazi chao hakikupata shida kwenye kuingia kwenye mifumo,
kama una elimu umetoboa
wengi wenye degree na Diploma wanaishi vizuri hawana shida ndogo ndogo wala
stress hawa kwao katiba na serikali sio issue sana..
Wengi bado wapo kazini ndio wameshikiria usukani kwasasa kwenye mifumo mingi..

Watu wa 80
Kizazi cha wapole alaf wako smart
Kwa Tanzania hiki kizazi ndio kilipewa Elimu nzuri zaidi hawa jamaa ukimkuta ana degree basi yupo deep na ana iq haswa...
Sio wana harakati sana kwenye masuala ya siasa ila wana jua nini kinatakiwa kifanyike tufike ..japo wengi hawaja ingia kwenye mfumo Ila wana fanya vitu muhimu waki wasubiri watu wa 70's watoke waingie wao idadi yao sio kuubwa sana..

Watu 90
Hapa ndio pameanza kua na idadi kubwa ya wasomi wasio na kazi..
hiki kizazi ni wapole sana na hawana mambo mengi na ndio vijana wa sasa ..
Wavumilivu hawa react sana juu ya serikali wala viongozi wao ..wanaamini kua jasho lina lisha familia na sio Mbunge ....
Hawa hawapigi kura!
Wana idadi kubwa ya waathirika wa dawa za kulevya na bangi kuliko vizazi vyote vilivyo pita ila ni wa staarabu wana elimu bora kiasi sio wazidi wa 80's kiongozi alie bora kwao ni yule anae tekeleza kazi yake na sio chama anachotoka..

watu 2000
Wengi wanaenda kupiga kura kwa mara ya kwanza mwaka 2025 mwaka ambao wale wa 1960's hawapo...endapo kama nita tumia makadirio ya umri wa kuishi wa mTanzania (life span)
Hapa wale wali ishuhudia TANU wanakua hawapo!
Hawa jamaa elimu yao si bora sana hasa kwenye elimu ya kujitegema ukilinganisha na walio pita,wengi walisombwa na BIG RESULT NOW(BRN) elimu ya kujitegemea ni ndogo..
Kuna kundi kubwa zaidi la waathirika wa mihadarati kuliko makundi yote
Panya todi ndio hawa!
Watoto wa singeli ndio hawa!
Hawa ndio watoto wa Kikwete wanaitwa,
Wanajua kila kitu na hawajari.!

Kwao Taifa huja baada ya maslahi binafsi hawapo kwenye mfumo wowote wengi wana elimu ya kidacho cha nne ila ujuziwa mtu darasa la saba

Walio endelea na shule ndio wanaanza ku graduate miaka hii!

Maamuzi yao ni magumu sana na hua hawanaa moyo wa kusita wanaweza fanya jambo huwezi kutegemea!

Hawa ndio main character wa movie ya 2025 nasubiri nione hii Movie kama ni ya Romantic ,Interigence au la kizombi ...
90' kurudi nyuma watapanga vitu na kuandaa pop corn ila movie ni ya watoto wa 2000'sView attachment 2461554
Wewe upo kwenye kundi gani? Tuanzie hapo.
 
I think hawa wanaweza kufanya mapinduzi ya kisiasa.
Mimi naamini kabisa hakuna namna tunaweza kuanza safari ya maendeleo kama taifa ikiwa bado ccm inaongoza nchi.

Na sina imani kama kuna namna ya kuitoa ccm zaidi ya kupiga kura.

Na tumaini pia kizazi cha 2000 kuteremkia chini ndio wanaweza.
 
Kwa jumla kutegemea kuitoa ccm madarakani kwa njia ya kura ni kujidanganya. Wameshajenga utamaduni wa kutoheshimu box la kura, na hawataliheshimu tena maana wameshapoteza ushawishi kwani hiki si kizazi chao. Machafuko au mapinduzi tu ndio yataleta mabadiliko ya kweli, na kufanya box la kura kuheshimiwa.
 
Kwa jumla kutegemea kuitoa ccm madarakani kwa njia ya kura ni kujidanganya. Wameshajenga utamaduni wa kutoheshimu box la kura, na hawataliheshimu tena maana wameshapoteza ushawishi kwani hiki si kizazi chao. Machafuko au mapinduzi tu ndio yataleta mabadiliko ya kweli, na kufanya box la kura kuheshimiwa.
Anza kuchafua kwanza familia yako
 
Mkuu hapa utapewa majibu na comment kulingana na vizazi tajwa.
40s Hawashiki simu/ smartphone
50s wanajaribu Kusoma bila comments focus si nzr sana
60s. Wataisoma tu
70s. Watakujibu vizuri na maoni
80s. Watatoa matusi na kejeli maoni mazur pia wapo
90s. Watatukana wengi
bodaboda na machinga
21st° c hawana time sana Hawa wengi ni bodaboda
 
Nimependa ubunifu wa mwanzisha mada. Ila mgawanyo wa huo umri uta impact kwanza CCM within kabla hatujaona matokeo kama Taifa. Kuna wachache wameshika hatamu ambao mbaya zaidi wanapigana kuachia vijiti watoto wao badala ya Taifa!

Hii syndicate imepenya hadi maeneo nyeti na tayari kuna kundi kubwa ni kama wamewekwa pembeni. Kwasasa struggle za kushika chama zitazidi kuwa ngumu kuliko wakati wowote na ndio itakuja kuleta options kwa Taifa baada ya CCM kupasuka ( kupasuka inaelekea kutimia).

Hiyo kani ya mpasuko wa CCM ni wimbi ambalo joto lake litakuwa hata huku nje kutokana na hiki kizazi kipya ambao sio tena wa kudanganywa na pilau na tsheti. Hili joto litakuwa hata ndani ya systems sababu frontliner watakuwa kizazi kipya cha 80s -90s ambao wataamua ku retaliate mabadiliko yatokee na kuwaacha wazee midomo wazi.

It's coming.... CCM yenyewe itashindwa kuji manage bila kupasuka ... Its coming....

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Nimependa ubunifu wa mwanzisha mada. Ila mgawanyo wa huo umri uta impact kwanza CCM within kabla hatujaona matokeo kama Taifa. Kuna wachache wameshika hatamu ambao mbaya zaidi wanapigana kuachia vijiti watoto wao badala ya Taifa!

Hii syndicate imepenya hadi maeneo nyeti na tayari kuna kundi kubwa ni kama wamewekwa pembeni. Kwasasa struggle za kushika chama zitazidi kuwa ngumu kuliko wakati wowote na ndio itakuja kuleta options kwa Taifa baada ya CCM kupasuka ( kupasuka inaelekea kutimia).

Hiyo kani ya mpasuko wa CCM ni wimbi ambalo joto lake litakuwa hata huku nje kutokana na hiki kizazi kipya ambao sio tena wa kudanganywa na pilau na tsheti. Hili joto litakuwa hata ndani ya systems sababu frontliner watakuwa kizazi kipya cha 80s -90s ambao wataamua ku retaliate mabadiliko yatokee na kuwaacha wazee midomo wazi.

It's coming.... CCM yenyewe itashindwa kuji manage bila kupasuka ... Its coming....

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kabisa mkuu ,tunasubiri tuone hawa wazee wanao amini Tanzania bila ccm haiwezekani wanaelekea kuisha
 
I think hawa wanaweza kufanya mapinduzi ya kisiasa.
Mimi naamini kabisa hakuna namna tunaweza kuanza safari ya maendeleo kama taifa ikiwa bado ccm inaongoza nchi.

Na sina imani kama kuna namna ya kuitoa ccm zaidi ya kupiga kura.

Na tumaini pia kizazi cha 2000 kuteremkia chini ndio wanaweza.
Umejarbu kuangalia watu wanao liwa nyuma wengi wako kundi gani? Hivi jinsia zote zipigwe manyu hio akili ya kutoa CCM wanatoa wap
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom