yamshinde nani ? nipo nawaona
hebu chungulia dirishani hapo TF anakutafuta sana
Mama Tuli niachie hapa mimi na yeye si unajua ile siri yetu wawili
yamshinde nani ? nipo nawaona
unamuogopa akija paw si unalog out kabisa?pheeeew! I had to breathe a sigh of relief! Innovator is gone.
Hizo Monitoring skills za huo wivu ndo shida sasa..........kuna kipindi simu inapigwa akilegeza sauti tu dah roho inaniuma mbaya tena saa nyingine unakuta ni shosti yake tuHahahaha.... Baba Sharon... Wivu katika mapenzi muhimu... Ujue tu ku-monitor wivu wako.....lol
Halafu umeniudhi sana wewe....napita tu hapa
napita tu hapa
mmmh napita tu ?? haya ya baba na mama tuli leo yameniacha hoi loh
Mama Tuli na Rocky nitafutieni Smile wangu mumlete hapa dah mwambie asipende kusikiliza habari za uzushi za mitaani atakufa kwa presha bure
Hahahaha!!! Arifu banaa ukijumlisha na hiyo sauti ya Khia the song sets the mood right
R' i love this song... It is a classic an all time song.... Nice selection pal...
Kingosho una mambo wewe mdada wewe.... yaaani naona hapo Boss saizi yake!!! lol
Hizo Monitoring skills za huo wivu ndo shida sasa..........kuna kipindi simu inapigwa akilegeza sauti tu dah roho inaniuma mbaya tena saa nyingine unakuta ni shosti yake tu
Kila siku napata jambo jipya na ufumbuzi mpya wa wapi nilienda wrong kutoka siku ya kwanza
Na gamba la nyoka linavulika taratibu then rangi yake halisi utaiona
Ila kuumbuka kugumu sana wakati nyoka atakapojionyesha ngozi yake mpya
mmmmh mimi au swit lady?halafu umeniudhi sana wewe....
Sasa umenikumbusha Miss Motivation, Kelly RowlandArifu..hiyo joint ilikuwa mini-anthem flani hivi. Khia amedata yule mdada.
Sasa piga picha Smile ndo anakuimbia hivyo....
hehehe halaf wewe! kwanini umeweka question mark 2?Ndo ujue sasa kua The Finest is doing the needful....lol... Klorokwin are you in Love??
Yes you kwani unafikiria namzungumzia nani.........mmmmh mimi au swit lady?
thats my young sis our last born mimi ni mnene but same face kidogo nitakupm unicheki profile yangu fbsmile you look hot, kid sis.... And sexy....
KBD acha ujanja.... Say something bana!!! Lol