sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,967
- 8,454
Thanx too mpendwa!Thank you dear
niko ok sana naendelea vyema kabisa
Thank you sana
Stay safe.
Thanx too mpendwa!Thank you dear
niko ok sana naendelea vyema kabisa
Thank you sana
Sweetlady....Thanx too mpendwa!
Stay safe.
We we we we we we taratibu hapo mbona unaenda speed ya gun hapa mkuu
taratibu na salimia wenyeji kwanza
Sweetlady....
Baada ya kusoma haya, ODM ana log off.
They say feelings are mutual....I smell something too Mama Tuli aka....
#
My wife ooopppssss sijui nimekosea
Aise hebu nipe huu ufunuo mpya
Nipo kaka mpendwa, nimebanwa kidogo na huu ugeni toka kwa kameruni, hapa tulikuwa na kikao twajiuliza tusign au tusi sign, nitahitaji mchango wa mawazo yako baadae kidogo!
Kuhusu mada I think am in LOVE with TF manake kila nikisoma post zake mapigo ya moyo yanaongeza kasi!..lol..
Weye mzima kabisa?
Husband(wapi smile???),ni hivi haya mambo mengine tukiyamwaga hadharani haifaiii.......
naona smile kabadilisha avatar,unamtega nani sasa?wenzio tushamalizana huku rudi harakaaa
khaaaaaaa!Nipo kaka mpendwa, nimebanwa kidogo na huu ugeni toka kwa kameruni, hapa tulikuwa na kikao twajiuliza tusign au tusi sign, nitahitaji mchango wa mawazo yako baadae kidogo!
Kuhusu mada I think am in LOVE with TF manake kila nikisoma post zake mapigo ya moyo yanaongeza kasi!..lol..
Weye mzima kabisa?
mmmh napita tu ?? haya ya baba na mama tuli leo yameniacha hoi lohHusband(wapi smile???),ni hivi haya mambo mengine tukiyamwaga hadharani haifaiii.......
naona smile kabadilisha avatar,unamtega nani sasa?wenzio tushamalizana huku rudi harakaaa
yamshinde nani ? nipo nawaonaKaona yanamshinda kaamua kuondoka zake
Kweli kabis ahaya mambo sio ya kuongea wala kutyaanika hadharani
Bora tukake kimya wife
Mama Tuli na Rocky nitafutieni Smile wangu mumlete hapa dah mwambie asipende kusikiliza habari za uzushi za mitaani atakufa kwa presha bureHusband(wapi smile???),ni hivi haya mambo mengine tukiyamwaga hadharani haifaiii.......
naona smile kabadilisha avatar,unamtega nani sasa?wenzio tushamalizana huku rudi harakaaa
yamshinde nani ? nipo nawaona
Nilikuwa nategemea ugeuke uwe kama mnara wa babeli kabisakhaaaaaaa!
Mood: lawyer nimepazal
To All Men to know that just a little tenderness is all what woman need at the end of the day ....lol (from Diana King)
Cold, cold di world so cold
Mi waash someone to have and to hold
Ina di nite, when di feelings a bite
Hug mi up, squeeze mi up mek mi feel right
Forget di problems, everybody have dem
Tonight mi just naah feature dem
I, just wanna lay with you,
And be an island in this sea of confusion
.
Una uhakika, I have not nailed him?
He is here beside me, crying these words like a darasa la kwanza kid anavyo-memorise a,e,i,o,u
Touch me, turn me on, and burn me down
Your lips, hold a wild desire
And give a kiss like the devil's fire
Your kind of love could burn a town
Touch me, turn me on, and burn me down
Kopo la chooni la chooni tu hata liwe jipya kamwe haliwekwi kabatini. Habari yako bw. Mashavu?