Dah!! “I think I am in LOVE…..” TGI-Eid!!!

Dah!! “I think I am in LOVE…..” TGI-Eid!!!

We we we we we we taratibu hapo mbona unaenda speed ya gun hapa mkuu
taratibu na salimia wenyeji kwanza

Kopo la chooni la chooni tu hata liwe jipya kamwe haliwekwi kabatini. Habari yako bw. Mashavu?
 
Nipo kaka mpendwa, nimebanwa kidogo na huu ugeni toka kwa kameruni, hapa tulikuwa na kikao twajiuliza tusign au tusi sign, nitahitaji mchango wa mawazo yako baadae kidogo!


Kuhusu mada I think am in LOVE with TF manake kila nikisoma post zake mapigo ya moyo yanaongeza kasi!..lol..

Weye mzima kabisa?

wow bora umetokezea manake nilikuwa najiuliza...nimeona apo pa kusaini tu, kama chini ya dola 200 usikubali kabisa...lol

uzima upo kabisa sweetie si unajua mambo yake, haniachii nianguke kwa ugonjwa...always there,,,apo kwa TF nakushauri fikiria tena lol
 
Husband(wapi smile???),ni hivi haya mambo mengine tukiyamwaga hadharani haifaiii.......
naona smile kabadilisha avatar,unamtega nani sasa?wenzio tushamalizana huku rudi harakaaa

Kaona yanamshinda kaamua kuondoka zake
Kweli kabis ahaya mambo sio ya kuongea wala kutyaanika hadharani
Bora tukake kimya wife
 
Nipo kaka mpendwa, nimebanwa kidogo na huu ugeni toka kwa kameruni, hapa tulikuwa na kikao twajiuliza tusign au tusi sign, nitahitaji mchango wa mawazo yako baadae kidogo!


Kuhusu mada I think am in LOVE with TF manake kila nikisoma post zake mapigo ya moyo yanaongeza kasi!..lol..

Weye mzima kabisa?
khaaaaaaa!
Mood: lawyer nimepazal
 
Husband(wapi smile???),ni hivi haya mambo mengine tukiyamwaga hadharani haifaiii.......
naona smile kabadilisha avatar,unamtega nani sasa?wenzio tushamalizana huku rudi harakaaa
mmmh napita tu ?? haya ya baba na mama tuli leo yameniacha hoi loh
 
pendaneni kama nilivyowapenda



Bht nasikitika umepost hii kitu sipo.... Hopefully you have not left... Miss you bana, umeadimika.... (jana niliona tu nyayo zako....lol)
 
  • Thanks
Reactions: bht
Husband(wapi smile???),ni hivi haya mambo mengine tukiyamwaga hadharani haifaiii.......
naona smile kabadilisha avatar,unamtega nani sasa?wenzio tushamalizana huku rudi harakaaa
Mama Tuli na Rocky nitafutieni Smile wangu mumlete hapa dah mwambie asipende kusikiliza habari za uzushi za mitaani atakufa kwa presha bure
 
To All Men to know that just a little tenderness is all what woman need at the end of the day ....lol (from Diana King)

Cold, cold di world so cold
Mi waash someone to have and to hold
Ina di nite, when di feelings a bite
Hug mi up, squeeze mi up mek mi feel right
Forget di problems, everybody have dem
Tonight mi just naah feature dem
I, just wanna lay with you,
And be an island in this sea of confusion

.


R' i love this song... It is a classic an all time song.... Nice selection pal...

Una uhakika, I have not nailed him?

He is here beside me, crying these words like a darasa la kwanza kid anavyo-memorise a,e,i,o,u

Touch me, turn me on, and burn me down
Your lips, hold a wild desire
And give a kiss like the devil's fire
Your kind of love could burn a town
Touch me, turn me on, and burn me down



Kingosho una mambo wewe mdada wewe.... yaaani naona hapo Boss saizi yake!!! lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom