Si nilishasema nilifall kwa Smiles?
yaani unaweza kufall kwa mtu badae unakuja kushangaa hv ulimpendea nini maana unakuta hata umfurahii kiviile ulivotegemeahalafu mapenzi is very very automatic, unamwona sometimes mtu humjui, hakujui, tena si msafi saana, basi tu unaanza kumtamani in short time na kumpenda alivyo, unaanza kuhema juu juu, unatetemeka, loosing ur confidence, unaangalia angalia ka mwizi, na vimacho vya haiba, weweee..
wory not sis tuendeleejamani mdogo wangu.... Read between the lines... Leo ni loving and loving and loving kuenda mbele.....lol
Halafu mapenzi is very very automatic, unamwona sometimes mtu humjui, hakujui, tena si msafi saana, basi tu unaanza kumtamani in short time na kumpenda alivyo, unaanza kuhema juu juu, unatetemeka, loosing ur confidence, unaangalia angalia ka mwizi, na vimacho vya haiba, weweee..
Mara nyengine huwa ninasikia kitu inaitwa "Love at first sight". Can this be true love?Halafu saa zingine mimi huwa nahisi kuwa kwa wengine inaweza kuwa sio LOVE bali ni INFATUATION. Real LOVE takes time.
Mpaka ulale naye ndio ujue kuwa ni Infatuation au love? Tunawezaje kutafautisha baina ya Mapenzi na matamanio?Ukitaka kujua ni Infatuation wewe lala na mhusika then you will know...lol
Ntarudi tena kwenye darasa la mapenzi aisee,ODM My Darling shem....
Kupenda mtu zaidi ya mmoja (na woote ukawa na mahusiano nao) kwa wakati mmoja yawezekana....
kua na mapenzi ya dhati kwa zaidi ya mtu mmoja, IMO naona hapana... haiwezekani...
Hivo basi kwa mkatadha huo i understand kabisa hali ya kua na feelings zaidi ya mtu mmoja.
Dada,is not that simple,lakini faham najua kuwa mwanaume hajakiwi kuogopa changamoto zozote ndo maana akawa mwanaume,ila naomba pia ujue msimamo wangu ni wa sasa may be kesho naweza kuamka na mtazamo tofauti,ziziogopi changamoto za mahusiano,i just don't want to!At least for now!
Katika mapenzi, kwa kuangalia points 10 ulizotoa pamoja na quotation uliyoweka, ninakubaliana na maneno ya Filosofa Nietzsche kuwa:
"There is always a little madness in loving, but there is also some reasons in the madness".
Nasema hivyo kwa sababu imenitokea kupenda nisiyemjua physically na sina hakika kama daima nitamjua, lakini kama alivyosema mmoja kabla, huwa ninasubiri messages na simu zake, ili midundo ya moyo ipungue. This is the madness in love Im talking, but Im conviced that there's some reasons behind this madness.
"I have loved to the point of Madness,
That which is called madness,
That which to me is the only sensible way to Love"
"There is always a little madness in loving, but there is also some reasons in the madness".
yap inawezekana ila tatizo hapo hayo mapenzi yanakosa balance maana unamuona mtu na kumdondokea lakini yeye hakufeel kabisamara nyengine huwa ninasikia kitu inaitwa "love at first sight". Can this be true love?
?
.
Ntarudi tena kwenye darasa la mapenzi aisee,
Kwahiyo unataka kuniambia hawa watu wanaooa wake wawili, kuna mmoja anakuwa anapendwa zaidi ya mwingine?
yaani unaweza kufall kwa mtu badae unakuja kushangaa hv ulimpendea nini maana unakuta hata umfurahii kiviile ulivotegemea
Yaani Prezidaa naona tupo wooote pamoja kabisa, hapo juu si masihara aisee.....lol
Unakuta mtu anakwambia unampendea nini yule, yaani unamwangaliaaa, unakosa jibu maana that time anaongea kwa mdomo & meanwhile unaongea kwa moyo when in love, jibu ni basiiii tu nampendaaa