Dah!! “I think I am in LOVE…..” TGI-Eid!!!

Dah!! “I think I am in LOVE…..” TGI-Eid!!!

kwanza kwa my darling wife
pili kwa rafiki yake wife (huyu alinitosa akaenda nje ya nchi, wife akiwa rafiki yake akanionea huruma na akawa akinifariji sana......... Huruma ikageuka kuwa penzi zito hatimaye ndoa)
tatu kuna mdada mmoja hivi tulikutana kimaajabu tu, tukacheat mara moja na tangu hapo moyo wangu umemdondokea. Anaiheshimu sana ndoa yangu na hayuko tayari kucheat tena. Ila dah!
Nne haka kabinti ka kazini nakokusimulia (sithubutu kukatongoza, kakinikatalia ntakufa lol
tano soulmate gaga via keyboard
sita............khaaa! kamatesha kangu...... Kananisisimua sana bana!



what!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Only time will tell bro... lets wait and see as per your admittance....

U knw Dada,we do have 2 probem here,the first one is,i already withdrow from thi7 race so i need sababu ya kurudi,na bado haijapatikana,tatizo la pili ni kuwa,4 example,lets say yes i admit that then who,nimeshasahau hata kutongoza(usicheke)it's almost 3 years now!
 
Kwanza kwa my darling wife
Pili kwa rafiki yake wife (huyu alinitosa akaenda nje ya nchi, wife akiwa rafiki yake akanionea huruma na akawa akinifariji sana......... huruma ikageuka kuwa penzi zito hatimaye ndoa)
Tatu kuna mdada mmoja hivi tulikutana kimaajabu tu, tukacheat mara moja na tangu hapo moyo wangu umemdondokea. Anaiheshimu sana ndoa yangu na hayuko tayari kucheat tena. Ila dah!
Nne haka kabinti ka kazini nakokusimulia (sithubutu kukatongoza, kakinikatalia ntakufa LOL
Tano soulmate Gaga via keyboard
Sita............khaaa! Kamatesha kangu...... kananisisimua sana bana!
It is impossible for a man to be cheated by anyone but himself.

 
Leo mbona unashtuka sana? My love kwa Matesha ni almost proportional to my love to you............shem bana!



Whoooow!! TGI-Eid.....

Haya basi nipe mpango mzima nini umeamua kuhusu huyo binti?? Take note nina Greda!
 
U knw Dada,we do have 2 probem here,the first one is,i already withdrow from thi7 race so i need sababu ya kurudi,na bado haijapatikana,tatizo la pili ni kuwa,4 example,lets say yes i admit that then who,nimeshasahau hata kutongoza(usicheke)it's almost 3 years now!



Huh?? 3 years of what exactly??
 
Huh?? 3 years of what exactly??

Mh!Umesahau tunachoongelea?Any way,ni miaka mi 3 bila kujihusisha na masuala ya mapenzi,ikiwamo kutongoza,sex na yote yanayohusiana na hayo mambo!Umenipata?
 
Mh!Umesahau tunachoongelea?Any way,ni miaka mi 3 bila kujihusisha na masuala ya mapenzi,ikiwamo kutongoza,sex na yote yanayohusiana na hayo mambo!Umenipata?



Nilitaka utamke kabisa..... Dah! BRAVO My broda..... 😛oa
 
Okay,ngoja nione muda utaleta nini kwenye hili jambo!
 
Akikupa za mchina itakuwa balaa,unaweza kutoroka ofisini ili kwenda kunusa nguo yake ambayo haijafuliwa anapokua hayupo!

Ha ha ha, amplified insanity, thats love.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom