Dah, Bolingo zilizowahi nibamba

Dah, Bolingo zilizowahi nibamba

Kwa muziki wa kikongo enzi hizo ndio ulikua burudani yangu.wasanii hawa walinikosha na bado kazi zao zinanikosha
Pepe kale-Gerant,Zonga aime...
Aurlus Mabere-Evelina
Boziboziana-Jeu muke,Ego makengo
Damien Aziwa-souvenir de kinshasa
Soukous Stars-Cavina,
Wenge BCBG na album yao ya TITANIC ndani humo huwa hakuna hata wimbo mmoja ninouruka kuckiliza.
 
Kuna hizi ngoma za Mbilia Bel pamaja na Tabu Lay.Eswi Yo Wapi, Nazali Mwasi, Nadina,Nakeyi Nairobi, FAUX Pas,
 
bolingo zilikuwa zamani hakika...
na binafsi yangu ukinitajia Mtindo wa Bolingo ninaoukubali basi sisiti kuutaja mtindo uliitwa Soukous...

Na kama utazungumzia Soukous basi Sokous Stars ndo bendi.
Na miongoni mwa nyimbo za Soukous ninazozikubali basi...
1. Rose
2. Robin pretty
3. Sophia
4. Rhoda.
5. Aba goimo
Kisha ktk kundi la sokous alikuwepo shangazi mmoja alieitwa Yondo Kusala maarufu kama Yondo Sister ambae nae alitamba na vibao kama...
1. Cayina
2. Bazzo
3. Mwana kento
4. Wapi yoo
Na nyingine nyiingi sana.

Halafu pakawepo na mtu alieitwa Luciana Bokilo.
Bokilo yeye alitamba na...
1. Aziza
2. Missete
3. One way.

Kisha akaja kamanda mwingine alieitwa Lokasa ya Mbongo ambae nae akapiga ngoma kali kama...
1. Adiza
2. Marijose
3. Monica.
4. Nairobi night amabao kwa pamoja alishirikiana na makamanda wenzie waliounda Soukous Stars.

Machi/5/1989 katika hotel ya New Morning mjini Paris Mpiga gitaa la Bass Ngouma Lokito akiwa na nguli mwenzie ambae ni mcharaza Gitaa la Rythim Lokasa ya Mbongo walianzisha Band ambayo waliibatiza jina la Soukous Stars.

Miongoni mwa members wengine walikuwemo Paris Shimita,
Yondo Sister, Balu kanta na Zitani Nell.. nyota wengi ktk bara hili kama Manu Dibango, Jacob Desvarieux, Jocelyn Kiambukuta na Sam
Mangwana, walikuwapo siku hiyo.

Kituo kikubwa cha matangazo nchini Ufaransa RFI (Radio France International) walirusha LIVE tukio hilo la kumbukumbu.

Mara moja bendi ikawa na ikaanza kufanya maonesho ya LIVE karibu Duniani kote huku wakishirikiana na nyota wengine Barani Efrica.
Baada ya miaka kadhaa kupita Soukous Stars wakajinyakulia umaarufu wa hali ya juu.
miongoni mwa nyota waliokuwepo ktk kundi hilo ambao walitoka nchi mbali mbali barani Africa ni Yondo Sister, Shimita, Nyomba,
Luciana de Mingongo toka Kinshasa, Democratic
Republic of Congo;.

Kisha wakawepo Ballu Canta, Zitani Nell, Pierre
Belcos, Lucien Bokilo toka Congo Brazzaville;

Saladin Saladin wa Central Africa Republic;

Arsene Kounde toka Benin na Joseph Koujojo toka
Cameroon.

Balantanda njoo uwazungumzie Wenge BCBG walipotoka mpaka walipo sasa.
 
Koffie olomide
1.julie
2.loi
3.magiec
soukous star
~rose
tshala mwana
~africa modimba
~nakei nairobi
extra musica
~et major
~losambo
wenge bcbg
~mohamed kanyansi
~filandu
 
Inde monnie wa kanda bongoman. My first ever bolingo na wa kwanza kuona live in a stadium. Sitasahau japo i was almost crucified for it hehehe.

Hahahahhh. Kumbe King'asti we wa juzi juzi tu. Basi kwa taarifa yako gitaa la solo la huo wimbo lilipigwa na Nene Tchakou, rythm Lokassa ya Mbongo na sometimes Nene alikuwa akisaidia kuimba. Lakini pia Dally Kimoko alipiga gitaa la solo kwenye baadhi ya nyimbo kwenye hiyo album, kama ule wimbo wa Wallow. Upo hapo?
Anne Missette wa Lucien Bokilo ni moto

Duh. Ndugu Ndoa, hiyo album ninayo nzima nzima, niliinunua Kariakoo 2005, iko bomba sana. Gitaa la solo kapiga Dally Kimoko akisaidiwa na Caen Madoka (kumbuka kwamba hao vijana ni product ya Loketo). Kwenye rap za hiyo album yumo Albert William Longomba (AWILO) na Aurlus Mabele. By then, kila mwanakikundi wa Loketo alisaidiwa na kundi kutoa album, kwa hiyo akina Mack Macaire, Jean Baron, Lutchiana J Toto, Lucien Bokilo, Djunny Claude, Dally Kimoko, Awilo, Mabele na wengineo wote walitoa album kipindi hicho. Umenikumbusha mbali sana. Huwa na enjoy sana hizo nyimbo, ninazo kwenye flash najiburudisha nikiwa na nafasi.
 
Last edited by a moderator:
hahahahhh. Kumbe king'asti we wa juzi juzi tu. Basi kwa taarifa yako gitaa la solo la huo wimbo lilipigwa na nene tchakou, rythm lokassa ya mbongo na sometimes nene alikuwa akisaidia kuimba. Lakini pia dally kimoko alipiga gitaa la solo kwenye baadhi ya nyimbo kwenye hiyo album, kama ule wimbo wa wallow. Upo hapo?


Duh. Ndugu ndoa, hiyo album ninayo nzima nzima, niliinunua kariakoo 2005, iko bomba sana. Gitaa la solo kapiga dally kimoko akisaidiwa na caen madoka (kumbuka kwamba hao vijana ni product ya loketo). Kwenye rap za hiyo album yumo albert william longomba (awilo) na aurlus mabele. By then, kila mwanakikundi wa loketo alisaidiwa na kundi kutoa album, kwa hiyo akina mack macaire, jean baron, lutchiana j toto, lucien bokilo, djunny claude, dally kimoko, awilo, mabele na wengineo wote walitoa album kipindi hicho. Umenikumbusha mbali sana. Huwa na enjoy sana hizo nyimbo, ninazo kwenye flash najiburudisha nikiwa na nafasi.

hivi ni kweli jean baron alishafarki?
 
hivi ni kweli jean baron alishafarki?

Ni kweli kabisa. Alifariki mwaka 2005. Kitaaluma alikuwa ni daktari msaidizi (assistant medical officer), lakini aliamua kutelekeza fani hiyo na kujikita kwenye muziki.
 
Filandu
Eve sukali
Hi ho ha new image
Champion kapangala
Masuwa
Daniko-bcbg 4x4
Dizoizo
Porme verte-koffi
Respect
Farousci
Mama mapasa-pepe kale
Christina
Moibi
Khadija
Evelina-aulus mabele
Nimeishiwa betri-mimi

Champion kapangala Noooma!! Alan Mpela na Emelia eliyase
 
Ni kweli kabisa. Alifariki mwaka 2005. Kitaaluma alikuwa ni daktari msaidizi (assistant medical officer), lakini aliamua kutelekeza fani hiyo na kujikita kwenye muziki.

Asante kwa taarifa Mkuu. Ni huzuni kwetu wadau wa muziki wa aina hii.
 
Kwa muziki wa kikongo enzi hizo ndio ulikua burudani yangu.wasanii hawa walinikosha na bado kazi zao zinanikosha
Pepe kale-Gerant,Zonga aime...
Aurlus Mabere-Evelina
Boziboziana-Jeu muke,Ego makengo
Damien Aziwa-souvenir de kinshasa
Soukous Stars-Cavina,
Wenge BCBG na album yao ya TITANIC ndani humo huwa hakuna hata wimbo mmoja ninouruka kuckiliza.

Mjomba TITANIC ni album ya kuotea mbali.. Tracks zoote moto chini
 
Koffie olomide
1.julie
2.loi
3.magiec
soukous star
~rose
tshala mwana
~africa modimba
~nakei nairobi
extra musica
~et major
~losambo
wenge bcbg
~mohamed kanyansi
~filandu


Ebana Nakei Nairobi mwenyewe ni Mbilia Bell na si Tshala muana.
Ila Tshala muana ana kitu cha kuitwa Sesa...balaa
 
bolingo zilikuwa zamani hakika...
na binafsi yangu ukinitajia Mtindo wa Bolingo ninaoukubali basi sisiti kuutaja mtindo uliitwa Soukous...

Na kama utazungumzia Soukous basi Sokous Stars ndo bendi.
Na miongoni mwa nyimbo za Soukous ninazozikubali basi...
1. Rose
2. Robin pretty
3. Sophia
4. Rhoda.
5. Aba goimo
Kisha ktk kundi la sokous alikuwepo shangazi mmoja alieitwa Yondo Kusala maarufu kama Yondo Sister ambae nae alitamba na vibao kama...
1. Cayina
2. Bazzo
3. Mwana kento
4. Wapi yoo
Na nyingine nyiingi sana.

Halafu pakawepo na mtu alieitwa Luciana Bokilo.
Bokilo yeye alitamba na...
1. Aziza
2. Missete
3. One way.

Kisha akaja kamanda mwingine alieitwa Lokasa ya Mbongo ambae nae akapiga ngoma kali kama...
1. Adiza
2. Marijose
3. Monica.
4. Nairobi night amabao kwa pamoja alishirikiana na makamanda wenzie waliounda Soukous Stars.

Machi/5/1989 katika hotel ya New Morning mjini Paris Mpiga gitaa la Bass Ngouma Lokito akiwa na nguli mwenzie ambae ni mcharaza Gitaa la Rythim Lokasa ya Mbongo walianzisha Band ambayo waliibatiza jina la Soukous Stars.

Miongoni mwa members wengine walikuwemo Paris Shimita,
Yondo Sister, Balu kanta na Zitani Nell.. nyota wengi ktk bara hili kama Manu Dibango, Jacob Desvarieux, Jocelyn Kiambukuta na Sam
Mangwana, walikuwapo siku hiyo.

Kituo kikubwa cha matangazo nchini Ufaransa RFI (Radio France International) walirusha LIVE tukio hilo la kumbukumbu.

Mara moja bendi ikawa na ikaanza kufanya maonesho ya LIVE karibu Duniani kote huku wakishirikiana na nyota wengine Barani Efrica.
Baada ya miaka kadhaa kupita Soukous Stars wakajinyakulia umaarufu wa hali ya juu.
miongoni mwa nyota waliokuwepo ktk kundi hilo ambao walitoka nchi mbali mbali barani Africa ni Yondo Sister, Shimita, Nyomba,
Luciana de Mingongo toka Kinshasa, Democratic
Republic of Congo;.

Kisha wakawepo Ballu Canta, Zitani Nell, Pierre
Belcos, Lucien Bokilo toka Congo Brazzaville;

Saladin Saladin wa Central Africa Republic;

Arsene Kounde toka Benin na Joseph Koujojo toka
Cameroon.

Balantanda njoo uwazungumzie Wenge BCBG walipotoka mpaka walipo sasa.

Mh! Hapa nimekubali,sikujua kama Saladin hakuwa Mkongo. Hebu nikumbushe gitaa za Rythim na Base walipiga akina nani
maana nakumbuka Saladin alipiga solo gitaa.

Kuna huu wimbo wao wa Rosa:

Shimita: Ningekuwa na pesa ningenunua ndege, twende kuishi tuu karibu na mweziii
Wanaitikia: Kwa sababu watu wasituudhiii, kipenda roho hula nyama mbichii Rosaa............
 
Back
Top Bottom