Dah, Bolingo zilizowahi nibamba

Dah, Bolingo zilizowahi nibamba

Mh! Hapa nimekubali,sikujua kama Saladin hakuwa Mkongo. Hebu nikumbushe gitaa za Rythim na Base walipiga akina nani
maana nakumbuka Saladin alipiga solo gitaa.

Kuna huu wimbo wao wa Rosa:

Shimita: Ningekuwa na pesa ningenunua ndege, twende kuishi tuu karibu na mweziii
Wanaitikia: Kwa sababu watu wasituudhiii, kipenda roho hula nyama mbichii Rosaa............


Gitaa la Bass na Rythim waliyashika waanzilishi haswaa wa kundi hili...
Bass lilikamatwa na Ngouma Lokito na Rythim ama gitaa la kati lilipapaswa na mkongwe Lokasa ya Mbongo
 
Skia gitaa hilo???? even me naupenda sana na umenikoshaje sasa. Then ananyimbo 1 inaitwa TECHNO MALEWA MECANIQUE na TECHNO MALEWA SUITE

Frame kapaya kwenye solo guitar! Kie kie kie
 
DEDE- Zaiko Langa Langa. Hii track ikipigwa club lazima wazee wenzangu wenye vitambi wanaamka kusakata rumba.
 
kitu cha mzee bozi bozi Anna.(TEMBE NA TEMBE)kuna yule stage show wake mmoja,alikuwa maarufu sana anaitwa SIKOLA MIELE,Mama nzawisa!zamani raha jamani!,2.Gatto azalaki awa,ngoza za kwetu, 3.zipompapompa,
 
Anayeweza kuniwekea wimbo wowote wa lile kundi kama sikosei lilikuwa linaitwa LUCIANA ndani pia walikuwepo AWILO LONGOMBA na NIMON TOKILALA, kiongozi wa kundi nafikiri ndiye hasa alikuwa anaitwa LUCIANA ambao nilisikiaga kundi lilisambaratika baada ya wanamuziki wengi kufariki kwenye ajali ya ndege kama sikosei.

Wale wazee wa "Zipompa pompa .......eeehh,....Zipompile papapa"
 
Mh! Hapa nimekubali,sikujua kama Saladin hakuwa Mkongo. Hebu nikumbushe gitaa za Rythim na Base walipiga akina nani
maana nakumbuka Saladin alipiga solo gitaa.

Kuna huu wimbo wao wa Rosa:

Shimita: Ningekuwa na pesa ningenunua ndege, twende kuishi tuu karibu na mweziii
Wanaitikia: Kwa sababu watu wasituudhiii, kipenda roho hula nyama mbichii Rosaa............
Nadhani Gang Chomba ameeleza vizuri hapo juu, nili quote kutaka kutoa jibu. Lokassa ya mbongo na Ngouma Lokito ndio wahusika.

Anayeweza kuniwekea wimbo wowote wa lile kundi kama sikosei lilikuwa linaitwa LUCIANA ndani pia walikuwepo AWILO LONGOMBA na NIMON TOKILALA, kiongozi wa kundi nafikiri ndiye hasa alikuwa anaitwa LUCIANA ambao nilisikiaga kundi lilisambaratika baada ya wanamuziki wengi kufariki kwenye ajali ya ndege kama sikosei.

Wale wazee wa "Zipompa pompa .......eeehh,....Zipompile papapa"
Ndugu, nina hizo nyimbo, ila sijajua nitaziwekaje. I'll try
 
Masuu ya Wenge bcbg, Fred nelson ya extra musica.....Nessy de London, Firie na Famie kikuta za mtu mzma Defao, Pesa position na auto route zte za Madilu system
 
Masuu ya Wenge bcbg, Fred nelson ya extra musica.....Nessy de London, Firie na Famie kikuta za mtu mzma Defao, Pesa position na auto route zte za Madilu system
Inaitwa masuwa imepigwa na jb mpiana kwa kulaghai wenzake...usichokijua usijitie utaalaam
 
mie huwa naambiwa napitwa na wakati kwa kusikiliza bolingo ila jamani acheni kabisa bolingo ni noma yaani base guitor,sollo guitor,rythm,tumba na vikorokoro vingine ndani yaani mziki safiiiiiiii acha kabisa.Mie kwa bolingo huniambii kitu.
  1. Mbuta likasu
  2. Pierre Belkos
  3. Dr.Sakis
  4. Franco
  5. Damien Aziwa
  6. Extra musica
  7. Kofii Olomide
  8. Yondo Kusala
  9. Awilo
  10. Mark Macaire aseee list ni ndefu
 
Back
Top Bottom