Dah, Bolingo zilizowahi nibamba

Dah, Bolingo zilizowahi nibamba

noblesse oblige by Koffi Olomide,papa plus - Koffi Olomide,adrada - Koffi Olomide,Sala noki -General Defao,kalai boeing wenge BCBP,Isambe -Kanda Bongo man na nyingine kibao enzi hizo muziki wa bolingo toka Zaire ulikuwa uko juu c mchezo
 
Mhhhhh! lol! hahahaha!!! Mie wala sitii neno 🙂....Father's day is just around the corner.



ha haaa, hii kazi nimefundishwa na rafiki yangu BAK....
sijui kapotelea wapi siku 2 hizi hata sijamsikia.
Enjoy
 
Last edited by a moderator:
Ila nyimbo za kofi olomide zilikuwa zinabamba sana
Na kuna wale wanamziki walikufaga kwa ajali ya ndege, hebu mikumbushe kundi lile lilikuwa linaitwaje manake nao walikuwa balaa
 
Filandu
Eve sukali
Hi ho ha new image
Champion kapangala
Masuwa
Daniko-bcbg 4x4
Dizoizo
Porme verte-koffi
Respect
Farousci
Mama mapasa-pepe kale
Christina
Moibi
Khadija
Evelina-aulus mabele
Nimeishiwa betri-mimi


Mkuu hapo kwa Champion Kapangala nadhani dhumuni haswa ulitaka uuweke Surprise kapangala ambao ni Ngiama Makanda ndo aliuimba kisha akaja pokewa na Roberto Wuunda Ekokota.

Huo Champion Kapangala upo kwenye album ya Titanic na hauendani kabisa kiumri na hizo ulizoziweka hapo...

Tuendelee...
 
mi sijui majina najua yale niliyokuwa naimba tu kwa tafsiri yangu ya kingoni sijui!
..isambe
....inde moniiii
.....salanoki
......yondo sister mwana maaama
ehehehhe wen music was music


Hiyo Yondo Sister mwana Maama inautwa Mbuta mutu...
 
kuna goma linaitwa extra ball wa aurlus mabele ni noma hapo ndo diblo dibala aliwaonyesha wapiga solo nini maana ya kipaji, jamaa anakung'uua solo si mchezo wataalamu wanakwambia diblo alipiga tune za nyimbo karibu kumi ktk hyo nyimbo moja.
 
umejileta mwenyewe, amkia...
yaani GF wa kwanza mwaka 75 wakati mwanangu wa kwanza kazaliwa 73........
amkia haraka sana

Du!! Watu kwa kutambiana na u-seniority!!! Shikamoo lakini. You deserve it hata kama nami ni mkubwa kiasi chake🙂
 
Back
Top Bottom