Dah, Bolingo zilizowahi nibamba

Dah, Bolingo zilizowahi nibamba

Lol. Bestbweka na ule wa 'anga-nga-nga' sijui nini. Nadhani ni wa koffie olomide. Yaani memoirs kibao
ha haaaaa, lol!


Duh, uwege unaniamkia shkamoo mbili kilamukiniona online. Sawa? Hata pepe kale humjui wewe!
eheheee mimi nimeanza kuona bolingo kwa fm academia makumbusho pale....

Aisee, maza aliwasha moto. Na mie nilikuwa naelezea kwa raha zangu teh teh. Aligundua it was a big mistake kuniruhusu kwenda kwa sis na ndo kaanza tu kujitegemea.

Nikiosha vyombo naimba tu 'ukishakula, inde. Tingisha, inde...'
HA ha ha ha, kumbe nyie mliendelea siku nyingi?

Enzi za Kanda bongoman nilikuwa Mwalimu wa Msingi Sangabuye, sikuwa na hela zaidi ya kanda.

Nimecheka, eti crusified.
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha ha, hata mie nashangaa

Hapa nimefunga mlango wa ofisi navuja jasho kwa kucheza, nimewasha muziki wa komputa hadi mwisho
Uwe makini tu usije ukakasukuma kakompyuta kwa kwa kunogewa mchezo . Ama kweli ya kale ni dhahabu
 
Filandu
Eve sukali
Hi ho ha new image
Champion kapangala
Masuwa
Daniko-bcbg 4x4
Dizoizo
Porme verte-koffi
Respect
Farousci
Mama mapasa-pepe kale
Christina
Moibi
Khadija
Evelina-aulus mabele
Nimeishiwa betri-mimi
 
Jaribu na Operation Dragon hiyo nayo ni Moto. Kwa ukweli ni kwamba Werrason akiwa na Bill Clinton walikua noma.
 
Lol. Bestbweka na ule wa 'anga-nga-nga' sijui nini. Nadhani ni wa koffie olomide. Yaani memoirs .'
ha haaa, sasa rafiki sijui unamaanisha upi....
ila za Olomide zilizokuwa zinanibamba ni
na
 
Last edited by a moderator:
ha haaa, sasa rafiki sijui unamaanisha upi....
ila za Olomide zilizokuwa zinanibamba ni

Kumbe wewe bado mwali kabisa, yaani Loi ya Kofi unaiona ya zamaniii wakati sisi tumecheza miziki ya
Franco Lwambo Makiadi na TP (Tout Poussant) OK JAZZ miaka ya 70. Nakumbuka Mario, Pesa position, Mamuu.

Girlfriend wangu wa kwanza nimempata tukiwa ukumbini Kinshasa mwaka 1975 tunacheza ngoma ya Flora une femme difficile by Franco / TP OK Jazz | Song | Free Music, Listen Now.

Naomba shikamoo yangu ha ha ha!
 
Kumbe wewe bado mwali kabisa, yaani Loi ya Kofi unaiona ya zamaniii wakati sisi tumecheza miziki ya
Franco Lwambo Makiadi na TP (Tout Poussant) OK JAZZ miaka ya 70. Nakumbuka Mario, Pesa position, Mamuu.

Girlfriend wangu wa kwanza nimempata tukiwa ukumbini Kinshasa mwaka 1975 tunacheza ngoma ya Flora une femme difficile by Franco / TP OK Jazz | Song | Free Music, Listen Now.

Naomba shikamoo yangu ha ha ha!
umejileta mwenyewe, amkia...
yaani GF wa kwanza mwaka 75 wakati mwanangu wa kwanza kazaliwa 73........
amkia haraka sana
 
[video=youtube_share;IILSSl2XCB0]http://youtu.be/IILSSl2XCB0[/video]

haya hiyo ferre gola kaimba LIVE kisasa old bolingo zote zilizotamba
 
mi sijui majina najua yale niliyokuwa naimba tu kwa tafsiri yangu ya kingoni sijui!
..isambe
....inde moniiii
.....salanoki
......yondo sister mwana maaama
ehehehhe wen music was music
 
umejileta mwenyewe, amkia...
yaani GF wa kwanza mwaka 75 wakati mwanangu wa kwanza kazaliwa 73........
amkia haraka sana

Gf wa kwanza mwaka 75 nikiwa na miaka zaidi ya 25 (nilikuwa muoga kuanza mapema). Kwa hiyo ukipiga hesabu ya MAGAZIJUTO utakuta shikamoo kutoka kwako naahitaji zaidi kuliko wewe unavyohitaji.

Kwa haraharaka nahisi snowhite anaweza kuniita baba mkubwa!

Copy: charminglady
 
Last edited by a moderator:
ha haaa, hii kazi nimefundishwa na rafiki yangu BAK....
sijui kapotelea wapi siku 2 hizi hata sijamsikia.
Enjoy

huu mi nilikuwa naupanda pale wanasema
..................ndi ndi ndi shikamo,marahaba!ndi ndi ndi shikamoooo marahaba!
uuuwih!
 
Last edited by a moderator:
Naupenda huu wimbo hadi leo, ni wimbo mzuri sana,
Enzi hizo mwalimu wa shoo kwenye maharusi, lol, tunatoka mbali jamani

Julie ni bonge la song m2 wng ama kweli za kale dhahabu
 
Back
Top Bottom