MT KILIMANJARO
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 4,215
- 761
hawa watu walivyo na ukabila kahama kweli au katumwa kwenda kutafuta tarifa ccm mwangalieni vizuri huyo mtu.
Nani wenye ukabila.jinga lingine hili.
hawa watu walivyo na ukabila kahama kweli au katumwa kwenda kutafuta tarifa ccm mwangalieni vizuri huyo mtu.
Nani wenye ukabila.jinga lingine hili.
Usitake kupoteza mada kubali ukweli, ni dada yake toka ni toke, baba na mama mmoja.
Link hii hapa kasome: http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/15665-dada-wa-mbowe-atimkia-ccm
Hapa kuna mawili, yawezekana kaka kakiuka makubaliano au dada kauona ukweli kuwa chama hakina mwelekeo wa kuchukua nchi 2015 so kaona aanze mapema.
Ukiisoma vizuri kule Hai (dada alikorudisha kadi) mwenyekiti wa CCM anasema Jan - Aug 2013 tayari wana-CDM 550 wamerudi CCM. Wamewastukia wapiga dili wa CDM!!
hata mimi sijamuelewa Saanane! inaelekea habari hii imemchanganya sana!
Amejitambua kuwa yeye hawezikuwa msukule.
Inawezekana Mbowe alitaka ampeleke kwenye vurugu akaona upuuzi.
soon vijana wengi watajitambua pia[/QUOTE
WE MWENYEWE HUJITAMBUI, MTU ANAYEJITAMBUA HAWEZI KUJADILI MAMBO YA KIDHAHANIA. HUWEZI KUJADILI MISUKULE KAMA HUKUWAHI KUITENGENEZA, KUWA MSUKULE NA HATA KUIONA. MANAKE UNAIMANI ZA KICHAWI NA KAMA UNA IMANI ZA KICHAWI LAZIMA WAZO LA KUDHANI UTALIDANDIA KAMA VILE UMESAFIRI KWENDA MWEZINI. MAMBO YA MSINGI YANAYOJENDA TZ HAMJADILI, AKISEMWA MBOWE AMA SLAA MNAACHA KAZI ZENU, NA KUJIONA MMEFANYA KAZI KUBWA KWELIKWELI. HERI NIKAE JALALANI NA KULA TAKA KULIKO KUISHI ULAYA NIKIWA NA MAWAZO MFU.
maana ya peoples power !!inamaanisha chadema ni chama cha watu na sio familia
Ukweli ni huu hapa; Hii ni taarifa kutoka kwa mmoja wa wanafamilia ya Mbowe.Freeman Mbowe wa Chadema.
USAHIHI WA UVUMI ULIOENEZWA NA MAGAZETI YA CCM KUWA DADA WA KAMANDA MBOWE AMEHAMIA CCM TOKA CHADEMA
Grace Mbowe ni dada wa afande Gervace Mbowe OCS wa Makuyuni aliyewasaidia wasomali kumpiga mbunge Nassari. Hawana uhusiano wowote na Freeman Mbowe
Kwa hiyo mwanaume akichagua dada ya mtu na kuolewa tunatabia ya kusema kachagua fungu jema, hivyo akishachagua na wewe utapeleka kwa huyo mwanaume kwa msingi huo huo? Kama sisiemu ni fungu jema basi basi heri akina Australopithecines na akina Zinjanthropus waje wachuke nchi yao maana Homo sapiens sapiens wa TZ kashindwa.Hongera sana ........"Dada yake na Mbowe GRESI MBOWE......"
Umechagua fungu jema sana;
Sie tuliofaidi matunda ya nchi hii tushirikiane kukiimarisha chama cha mapinduzi.
copy chama
Hebu soma hiki kipande ndo utajua ni dada yake wa damu
http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/15665-dada-wa-mbowe-atimkia-ccm
yule ni dada yake wa kuzaliwa. Ni pigo kwa mwenyekiti mbowe na chdm kwa ujumla