Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 37,960
Kwani CCM nayo inaanza kuwa chama cha wachaga/kaskazini..??? Nape Nnauye, imekuwaje nanyi kupokea wachaga..??? Unayakumbuka maneno yako kuhusu CDM na wachaga..???Dada yake Mbowe kajitambua, ameona haiwezekani akili ndogo iongoze akili kubwa.
Hongera sana Grace Mbowe.
Kama nyumbani wanamkataa Mbowe, kulikoni.