Dada yake MBOWE aikacha CHADEMA ajiunga na CCM!!

Dada yake MBOWE aikacha CHADEMA ajiunga na CCM!!

Dada yake Mbowe kajitambua, ameona haiwezekani akili ndogo iongoze akili kubwa.

Hongera sana Grace Mbowe.

Kama nyumbani wanamkataa Mbowe, kulikoni.
Kwani CCM nayo inaanza kuwa chama cha wachaga/kaskazini..??? Nape Nnauye, imekuwaje nanyi kupokea wachaga..??? Unayakumbuka maneno yako kuhusu CDM na wachaga..???
 
Wakati Mwenyekiti wa taifa CHADEMA mh Freeman Mbowe na baadhi ya Wabunge wakihojiwa na jeshi la polisi mkoani Iringa kwa kile kinachodaiwa na jeshi hilo ni kupitiliza muda wa kuhutubia ktk mkutano uliofanyika siku ya jumamosi, Dada yake na Mbowe GRESI MBOWE,ameamua kuikacha CHADEMA na hatimae kujiunga na CCM!!

SOURCE; Gazeti la Uhuru (Radio Free Afrika)

>Habari ya magazeti uchwara
 
chama usishangae siku ukakuta @Dr slaa yuko kwenye payroll
huko kwenye jumba la magogoni;

Kama bado ana kadi ya ccm unategemea nini
eti ameitunza ili iwe kumbukumbu; hii inakuingia akilini kweli?
Mamndenyi
Bado ni kitendawili kwanini haturudishii kadi yetu??? Amejiweka Chadema kwasababu ya ruzuku tu hana mapenzi nacho hata kidogo!
 
Last edited by a moderator:
Dada yake Mbowe kajitambua, ameona haiwezekani akili ndogo iongoze akili kubwa.

Hongera sana Grace Mbowe.

Kama nyumbani wanamkataa Mbowe, kulikoni.
plagiarism!! mtaje aliyesema hiyo kauli by Mch Msigwa
 
Walioanzisha CHADEMA ni Magavana wa Benki Kuu ya Tanzania:-

1:Hayati Mzee Bob Makani- Msukuma wa Shinyanga wa imani ya Kiislamu.

2:Mh.Edwin Mtei-Mchaga wa Kilimanjaro wa imani ya kikristo.

Hatuwezi kusema ccm ni ya ukoo wa Mh.Kikwete japo ccm imejaa watu wa familia yake ambao kwa uchache ni Jakaya Kikwete,Salma Kikwete,Ridhiwan Kiwete wote hao wako Nec ya ccm.Wengine ni Kawambwa,Miraji Kikwete,Bernad mtoto wa nje n.k

kama chadema ni ya ukoo wa Mbowe huyo mama Grace asingetoka.Hata hivyo maneno ya magazeti ya uhuru na Habari leo ya ccm si zakuamini moja kwa moja.Ccm wana lipi la kumvutia mtu ili akipende? Walioko ndani ya ccm ni sababu ya posho zilizoko nje nje ml.800 kila mwezi

Hao magavana ndo walioiba pesa zetu kwa manufaa yao bnafsi,wamesahau nn Tz wanataka tena warudi kuchota mali zetu,wafie mbele hawatoiona ikulu mikonon mwa cDM kamwe.
 
Chadema ni wana demokrasia ya kweli, halazimishwi mtu kuwaunga mkono, wanaungwa mkono na watu wenye upeo wa hali juu katika kufikiri na wazalendo, kama upeo wako wa kufikiri ni mdogo na si mzalendo lazima uwe gambani
 
maana ya peoples power !!inamaanisha chadema ni chama cha watu na sio familia
 
Na hata Wassira aliposhindwa kushawishi mabinti zake wawili haikuonekana kuwa tatizo maana hakukosa ushawishi kwenye level ya kifamilia

Ukifeli shule sio sababu ya kutokuwa na mawazo chanya,wale n watoto wa mdogo ake wassira na sio watoto wake wa kuzaaa.buuuuuu.
 
Amejitambua kuwa yeye hawezikuwa msukule.

Inawezekana Mbowe alitaka ampeleke kwenye vurugu akaona upuuzi.

soon vijana wengi watajitambua pia

ETI KUNA UPENDELEO WA MATIBABU, HIVI DARAJA LA TATU LA MUHIMBILI WAMEWEKA CCM AU CHADEMA? CCM HAIWEZI KURUKA MAVI WALIYOYAKANYAGA CHADEMA HATA SIKU MOJA, HAIWEZI KUKWEPA DHAMBI YOYOTE KATIKA NCHI HII, MBURULA!
:smile-big:
 
kwani dadake mbowe akihamia ccm matatizo yooote ya wtz yatakwisha?
 
Kutakuwa kuna fungu la mgao kapigwa panga xaxa kaona "inatosha" kama vipi bora awe gamba tu.

Du ni kweli kabisa yaani hata kama sio mgawo ila fungu lililokuwa likipita alikuwa analiona, hivyo kaona asepe tu mapema.
Bora Dada Grace umeamua huenda vya huko Jikoni na sisi ukatumegea ili tujue km hii biashara ya Siasa inalipa au la
 
hana jipya! hizo hela alizohongwa kuhamia Magamba, zikiisha atarudi tu CDM, chezea mwanamke wa kimachame! NI money monger
 
Hao magavana ndo walioiba pesa zetu kwa manufaa yao bnafsi,wamesahau nn Tz wanataka tena warudi kuchota mali zetu,wafie mbele hawatoiona ikulu mikonon mwa cDM kamwe.

>Hivi kwa akili yako finyu, wakati wa utawala wa Mwalimu Nyerere uliweza kuiba!
 
Hongera sana ........"Dada yake na Mbowe GRESI MBOWE......"
Umechagua fungu jema sana;
Sie tuliofaidi matunda ya nchi hii tushirikiane kukiimarisha chama cha mapinduzi.
copy chama

>Hivi mwanamke akishaolewa huwa anabaki na jina la kwao la ukoo au anaenda kutumia jina la mumewe... Acheni umbulula!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom