utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,815
Tuwakimbie waiwaji kwa kasi kubwa, hadi 2015, yabaki yenyewe ili tuyatambue yaone aibu
Wewe unawezavkuchangia hoja ya nyie kumwagia watu tindikali, kuwalisha sumu na kujilipua mabomu ili mpate huruma ya wananchi?Ritz hawezi kuchangia hoja yoyote ya madawa ya kulevya hata meno ya tembo kwani wanaofanya kazj hizo ni mababu zake Wa ukoo Wa magamba
Wakati Mwenyekiti wa taifa CHADEMA mh Freeman Mbowe na baadhi ya Wabunge wakihojiwa na jeshi la polisi mkoani Iringa kwa kile kinachodaiwa na jeshi hilo ni kupitiliza muda wa kuhutubia ktk mkutano uliofanyika siku ya jumamosi, Dada yake na Mbowe GRESI MBOWE,ameamua kuikacha CDM na hatimae kujiunga na CCM!!
SOURCE; Gazeti la Uhuru (Radio Free Afrika)
Kimsingi Chadema ni chama cha kifamilia hilo lipo wazi wala haliitaji PhD kulitambua.
Mmiliki wa Chadema ni Mtei, na Mwenyikiti wa Chadema ni Mbowe, ambaye ni mkwe wa Mtei,
Kuna uwezekano mkubwa wa kimaslahi ndani ya familia ndiyo maana Grace Mbowe, kuamua kuondoka Chadema na kwenda CCM.
Tutasikia mengi pindi Grace Mbowe, atakapofunguka zaidi.
Mbowe ni jina la ukoo kama ilivyo Mushi,Kimaro,Tarimo,Kereti,Mrema n.k.
Ukoo wa tundu lisu upo bungeni kwa kupeana, ukoo wa ndesamburo upo bungeni kwa kuzawadiana na hata ukoo wa mbowe umezawadiwa uenyekiti kutoka ukweniKwani umeambiwa CHADEMA ni chama cha familia!?? let her go. Hata babaake Mbowe alikuwa ccm, na Mtei pia
Dj zero sio kichwa mkuu, rekebisha hiyoKamanda toka lini Ritz, akawa na hasira.
Nasikia dada kaenda CCM mmebakia nyie makamanda teh teh teh, Mbowe kichwa kwa kuwatumikisha watu.
Dada yake Mbowe kajitambua, ameona haiwezekani akili ndogo iongoze akili kubwa.
Hongera sana Grace Mbowe.
Kama nyumbani wanamkataa Mbowe, kulikoni.
Mbowe ni jina la ukoo kama ilivyo Mushi,Kimaro,Tarimo,Kereti,Mrema n.k.
Kimsingi Chadema ni chama cha kifamilia hilo lipo wazi wala haliitaji PhD kulitambua.
Mmiliki wa Chadema ni Mtei, na Mwenyikiti wa Chadema ni Mbowe, ambaye ni mkwe wa Mtei,
Kuna uwezekano mkubwa wa kimaslahi ndani ya familia ndiyo maana Grace Mbowe, kuamua kuondoka Chadema na kwenda CCM.
Tutasikia mengi pindi Grace Mbowe, atakapofunguka zaidi.
Leo mtasema yote lakini mwisho wa siku dada yake Mbowe karudi CCM.Hakuna Dada wa Mbowe ambaye ni Mmpumbavu kiasi hicho. Grace Mbowe ni dada wa afande Gervace Mbowe OCS wa Makuyuni aliyewasaidia wasomali kumpiga mbunge Nassari. Hawana uhusiano wowote na Freeman Mbowe
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Wewe ndiyo msemaji wa ukoo wa Mbowe?Grace Mbowe hana uhusiano na Freeman Mbowe. Grace ni dada wa afande Gervas Mbowe ambaye naye hana uhusiano na Freeman Mbowe
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Hakuna Dada wa Mbowe ambaye ni Mmpumbavu kiasi hicho. Grace Mbowe ni dada wa afande Gervace Mbowe OCS wa Makuyuni aliyewasaidia wasomali kumpiga mbunge Nassari. Hawana uhusiano wowote na Freeman Mbowe
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Hakuna Dada wa Mbowe ambaye ni Mmpumbavu kiasi hicho. Grace Mbowe ni dada wa afande Gervace Mbowe OCS wa Makuyuni aliyewasaidia wasomali kumpiga mbunge Nassari. Hawana uhusiano wowote na Freeman Mbowe
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Safi sana, sasa anasubiriwa mbowe mwenyewe
Nampongeza sana kwa kuondokana na wamwagia watu tindikali
Ni huo huo ukoo unaotaka kuukwepesha na ukweli. Ukoo wa freemason aikaeli mbowe
Mkuki kwa nguruwe, mtasema yote mwaka huu
Tuwakimbie waiwaji kwa kasi kubwa, hadi 2015, yabaki yenyewe ili tuyatambue yaone aibu
Wewe unawezavkuchangia hoja ya nyie kumwagia watu tindikali, kuwalisha sumu na kujilipua mabomu ili mpate huruma ya wananchi?
Virus detected!
Ukoo wa tundu lisu upo bungeni kwa kupeana, ukoo wa ndesamburo upo bungeni kwa kuzawadiana na hata ukoo wa mbowe umezawadiwa uenyekiti kutoka ukweni
Wewe jamaa lazima utakuwa ni kichaa huwezi kupangilia hoja zako kila siku tindikali huna jipya jitambueDj zero sio kichwa mkuu, rekebisha hiyo
Dada yake Mbowe aikacha Chadema ajiunga na CCM.Mkuu umeulizwa Guangzhou kupitia Islamabad na Doha unaenda lini? Mimi binafsi nakuaga kabisa manake wachina kama sio waarabu watakunyonga muda sio mrefu kama wanavyonyonga magamba wenzio kila uchao; tuta-miss "busara" zako hapa jamvini. Buriani kaka.
Dada yake Mbowe kajitambua, ameona haiwezekani akili ndogo iongoze akili kubwa.
Hongera sana Grace Mbowe.
Kama nyumbani wanamkataa Mbowe, kulikoni.