Dada yake MBOWE aikacha CHADEMA ajiunga na CCM!!

Dada yake MBOWE aikacha CHADEMA ajiunga na CCM!!

basi dada nenda kaungane nawatu wanao kemea ufisadi,madawa ya kurevya,kusafrisha ndovu na wanyama wakiwa hai we ni GAMBA
 
mhiiiiii! sivyanzo vya habari uhuru,free na habar leo yote magamba hiki ni kichefuchefu nitatapika bure
 
Mimi nina imani kuwa kuhamia kwake CCM kuna mahusiano na jinsia yake kama mwanamke na sio nafsi ukizingatia kuwa akiwa Chadema wanaume wengi licha ya kumheshimu, pia walimwogopa kwa sababu ya kuwa ndugu wa Mwenyekiti wao Bwana Mbowe. Jinsia yake ilipata wakati mgumu lakini kwa sasa iko huru ingawa nafsi itaendelea kumsuta kwani haijahama wala haitahama Chadema. jibu litakuwa wazi pindi Chadema ikiingia ikulu na kaka yake akashika nafasi ya waziri mkuu. Isitoshe kaka yake anawindwa sana na mafisadi kwa mabomu na risasi ili auwawe, hivyo uwepo wa dada huyo CCM unaweza kuzima harakati hizo ... si atakuwa shemeji. Kwa hilo nampongeza huyo dada kwa kuhamia CCM maana amecheza kama messi na CCM kwa kutokujua wanashangilia bila kujua hilo ni bao la kisigino.

Hapo Nchemba anachekelea tu,akipapaswa kifuani lazima amwage siri zote, eeeh mjini mipango bwana nguvu Iramba.
 
Wala sio dada yke uongo mtupu hata ukoo hana propoganda yahuu muhuni katibu wa ccm hai anaebaka wanaume wenzake tabia mbaya ccm mmekosa viongozi kbsaaa
 
Wala sio dada yke uongo mtupu hata ukoo hana propoganda yahuu muhuni katibu wa ccm hai anaebaka wanaume wenzake tabia mbaya ccm mmekosa viongozi kbsaaa

kwa hiyo amehama?
 
CHADEMA sio mali ya mtu,ni mali ya wa Tanganyika na wa Zanzibar,ajabu ipo wapi kama kaamua kuondoka?

Mbona alipondoka Esther Wasira kuingia chadema ilikuwa ishu? tena watu wakaanza kumponda mpaka baba yake mkubwa mzee Wasira au msumeno umekata upande mwingine...
 
Habari za uhakika juu ya Grace ni kwamba her husband is a guy from Tanzania .That guy kama walivyo kokote CCM walitaka pa kumulia na ndiyo wakamtumia kumshawishi huyuo mkewe kuhama Chadema.Na si kwamba kahama bure hapana Grave kahama kwa kupata fungu la uhakika na kasha kabidhiwa kabla ya kufanya move .So ni mumewe ndite katumika katika na wao wanatafuta pesa na zingine zimewafuata wameamua kuvuta pesa na maisha yana endelea .Ni mipango hii ili kuvunja nguvu ya Chadema but it is a wrong move being done .
 
Watajuta kumpokea Grace huko CCM......It is just a matter of time.
 
kuna habari na kuna propaganda na pia kuna maelezo ya kupotosha wenye akili ndogo.MBOWE ni ukoo,halafu siasa ni utashi binafsi.Wenye siasa za makundi/familia/BABA NA MAMA NA MWANA na MITANDAO(SASA NA YA SEMBE IMEJIMIX HUMO HUMO YA MAFISADI HUMO HUMO,YA WAKWEPA KODI HUMO HUMO) NI CHAMA CHA MAPINDUZI CHA KINA RITZ,na wengineo!
 
Turudi nyuma kwenye historia inatuambiaje kuhusiana na jambo hili! Mwaka 1995 wakati Mwl. J.K akimpgia kmpeni bwana B.W Mkapa mtoto wa mwalimu JK Nyerere, Makongoro Nyerere alikuwa nagombea ubunge jimbo la Arusha mjini kupitia tiketi ya NCCR Mageuzin na akashinda! Je Mwalimu aalimlaume? Kila mtu ana uhuru wa kweta atakako kisiasa hata kijamii ndio maana wewe unaoa au kuolewa upendako siyo lazima familia nzima muowe au kuolwea mahalai pamoaja!Got it?

Jadiliani mambo ya maana siyo ujinga kama huu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom