Dada yake MBOWE aikacha CHADEMA ajiunga na CCM!!

Dada yake MBOWE aikacha CHADEMA ajiunga na CCM!!

Kumbe chadema sio chama cha kifamilia. Asante kwa hii habari. Vipofu wataona tu. Mia
 
Wakati Mwenyekiti wa taifa CHADEMA mh Freeman Mbowe na baadhi ya Wabunge wakihojiwa na jeshi la polisi mkoani Iringa kwa kile kinachodaiwa na jeshi hilo ni kupitiliza muda wa kuhutubia ktk mkutano uliofanyika siku ya jumamosi, Dada yake na Mbowe GRESI MBOWE,ameamua kuikacha CHADEMA na hatimae kujiunga na CCM!!

SOURCE; Gazeti la Uhuru (Radio Free Afrika)
Atakayefuatia kukihama atakuwa kaka yake, mkiti wa chadema.
 
Dada yake Mbowe kajitambua, ameona haiwezekani akili ndogo iongoze akili kubwa.

Hongera sana Grace Mbowe.

Kama nyumbani wanamkataa Mbowe, kulikoni.

kwa hiyo imeandikwa kwa sababu mtu kahama CHADEMA AU kwa kuwa ni dada wa Mbowe
 
Chonde Chonde dr Silaa Nawe jitoe mapema kipenga cha mwisho kisijepulizwa wewe bado una boli uwanjani
 
Ingawa siujui vema ukoo wa mtu wa Mungu Freeman Mbowe, lakini naona hapa kuna danganya toto. Tangu lini gazeti tajwa likaandika mazuri kwa maslahi ya taifa?Tumngoje kamanda Tumaini Makene atatuweka sawa.Pia kuna mtu anayejiingiza CCM kwa hiyari bila kuhongwa?Kuna kipi kizuri CCM?Au haya hapa yanayowavutia watu?
RUSHWA,UFISADI,UPENDELEO,MATABAKA,DAWA ZA KULEVYA,MENO YA TEMBO,KUBEBWA NA MALORI...AU?
 
Wakati Mwenyekiti wa taifa CHADEMA mh Freeman Mbowe na baadhi ya Wabunge wakihojiwa na jeshi la polisi mkoani Iringa kwa kile kinachodaiwa na jeshi hilo ni kupitiliza muda wa kuhutubia ktk mkutano uliofanyika siku ya jumamosi, Dada yake na Mbowe GRESI MBOWE,ameamua kuikacha CHADEMA na hatimae kujiunga na CCM!!

SOURCE; Gazeti la Uhuru (Radio Free Afrika)

>Alitaka nafasi kwenye chama akaambiwa hakuna ndo kakasirika!
Aende zake huko... Kwanza kaolewa na hawezi kujiita mbowe wakati kaolewa kwenye ukoo mwingine...aende huko kwa mafisadi wenzake
 
Last edited by a moderator:
Hongera sana ........"Dada yake na Mbowe GRESI MBOWE......"
Umechagua fungu jema sana;
Sie tuliofaidi matunda ya nchi hii tushirikiane kukiimarisha chama cha mapinduzi.
copy chama
 
Last edited by a moderator:
Hongera sana ........"Dada yake na Mbowe GRESI MBOWE......"
Umechagua fungu jema sana;
Sie tuliofaidi matunda ya nchi hii tushirikiane kukiimarisha chama cha mapinduzi.
copy chama
Mamndenyi
Ikiwa slaa amekula fadhila na matunda ya CCM ni nani hapo Chadema amabye hajakula matamu ya CCM? Makamnda wengi wanajitia wazimu na kushikiwa akili CCM ni chama cha kitaifa!
 
Last edited by a moderator:
Weak threat,,,,,,,,,,,,,yule n dada wa tumbo 1.

Come what may, huo ni uamuzi wake, hata Makongoro alikuwa mtoto wa Baba wa Taifa na alithubutu kuingia upinzani kwani kuzaliwa tumbo moja inamaanisha nyote ni watoto wa baba mmoja?
 
kumbe chadema si chama cha kifamilia , nami nimeanza kutambua sasa
 
Mkuu Ritz tatizo nini hapa naona umekakamaa kwelikweli.

Grace ni mtanzania kama walivyo watanzania wengine, anautashi na uhuru wa kuchaguwa anachokitaka.

Kitugani cha kushangaza? demokrasia? hiari ya mtu? wassira steven amehama hama sana lakin hakufanya kosa

kwasababu ni haki yake ya msingi na kuhama grace pia haki yake bila kujali ni dada au siyo dada wa mbowe.
Mkuu wangu adolay,

Hakuna tatizo wala ajabu yeyote Grace Aikael Mbowe, kuamia CCM.

Tatizo ni hawa pro-Chadema wamemfuta huyu dada kwenye familia ya Mbowe kisa kenda CCM.
 
Last edited by a moderator:
Wakati Mwenyekiti wa taifa CHADEMA mh Freeman Mbowe na baadhi ya Wabunge wakihojiwa na jeshi la polisi mkoani Iringa kwa kile kinachodaiwa na jeshi hilo ni kupitiliza muda wa kuhutubia ktk mkutano uliofanyika siku ya jumamosi, Dada yake na Mbowe GRESI MBOWE,ameamua kuikacha CHADEMA na hatimae kujiunga na CCM!!

SOURCE; Gazeti la Uhuru (Radio Free Afrika)

>Alitaka nafasi kwenye chama akaambiwa hakuna ndo kakasirika!
Aende zake huko... Kwanza kaolewa na hawezi kujiita mbowe wakati kaolewa kwenye ukoo mwingine...aende huko kwa mafisadi wenzake
 
Wakati Mwenyekiti wa taifa CHADEMA mh Freeman Mbowe na baadhi ya Wabunge wakihojiwa na jeshi la polisi mkoani Iringa kwa kile kinachodaiwa na jeshi hilo ni kupitiliza muda wa kuhutubia ktk mkutano uliofanyika siku ya jumamosi, Dada yake na Mbowe GRESI MBOWE,ameamua kuikacha CHADEMA na hatimae kujiunga na CCM!!

SOURCE; Gazeti la Uhuru (Radio Free Afrika)
Nadhani grace alikua mwanaccm asilia na alihama kwa hasira kutokana na ccm kukumbatia ufisadi. Kurudi kwake kunaonyesha tofauti na propaganda chafu ya ccm kwamba cdm ni chama cha kikabila au kiukoo. Hata hivyo grace utakuta bado ccm iko chafu ufisadi umetamalaki. Sio tena chama cha wavuja jasho (wakulima na wafanyakazi). Alama ya jembe na nyundo haina tena maana bora waweke bangi na kipusa cha kifaru maana itikadi 'de facto' ya ccm siku hizi ni ufisadi. Nakutakia kila la kheri grace mbowe. mungu ibariki tanzania.
 
Huyo ni dada yake OCS Gervas Mbowe aliyedaiwa 'kuwalinda' wasomali waliomshambulia Mhe.J.Nassari. Ukoo wa Mbowe ni ukoo mkubwa kama zilivyo koo za Mallya,Massawe na koo nyingine kubwa. Kitendo cha huyo mwanamama kudanganya kuwa yeye ni dada yake Mhe.Freeman Mbowe ni cha hovyo na chenye kudhihirisha kuwa Mhe.Freeman Mbowe ndiye mtu maarufu na anayekubalika nchini kuliko kina-Mbowe wote.
Sawa Msemaji wa familia ya Bwana AIKAELI MBOWE.
kumbe ndo maana ulimsaidia Ndugu yako kwenye ule ugomvi wake Na CHACHA WANGWE.kweli mmeshibana sana hadi kupewa nafasi ya msemaji wa familia.
 
chama usishangae siku ukakuta @Dr slaa yuko kwenye payroll
huko kwenye jumba la magogoni;

Kama bado ana kadi ya ccm unategemea nini
eti ameitunza ili iwe kumbukumbu; hii inakuingia akilini kweli?

Mamndenyi
Ikiwa slaa amekula fadhila na matunda ya CCM ni nani hapo Chadema amabye hajakula matamu ya CCM? Makamnda wengi wanajitia wazimu na kushikiwa akili CCM ni chama cha kitaifa!
 
Last edited by a moderator:
Uhuru...!!!! Linalomilikiwa na wauza unga au?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom