Nilishasema na nitaendelea kusema kuwa chadema ni kundi la walaghai wanaoendesha maisha yao kwa ujanja kwa kuwatumia watanzania kwa mgongo wa siasa.
kitendo cha dada yake mbowe kuhama ni ishara tosha kuwa ndani ya chadema kunauozo ambao si wa kuvumilia.
kitendo cha dada yake mbowe kuhama ni ishara tosha kuwa ndani ya chadema kunauozo ambao si wa kuvumilia.