LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
AshaDii!
Kweli humu Jf tuna vichwa haswa!
Hongera zako jamani!
Kweli humu Jf tuna vichwa haswa!
Hongera zako jamani!
Thread yangu "Regia Umeniliza" Moderator mmoja humu mwenye roho ya kifisadi aliamua kuiyayusha na kuunganisha kama post kwenye thread ya tribute ya Mzee Mwanakijiji. Why?
Wifi yako kwangu mie kakaako ama maana kama yupo single nimemzimia kwa kweli japo naogopa kuslim
hahah kweli akili za mtu zinaendana na jina lake
Thread yangu "Regia Umeniliza" Moderator mmoja humu mwenye roho ya kifisadi aliamua kuiyayusha na kuunganisha kama post kwenye thread ya tribute ya Mzee Mwanakijiji. Why?
kumbe unachukia mafisadi?
Ashadii aren't you a sweetheart and thoughtful? Asante kwa uzi huu. Nitakugongea like nikiwa kwa PC
Ahsante sana dada maana kuna thread nyingine zilinipita kushoto.............. sasa hapa nitazisoma kwa utuvu
AshaDii!
Kweli humu Jf tuna vichwa haswa!
Hongera zako jamani!
Ashadii nakukubali siku zote mkuu.
vizuri sana da asha umerahisisha,
may god reward you.
Unaweza ligi weye?
Adii ahsante sana sisy!
Una moyo mkubwa sana kama jiwe walilolikataa waashi....
Think u know the story lol
AshaDii... Respect!
Kumbe Ashadii ni moderator?
asante sana ashadii hii inarahisisha mambo,
naomba uweke link zote hapa zinazomhusu Regia.
Kuna ile thread ya wanajf kukutana british council kumuenzi Regia naitafuta siioni,nitafurahi ukiweka link yake.
nimegonga kabatani na kuondoka zangu
uzi huu naona wa ma-premium tu.......!!!!!!!!!!!!!!!
Umemkubali Regia baada ya kuwa amefariki?Thread yangu "Regia Umeniliza" Moderator mmoja humu mwenye roho ya kifisadi aliamua kuiyayusha na kuunganisha kama post kwenye thread ya tribute ya Mzee Mwanakijiji. Why?
Genuinely... Did not expect such comment from you.... Hapa yeyote ahusika kama wewe ulivohusika acha hizo bana! lol... BTW siku nyingi mkuu, I hope ni mzima wa afya.