wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,210
- 37,847
Ina maana jamaa anategemea uungwaji mkono kutoka kabila lake pekee ili kusalia madarakani?
Kwani wkt RPA inakamata madaraka ilikua inaungwa mkono na nani?
Ina maana jamaa anategemea uungwaji mkono kutoka kabila lake pekee ili kusalia madarakani?
Kukamatwa kwa akina Sankara ni jambo nzuri sana kwakuwa inaonesha kuwa kuna attempts, trials are numbers iko siku akina sankara na akina rwigara hawatakamatwa. Hii ndo nature ya trials
Nadhani unachonena kinaukweli ila hakina uhalisia: mimi sikuamini Kama qadaf angeangushwA KWASABABU alikuwa na wananchi wengi wanaompenda, vilevile hata baadhi ya marais wa nchi za afrikaa walikuwa wanampenda because alikuwa akiwasaidia. Ni ajabu kuwa aliamgishwa as if ni kiongozi wa wanamgambo. Nakushauri wakati ukofikiri kuwa hakuna anayemuweza Paul ufikirie kuwa nature ipo pia. Naamin hii video itakuongezea uelewa kama bado uelewa wako una room ya kuelewa
Hoja zako nimezipenda sanaNi kweli kabisa,hio siku hawatakamatwa tena maana muda huo watakua wanaitwa hayati kama wale wanaomalizwa Congo daily.
Mkuu usiji imanishe sana. Mi kwa ujumla nawaonea huruma Wa RW wote. Wamejikuta wamezaliwa na kuishi ktk nchi ambayo kuna jinamizi baya sana la ukabila kwa Hutu na Tusi wote hakuna afadhali.Ninachokisema hao unawasema sijui Nyamwasa,wakina late Karegeya na watu wa dizaini hio hata wajiunge makunde yote unayoyajua hawana ubavu wa kumtoa Kagame hata kumtikisa tu hawawezi,anazo size zake lkn sio hao uliwaowataja.
Hizi story za kina Ghadafi ni story kama nyingine tu,hivi wakina lee kuan Yew,fidel castro etc wenyewe sijui walitolewa na nani madarakani.
Na uzuri baada ya Ghadafi kutolewa madarakani sasa Libya kuna amani ya kufa mtu,demokrasia imetamalaki na maisha ni mazuri sana kama ya Ulaya vile hahah.
Huo utambarale wa Rwanda ndo Magufuli usiku kucha na mchana kutwa anahangaika kuuleta TZ.Mimi nimeenda Rwanda mara kadhaa. Kuna ukweli mwingi kwenye hii video. Mojawapo ya kitu serikali ya Rwanda walifanikiwa kudanganya ni kuonesha kwao mambo ni tambarare. Huko ni mkono wa Chuma tu. Na ukiacha Kigali, Rwanda hamna kitu.
Wewe ni member wa ajab humu JF, ni Wewe pekee umeamua kuwa neutral, wengi humu utafikiri ni wanyarwanda. Post nyingi lazima wa_side. BravoMkuu usiji imanishe sana. Mi kwa ujumla nawaonea huruma Wa RW wote. Wamejikuta wamezaliwa na kuishi ktk nchi ambayo kuna jinamizi baya sana la ukabila kwa Hutu na Tusi wote hakuna afadhali.
Hata ukipitia comments humu utakuta Mtusi anajimwambafai sana na wengine wako upande kutetea upande wa pili wakati wengine wanasema Rais aliyepita Mhutu alitesa sana tu Wa Tusi.
Ninachotaka kusema kama kweli PK nae anaendekeza ukabila na anazidi kupanda chuki dhidi ya kabila nyingine basi anapanda mbegu mbaya bila kujijiua. Bora Mungu amsaidie aishi maisha marefu nae mchango wake kama ni chanya watu watamkumbuka.
Ila usidhani kila mapinduzi ni jeshi au sijui watu watokee msituni.
Hao watoto wa waliodhulumiwa kama kuna mmoja ataamua kama iwe mbwai na iwe mbwai. Ni kazi ya mtu mmoja tu anaeamua kujito mhanga. Hapo hata atembee na battalion nzima atapatikana tu. Labda aamue kuishi dizain kama ya akina Osama na Mullah Omar.
Ndivyo alivyo uawa Karume. Tunahabarishwa kwamba muuaji alikuwa na kinyongo muda mrefu bwana mkubwa kumtesa baba yake na kumuua. Alipokuwa mkubwa akaamua kama mbwai na iwe mbwai.
Inashangaza sana RW ni nchi ya dini sana kwanini watu na viongozi wa dini hawakai pamoja kumwomba Mungu hiyo roho itoke iili nchi iwe na amani.
Naiman mali za wanyonge zitarudishwaDiana rwigara .jamaa kampoteza kabisa na kuwafilisi Mali ya familia
Dah! Hii Taarifa Imenipa Simanzi, Majonzi Na Huzuni! Nimeiwasilisha Kama Nilivyoombwa Na Msimuliaji!
View attachment 1388803
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nielekeze ako kasignature umewekajeMwenye kuhitaji msaada huanza na kujisaidia mwenyewe huku akingojea huo msaada tarajiwa. Je wenyewe mmeanza kufanya nini kujisaidia?
ˡ ˡⁱᵏᵉ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ![]()
Magufuli want it closed!Kweli sasa JamiiForums imekuwa kimbilio la wengi wanyonge kuweza kupata nafasi kuelezea kichoendelea nchini mwao, iwe Kenya, Omani, Zanzibar, Canada, Australia au Tanganyika.
Hakika JamiiForums ni fahari yetu wote waongea kiSwahili duniani pote.
KAGAME alikwisha tangulia mbele ya hakiNimefuatilia instagram ya Paul Kagame, post ya mwisho ilikuwa siku nne zilizopita. Kawaida anapost kila siku au kila baada ya siku mbili.
Niliweka uzi humu ukanyofolewaKuna uzi ulipita hapa jana una video ya mkongoman anasema PK Covid 19 imempenda zaidi sijui ni kweli?
https://www.jamiiforums.com/threads/kuna-uvumi-wa-kifo-cha-mbabe-wa-kivita-paulo-kagame.1717936/
Hii vipiNimefuatilia instagram ya Paul Kagame, post ya mwisho ilikuwa siku nne zilizopita. Kawaida anapost kila siku au kila baada ya siku mbili.