Hahah unamuongelea Nyamwasa huyu ambae kwny chama chake cha RNC baada ya kubanwa khs ufisadi anaofanya akaamua kumuua/kumficha yule Ben huko Uganda mpk members wenzake kama mke wa Karegeya na wenzake kibao wakajitoa chamani ndio atafanya nini sasa.
Nyamwasa wala hana guts za kumtoa PK hata kwa 2% na wala hana Support yoyote ya Community za wanyalu zilizoko dunia nzima.Kwanini naongelea support ya Wanyalu dunia nzima?
Wkt RPA wanaanza kupigana kuikamata Rwanda community za watusi dunia nzima zilikua zinachangia mpk $3mil/month miaka hio na watusi dunia nzima from Tanzania,Uganda,Rwanda,Burundi,Belgium,France mpk US walienda kujoin RPA from kwenda frontline kupigana mpk engineers,doctors na kada zote huko vitani mpk wakakamata nchi,leo ni watusi wa nchi gani hao watakuja kum-join huyo Nyamwasa?
Kwa kujua community ya watusi ina influence kiasi gani kwa siasa za nchi yake search huko youtube kitu kinaiwa RWANDA DAY utaelewa hao watusi na PK wana mahusiano gani,na hao kupitia hizo events PK hao diaspora wanamchangia PK zaidi ya $250mil/year kufanikisha mambo yake.
PK anaabudiwa na community za watusi wenzake dunia nzima,hao watusi wanaolia lia mitandaoni wala hawana cha kumfanya.