Current Situation In Rwanda!

Current Situation In Rwanda!

Mbona tunoana ripoti za Transparency Int. kuwa Rwanda ni nchi ambayo inaongoza kwa kutokuwa na matumizi mbaya ya madaraka (corruption) ikiwa imezizidi nchi zote za Afrika Mashariki na Kati hadi baadhi ya nchi za Ulaya?
Hii inamaanisha nini? Inawezekana kiongozi mkuu akawa corrupt (ana abuse power) halafu huko kwingine kukawa vizuri?
Mkuu shida ya hizi takwimu zinaangalia documents tu sio uhalisia mfano kagame akikuona tishio na akakuundia kesi maadam ulifikishwa mahakamani na ukahumukumiwa kwa kesi ya kubumba wao wanahesabu ni uhuru wa mahakama. Ila akikufunga bila mashitaka ndio watapiga kelele

Hata ufisadi wao as long as wanaoma CAG anakagua mahesabu kila mwaka na anatoa hati safi (hata kma kabumba) wao wanahesabu ni nchi isiyo na rushwa.

Hizi international bodies huwa zinaangalia tu takwimu bila kufuatilia takwimu zimetoka wapi yaani methodology ndio maana hata ukisema uchaguzi sio huru na haki maadam watu waligombea na kura zilipigwa na matokeo yakatoka wao wanadai ni demokrasia.

Rejea AU na EU kuhusu uchaguzi wa Kenya, walidai ni huru na haki sababu ya takwimu ila uhalisia ulikua umekiuka sheria ndio maana ukafutwa.

Ni changamoto sana
 
Niliona documentary moja kule AP ya Interahamwe baada ya kuua ikachukua mifupa ya mmoja ya waliouwawa na ikawa inatumia kupikia chakula yaani mifupa inatumika kama kuni,baada ya hapo nikasema Kagame nyoosha hao mbwa piga mbaya kabisa maana mbwa akikuzoea atakufuata mpaka msikitini.
 
Niliona documentary moja kule AP ya Interahamwe baada ya kuua ikachukua mifupa ya mmoja ya waliouwawa na ikawa inatumia kupikia chakula yaani mifupa inatumika kama kuni,baada ya hapo nikasema Kagame nyoosha hao mbwa piga mbaya kabisa maana mbwa akikuzoea atakufuata mpaka msikitini.
Diane rwigara, kizito mihigo, kakere na nyamwasa ni wahutu?? Btw hii video ni ya mtutsi pia ssa kivp ombi lako ni wahutu wanyooshwe ila PK ananyoosha watutsi??

Tusaidie hapo
 
Diane rwigara, kizito mihigo, kakere na nyamwasa ni wahutu?? Btw hii video ni ya mtutsi pia ssa kivp ombi lako ni wahutu wanyooshwe ila PK ananyoosha watutsi??

Tusaidie hapo

Ingabire hanyooshwi?Ni mtusi?

Rwigara,kizito,Nyamwasa,Karegeya kama wanajifanya kutoa kolabo kwa interahamwe unadhani jamaa afanye nini sasa?

Anyooshe sana hao Kenge wote.
 
Ingabire hanyooshwi?Ni mtusi?

Rwigara,kizito,Nyamwasa,Karegeya kama wanajifanya kutoa kolabo kwa interahamwe unadhani jamaa afanye nini sasa?

Anyooshe sana hao Kenge wote.
Hahahahha propaganda zenu zishafeli, yaani mpaka watutsi wenzenu mnaita interehamwe!!

Tambua kwamba wapinzani wakuu kisiasa kwa kagame ni watutsi wenzie na sio wahutu so ukiona hivyo ujue hta wenzake wamemchoka ila ni suala la muda tu haohao watutsi watasema SASA INATOSHA!!
 
Huku unakoomba msaada napo kunawaka moto kama huo huo wa kwenu tumembukizwa toka huko huko kwenu, tuna woga kama huo huo wenu...viongozi wako kama hao hao wenu
 
Wanyarwanda wanajitahidi sana kupigania destiny yao: yako makubwa yamayofanywa na makundi, unafikiri Nyamwasa et al wamelala?, unajua kilichomtoa roho col. Karegeya?, tusiwabeze
Tatizo hawana umoja Kama jadi ya waafrika
 
Hahahahha propaganda zenu zishafeli, yaani mpaka watutsi wenzenu mnaita interehamwe!!

Tambua kwamba wapinzani wakuu kisiasa kwa kagame ni watutsi wenzie na sio wahutu so ukiona hivyo ujue hta wenzake wamemchoka ila ni suala la muda tu haohao watutsi watasema SASA INATOSHA!!
Hapa umenena ukweli, watutsi walimtengenezea Kagame misingi ya kutawala nchi kwa kuchinja kila aliyetofauti naye nao aliwachinja, waliosalia wamejua na wanajutia makosa yao sasa wamekubali kuungana na wahutu: huenda watafanikiwa
 
Hahahahha propaganda zenu zishafeli, yaani mpaka watutsi wenzenu mnaita interehamwe!!

Tambua kwamba wapinzani wakuu kisiasa kwa kagame ni watutsi wenzie na sio wahutu so ukiona hivyo ujue hta wenzake wamemchoka ila ni suala la muda tu haohao watutsi watasema SASA INATOSHA!!

Mpk wahutu wenzako wanajua intarahamwe ni jina lao la kuzaliwa na nalo na wala hawana tatizo nalo.

Watusi mixer na hao interahamwe wanasubiliwa kuliwa kichwa kama kawaida kama wanavyoendelea kudakwa kule maporini Congo.

Wakiweka Ugoko wanawekewa Tofali,interahamwe bana hahahah.
 
Hapa umenena ukweli, watutsi walimtengenezea Kagame misingi ya kutawala nchi kwa kuchinja kila aliyetofauti naye nao aliwachinja, waliosalia wamejua na wanajutia makosa yao sasa wamekubali kuungana na wahutu: huenda watafanikiwa

Hahah hao watusi wanaoungana na wahutu kupigana na Kagame ni wakina nani hao?Ni hawa mademu wakina Rwigara wakina Nyamwasa,warembo wakina Calxiste a.ka Major Sankara wanaokamatwa kama kuku hahah very funny.

Nenda kwny community za hao watusi dunia nzima uwaulize hata kama wana habari na hao wakina Rwigara,hahah.
 
Tumuombe jiwe apeleke vikosi Rwanda tukamfundishe adabu kagame
 
Wanyarwanda wanajitahidi sana kupigania destiny yao: yako makubwa yamayofanywa na makundi, unafikiri Nyamwasa et al wamelala?, unajua kilichomtoa roho col. Karegeya?, tusiwabeze

Hahah unamuongelea Nyamwasa huyu ambae kwny chama chake cha RNC baada ya kubanwa khs ufisadi anaofanya akaamua kumuua/kumficha yule Ben huko Uganda mpk members wenzake kama mke wa Karegeya na wenzake kibao wakajitoa chamani ndio atafanya nini sasa.

Nyamwasa wala hana guts za kumtoa PK hata kwa 2% na wala hana Support yoyote ya Community za wanyalu zilizoko dunia nzima.Kwanini naongelea support ya Wanyalu dunia nzima?

Wkt RPA wanaanza kupigana kuikamata Rwanda community za watusi dunia nzima zilikua zinachangia mpk $3mil/month miaka hio na watusi dunia nzima from Tanzania,Uganda,Rwanda,Burundi,Belgium,France mpk US walienda kujoin RPA from kwenda frontline kupigana mpk engineers,doctors na kada zote huko vitani mpk wakakamata nchi,leo ni watusi wa nchi gani hao watakuja kum-join huyo Nyamwasa?

Kwa kujua community ya watusi ina influence kiasi gani kwa siasa za nchi yake search huko youtube kitu kinaiwa RWANDA DAY utaelewa hao watusi na PK wana mahusiano gani,na hao kupitia hizo events PK hao diaspora wanamchangia PK zaidi ya $250mil/year kufanikisha mambo yake.

PK anaabudiwa na community za watusi wenzake dunia nzima,hao watusi wanaolia lia mitandaoni wala hawana cha kumfanya.
 
Niliona documentary moja kule AP ya Interahamwe baada ya kuua ikachukua mifupa ya mmoja ya waliouwawa na ikawa inatumia kupikia chakula yaani mifupa inatumika kama kuni,baada ya hapo nikasema Kagame nyoosha hao mbwa piga mbaya kabisa maana mbwa akikuzoea atakufuata mpaka msikitini.
Wewe ni Mtutsi mwooooooooooopooongo. Kwa ulichoandika hapo juu huyu jamaa yuko sahihi mna roho mbaya sana nyie watu.
 
What is the future of Rwanda when Kagame expires

Jr
Hii ndio superb family
20200316_182616_edited.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom