Current Situation In Rwanda!

Current Situation In Rwanda!

Kagame kaituliza Rwanda na anastahili pongezi

Mzee Museveni aache kuingilia mambo ya ndani ya nchi jirani.
Ujui ugomvi wa pk Na M7.Uko hivi pk anamforce M7 awafilisi matajiri wa kinyarwanda waishio Ug eti wanawasapot wanyarwanda kudai haki zao M7 amemgomea kwamba though awajafanya any crime UG hawezi washughulikia so pk kaweka kisasi Na M7 hadi akafunga mipaka,ukivuka tu risasi.

Mwisho wake tu ni pale atakapogusa maslai ya USA zile wanazoiba Congo kupitia M23 zikiisha tu watamfurusha madarakani Kama Gadaff Na Saddam. Ukigusa maslai ya USA lzm uondolewe madarakani Kwa njia ya demokrasia,vikundi vya waasi au drones
 
Kagame anatumia media vibaya kuaminisha dunia kuwa Hali ni shwari lakini kiuhalisia wanyarwanda wengi wanatishwa na ni waoga kuisema serikali. Jiwe nae ndio mchezo anataka kuupandikiza hapa Tanzania.
 
Mwenye kuhitaji msaada huanza na kujisaidia mwenyewe huku akingojea huo msaada tarajiwa. Je wenyewe mmeanza kufanya nini kujisaidia?

ˡ ˡⁱᵏᵉ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ
Wanauwa balaa
 
Aingie msituni,mtu kama unaona rais wako ayuko poa zama msituni,Kiongozi dikteta hatoki mpaka raia waingie rodi ama msituni,
Kupiga kura sijui wabunge,mara sijui pompeo hizo ni blabla tu suluhisho ni kuingia rodi ama msituni,tofauti na hapo bwana piter atasubiri sana,Na kagame alivyo na roho mbaya anabajet kabisa ya kuuwa akina piter popote walipo,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kg alichofaulu ni kudhibiti habari mbaya zisivuje Lkn si kwamba Rwanda INA maendeleo nae ni mpika data za ukuaji uchumi.Ni nadra sana Kwa dikteta kuleta maendeleo,madikteta wote awataki yeyeto awe maarufu Zaid yao
 
Kuna wakati baadhi ya watu ambao walikuwa wanted Rwanda walianza kuuwawa kwenye nchi walizokimbilia nakumbuka wa mwisho aliuliwa afrika ya kusini.

Nadhani bwana PK anajaribu kufuta ushahidi na kitu chochote kitakachomlink na genocide anaenda mbali na kutaka kuweka mfumo wa utawala utakaolinda jamii yake na watu wake .

Hizi nchi zinazopakana na bonde la mto Congo zinaongozwa na influence kutoka mataifa ya magharibi hivyo hata kama mtawala au kiongozi akiwa anakandamiza watu wake si rahisi kuenguliwa madarakani kwa hali ya amani ikiwa analinda maslahi ya wageni.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mpuuzi tu huyu jamaa, arudi Rwanda ajenge nchi aache ubuyuyu.
"Rais Wangu Dkt. J.P.Magufuli 2015–2025" "Upinzani ulikufa 2015" "CCM inapendwa kwa 100%"
Akili yako na PK ni sawa hamtaki ukweli ile kitu HIMA Empire aliyesema Mch Mtikila inatimia
PK amepata kura 99.999% kwako sio ajabu ukisema CCM inapendwa 100%
kwanini usiisikilize video?
cc mrangi @Richard irakunda
 

Attachments

  • 2338162_10000000_212832196621598_5344162823557611520_n.mp4
    11.2 MB
Back
Top Bottom