Mr_Teacher
JF-Expert Member
- Feb 28, 2021
- 362
- 344
Mkuu nashukuru umejitahd kufafanua vzr kwa kweli, lkn hapo kwenye position ya neno Mstaafu niko sahihi kbs, hizo picha ulizoweka ni sehemu ya makosa ambayo wengi duniani kote hukosea hivyo, ila wapo ambao huandika vzr kama nilivyoeleza, so bado nabaki kusimamia nlichoeleza awali kuwa ni sahihi kbsHapa chief unapotoka, tena unazidi kupotoka. Kuna utaratibu wake kuandikwa hivyo na sio kama unadhani inakuja tu.
Kiutaratibu wa kuandikwa kwa Jina na cheo cha Muhusika uko hivi.
Akiwa kwenye utumishi:
1. Madaraka yake
2. Cheo chake,
3. Jina lake,
*Kama ana elimu ya juu ya kiraia inatangulia kabla ya jina lake
Nje ya utumishi
1. Aliyekuwa (madaraka/hadhi yake)
2. Cheo chake, (Mstaafu)
3. Jina lake
*Kama ana elimu ya juu ya kiraia inatangulia kabla ya jina lake
Na kwa rais
1. Hadhi yake
2. Mamlaka/madaraka yake
3. Elimu ya juu
4. Jina lake
Mfano:
1. Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na,
2. Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi,
3. Dkt,
4. John Pombe J. Magufuli
Kuunganisha
1.Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na 2. Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi 3. Dkt 4. John Pombe J.Magufuli.
Kamili:
Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Dkt, John Pombe J.Magufuli.
Mfano mwingine huu hapa kwenye picha
View attachment 1759312
Hata ufanye nini patabaki hivyo hivyo, na swala la kupandishwa cheo wala haliingiliani hapo, Mkuu wa Majeshi wa kwanza alikuwa na cheo cha Meja jenerali na alikuwa ameshastaafu, lakini zaidi ya miaka 10 baadae alipandishwa cheo na kuwa General Mirisho Sarakikya.Mkuu nashukuru umejitahd kufafanua vzr kwa kweli, lkn hapo kwenye position ya neno Mstaafu niko sahihi kbs, hizo picha ulizoweka ni sehemu ya makosa ambayo wengi duniani kote hukosea hivyo, ila wapo ambao huandika vzr kama nilivyoeleza, so bado nabaki kusimamia nlichoeleza awali kuwa ni sahihi kbs
haswaa, nadhan ndio mana akiingia tu madarakan huwa anamwondoa CoS aliyepo ili alete CDF wake (ila at that time anampa nafasi ya CoS ili asafishe macho kidogo,)........
Chief uko vizuri sana!..kwa kumbukumbu zangu Rais Mwinyi na Mkapa walikuwa na utaratibu tofauti.
..walikuwa wanateua Cdf na CoS kwa wakati mmoja.
..Nakumbuka Mwinyi alimkuta Cdf Musuguri na CoS Mwakalindile, waliokuwa wameteuliwa na Mwalimu Nyerere.
..Mzee Mwinyi akawamteua Maj.General.Ernest Mwita Kiaro kuwa Cdf, na Maj.General.Tumainieli Kiwelu kuwa CoS.
..Rais Mkapa naye alimteua Maj.General.Robert Mboma kuwa Cdf, na Major.General.Geofrey Sayore kuwa CoS.
..Pia George Marwa Waitara na Iddi Gahu waliteuliwa kwa wakati mmoja kuwa Cdf na CoS.
..Utaratibu wa mhusika kuteuliwa CoS halafu anakuwa promoted kuwa Cdf ni wa awamu za 4 na 5.
hicho unachokisema sasa ndio nnachokisema mimi, CDF wa kwanza alistaafu utumishi akiwa Maj. Gen kweli kbs na baaadae akaja kupandishwa kuwa General kwasababu kile cheo chake cha kijeshi hakikustaafu na hakijafa hadi leo, alistaaf yeye kama mtu nielewe ndugu, so wkt hajapandishwa bado na while alishastaafu kiutaratibu alkua akiitwa Major General Sarakikya (Rtd) then alipopandishwa akaitwa General Sarakikya (Rtd) ni hivyo kaka. asante lakn tumesaidiana kupanua mawazo zaidi. kudosHata ufanye nini patabaki hivyo hivyo, na swala la kupandishwa cheo wala haliingiliani hapo, Mkuu wa Majeshi wa kwanza alikuwa na cheo cha Meja jenerali na alikuwa ameshastaafu, lakini zaidi ya miaka 10 baadae alipandishwa cheo na kuwa General Mirisho Sarakikya.
We unadhani ni kwanini Kuanzia Brigedia jenerali hadi cheo cha Jenerali wanaitwa ni majenerali??
Nani huyo?
Labda hatuelewani, kwani umesikia wapi mtu akistafu cheo nacho kinastaafu? Kiufupi askari wa cheo chochote akistaafu anaondoka tu kwenye utumishi akiwa na cheo chake alichofikia na hata akihitajika kurudi atarudi na cheo alichostaafia, na kupandishwa cheo ni wakati wowote ule itakavyompendeza Amiri Jeshi Mkuu. Hiyo kuitwa Meja jenerali (mstaafu) wala sio tatizo kwa sababu haimzuii Amiri Jeshi kumpandisha cheo pale itakapompendeza.hicho unachokisema sasa ndio nnachokisema mimi, CDF wa kwanza alistaafu utumishi akiwa Maj. Gen kweli kbs na baaadae akaja kupandishwa kuwa General kwasababu kile cheo chake cha kijeshi hakikustaafu na hakijafa hadi leo, alistaaf yeye kama mtu nielewe ndugu, so wkt hajapandishwa bado na while alishastaafu kiutaratibu alkua akiitwa Major General Sarakikya (Rtd) then alipopandishwa akaitwa General Sarakikya (Rtd) ni hivyo kaka. asante lakn tumesaidiana kupanua mawazo zaidi. kudos
Nimejitahidi kutafuta hata sijauona..kuna kisa kilimtokea JK alipokuwa Monduli Military Academy kama instructor.
..kisa hicho kililetwa hapa JF kwa namna ya kumchafua JK na former CoS Lt.Gen.Shimbo.
..Naamini ukweli wa kilichotokea umeelezewa ktk moja ya maandiko ya Bernard Membe ambaye ameeleza kuwa alitumwa toka Ikulu kuchunguza kilichotokea Monduli.
..Nilivyosoma maelezo ya Membe ni kwamba kulikuwa na tatizo kuhusu masuala ya chama / siasa vs masuala ya kijeshi.
..Enzi hizo Jwtz ilikuwa jumuiya ya CCM na Kamisaa wa siasa jeshini alikuwa ndiye afisa namba 3 kimamlaka baada ya Cdf, na CoS. Pia kila kikosi kilikuwa na kamisaa wa siasa.
..According to Bernard Membe kuna ripoti ya kwanza kuhusiana na suala la Monduli ambayo ilifika Ikulu lakini wakubwa hawakuridhika nayo. Hali hiyo ililazimisha Bernard Membe atumwe kwenda kuchunguza na kuandaa ripoti mpya ambayo ilikubalika na ilifanyiwa kazi.
..Kwa uelewa wangu ripoti ya Membe ilimtendea haki JK kuliko ripoti ya kwanza. Na nadhani urafiki wa JK na Membe ulitokana na tukio hilo.
NB:
..ukitafuta ktk archive ya JF utakutana na uzi unaoeleza kuwa JK aliondoka Monduli ktk mazingira ya kutatanisha.
..pia kuna maandiko ya Bernard Membe anaeleza alivyotumwa kuchunguza kilichotokea Monduli.
nahisi kweli hatuelewani kaka kulingana na kila mmoja anavyofahamu. ngoja tukubaliane kutokukubaliana katika baadhi ya maeneoLabda hatuelewani, kwani umesikia wapi mtu akistafu cheo nacho kinastaafu? Kiufupi askari wa cheo chochote akistaafu anaondoka tu kwenye utumishi akiwa na cheo chake alichofikia na hata akihitajika kurudi atarudi na cheo alichostaafia, na kupandishwa cheo ni wakati wowote ule itakavyompendeza Amiri Jeshi Mkuu. Hiyo kuitwa Meja jenerali (mstaafu) wala sio tatizo kwa sababu haimzuii Amiri Jeshi kumpandisha cheo pale itakapompendeza.
Uko sahihi sana kinaanza cheo alafu jina na mwisho neno (mstaafu)Hapana wewe ndie umekosea, nlichoandika mimi ndio sahihi, cheo cha kijeshi hakistaafu wala hakifi ndo maana kuna watu walipandishwa vyeo na wkt walishastaafu utumishi jeshini, sasa ukiweka neno mstaafu baada ya cheo utashindwa kukipandisha cheo cha juu yake baadae, hivyo mie niko sahihi, wewe ndie iko wrong na sio kosa lako ni makosa ambayo yamezoeleka hadi watu mnahisi ndio usahihi kumbe sio
Mkuu ulikuwa sahihi kabisaJeshini hakuna cheo kinaitwa General Mstaafu, Makosa kuwa-address hivyo
Asante kwa kuuleta huu ushahidi hapa, maana tulibishana sana hapa na baadhi ya wadau, nashukuru hii kitu itasaidia sasa watu kuelewwa vyemaWale mlikuwa mnabishana kuhusu protokali ya utambulisho jeshini someni hapa Emiir ferg Mr_Teacher
[emoji116][emoji116]View attachment 1792151
shukrani kaka
asante kaka, ni kuelimishana, afadhali hii doc imekuja kutusaidia kujua usahihi vzr zaidi!! tupo pamoja
Kwani ni wapi walisema cheo kinastaafu? Anaestaafu ni mtu sio cheo.Ukistaafu unaitwa General mstaafu. Kwani marais tunao wangapi?
Kuitwa labda kwa ushauri, lakini kama kunahitajika more general mbona rais anaweza kumpa mtu vyeo hata vitano kwa siku moja.
Na vyeo vya jeshi wengine wanapewa hata baada ya kustaafu kama alivyopewa Sarakikya na Mkapa, alistaafu akiwa 2 star, akaopewa 4 starts baadae akiwa mstaafu. Tofauti ni benefits tu
Asante kwa kuuleta huu ushahidi hapa, maana tulibishana sana hapa na baadhi ya wadau, nashukuru hii kitu itasaidia sasa watu kuelewwa vyema
Wale mlikuwa mnabishana kuhusu protokali ya utambulisho jeshini someni hapa Emiir ferg Mr_Teacher
[emoji116][emoji116]View attachment 1792151
nahisi kweli hatuelewani kaka kulingana na kila mmoja anavyofahamu. ngoja tukubaliane kutokukubaliana katika baadhi ya maeneo
Labda hatuelewani, kwani umesikia wapi mtu akistafu cheo nacho kinastaafu? Kiufupi askari wa cheo chochote akistaafu anaondoka tu kwenye utumishi akiwa na cheo chake alichofikia na hata akihitajika kurudi atarudi na cheo alichostaafia, na kupandishwa cheo ni wakati wowote ule itakavyompendeza Amiri Jeshi Mkuu. Hiyo kuitwa Meja jenerali (mstaafu) wala sio tatizo kwa sababu haimzuii Amiri Jeshi kumpandisha cheo pale itakapompendeza.
Mkuu hebu cheki na hii kituWale mlikuwa mnabishana kuhusu protokali ya utambulisho jeshini someni hapa Emiir ferg Mr_Teacher
[emoji116][emoji116]View attachment 1792151
Mkuu JokaKuu, thanks for tagging me. Yote uliyosema ni kweli.
Kwenye jeshi kuna makundi makuu mawili ya askari, NCOs (non commissioned officer) na COs (Commissioned Officers). Kamisheni inatolewa na CinC.
Kwenye NCOs kuna
Junior NCOs Private, Coplo Usu na Coplo
Senior NCOs Sergeant, Staff Surgent na Sir Major.
Kwenye COs kuna makundi 4
Junior Officers, 2nd Lieutenant, Lieutenant na Captain.
Seniors Officers ni Major, Lieutenant Colonel and Colonel
Cheo cha mwisho kwa mwanajeshi kupanda kwa logical progression ni Colonel.
Staff Officers, hawa ndio majenerali, Brigadier, Major General, Lieutenant General na General.
Vyao hivi vya staff officers havipandi kwa merits only but by appointment ya CinC, na mfano mzuri ni uteuzi wa CDF aliyepo.
Alipoingia tuu umri wa kustaafu wa CDF aliyepo uliusha pita, hivyo alipoangalia list ya wa chini yake hakupendezewa. Akamuongezea miaka 2 CDF aliyepo, na kumelevate the chosen one fasta fasta from Colonel to Brigadier, within no time Major General then Lieutenant General ndipo akamruhusu CDF kustaafu.
Hii hufanyika sana Jeshini na ilianzishwa na Nyerere, Mtanzania wa kwanza kuwa na highest rank wa jeshi letu la Tanzania huru ni Colonel Kashmir na Mirisho Sarakiya one of them should have been CDF, Mwalimu was uncomfortable nao, wakaondolewa jeshini kupewa post uraia.
This happened again baada ya vita vya Kagera, Baada ya Twalipo chini kulikuwa na kina Mayunga, Cuthless, Wolden, Sayore ili kumuinua wachini, wale deserving wanaondolewa jeshini unamuinua umtakaye.
Chini ya General Mwamunyange, sijui waliokuwa na seniority ya kumpokea ni kina nani, na walipelekwa wapi, lakini CDF aliyepo ili ibuka like a mushroom, na kwa tetesi za mtaani, he is the only source of political stability and the tranquillity iliyeendelea hadi Samia kuingia.
Hivyo whoever picked this man, did the right thing.
P
Sifa za kupanda vyeo vya juu ni kwa recomendations. Umeona wajeda wawili wameteuliwa mabalozi, hiyo ni kupisha njia, wajeda wawili kupandishwa vyeo, mmoja ndiye atakuja kuwa chief of staff na kumpokea CDF, wapili ndio atakuwa chief of staff, baada ya yule wa mwanzo kuwa CDF.Fafanua vizuri kwa lugha inayoeleweka utaratibu wa kupanda cheo kutoka Senior Officer kwenda Staff Officer na Kutoka Staff Officer say Brigadier General kwenda Major General