tiffanykinondoni
Member
- Jan 31, 2018
- 37
- 305
Hoja yako ni ipi hasa?USA (the United States of America) ni nchi yenye muundo wa shirikisho wa nchi 52 (Federal), kila nchi ina gavana na senata wake ambapo jeshi la polisi linawajibika kwao kwa sheria walizojitungia. Jeshi pekee ndio linapokea amri kutoka kwa amiri jeshi mkuu ambaye ni Rais
Laiti kama Afrika nayo ingekuwa USA (the United States of Africa) hapo ndipo ingefaa wawepo hao majenerali wengi, lakini kwa Tanzania ambayo inaundwa na mikoa ambayo karibu kila kitu ni tegemezi kutoka serikali kuu kasoro kwa machache kupitia serikali za mitaa itawezekanaje uwe na majenerali labda kwa kanda nane na utawadhibiti vipi? Rejea kilichotokea Minnesota kwa Minneapolis lutoka kwa rai waliokasirika kuuwa George Floyd ulinganishe na uvamizi wa jeshi kwenye kituo fulani cha kuhesabia na kujumlisjia kura na kupora 'servers' ndio ujue athari za amri ni zipi.
Kwani hakuna nchi ambazo si shirikisho zenye Active Uniformed 4 Star General zaidi ya mmoja?
