Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 4,196
- 9,178
ThanksSifa za kupanda vyeo vya juu ni kwa recomendations. Umeona wajeda wawili wameteuliwa mabalozi, hiyo ni kupisha njia, wajeda wawili kupandishwa vyeo, mmoja ndiye atakuja kuwa chief of staff na kumpokea CDF, wapili ndio atakuwa chief of staff, baada ya yule wa mwanzo kuwa CDF.
Na inawezekana Mama Samia alilisoma bandiko hili,
Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu?. Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?, hivyo sasa anafanya mambo kusawazisha!.
P
Nikumbushe hao 2 waliopanda vyeo ni kina nani?