Current four star Generals in Tanzania

Current four star Generals in Tanzania

Sifa za kupanda vyeo vya juu ni kwa recomendations. Umeona wajeda wawili wameteuliwa mabalozi, hiyo ni kupisha njia, wajeda wawili kupandishwa vyeo, mmoja ndiye atakuja kuwa chief of staff na kumpokea CDF, wapili ndio atakuwa chief of staff, baada ya yule wa mwanzo kuwa CDF.

Na inawezekana Mama Samia alilisoma bandiko hili,
Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu?. Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?, hivyo sasa anafanya mambo kusawazisha!.

P
Thanks

Nikumbushe hao 2 waliopanda vyeo ni kina nani?
 
Bado hajapandisha, amewapa ubalozi ili kuwatoa jeshini to create room ya kupandisha wawili ambapo mmoja lazima atakuwa ni wa dini fulani ili angalau the next CDF awe wa dini nyingine.
P
Haya mambo ya dini hadi jeshini?
mbona Lt General aka Chief of staff ni muislam ila kapewa ubalozi...km angetaka si angempromote huyo huyo kutoka Lt General to Full General na kua CDF huyu mwingine akisfaafu? Unless useme kua this time around ni zamu ya wazanzibari kidogo it make sense...
 
Haya mambo ya dini hadi jeshini?
mbona Lt General aka Chief of staff ni muislam ila kapewa ubalozi...km angetaka si angempromote huyo huyo kutoka Lt General to Full General na kua CDF huyu mwingine akisfaafu? Unless useme kua this time around ni zamu ya wazanzibari kidogo it make sense...
It depends, hata ungekuwa wewe, ukasoma bandiko kama hili
Unaweza kuingia hasira na kujiuliza ni hawawezi au kuna systematic errors za kutokea by a coincidence tuu hakuna Mzanzibari aliyewahi kuwa mkuu wa Jeshi lolote si la mgambo, polisi, uhamiaji, zimamoto, Idara ya usalama wala JWTZ yenyewe!. Tena enda ikawa Mwanamke. The highest rank iliyowahi kushikwa na mwanamke jeshini kwetu ni Maj. Gen. Zawadi Madawili, its about time tutende haki kwa wote.
P
 
It depends, hata ungekuwa wewe, ukasoma bandiko kama hili
Unaweza kuingia hasira na kujiuliza ni hawawezi au kuna systematic errors za kutokea by a coincidence tuu hakuna Mzanzibari aliyewahi kuwa mkuu wa Jeshi lolote si la mgambo, polisi, uhamiaji, zimamoto, Idara ya usalama wala JWTZ yenyewe!. Tena enda ikawa Mwanamke. The highest rank iliyowahi kushikwa na mwanamke jeshini kwetu ni Maj. Gen. Zawadi Madawili, its about time tutende haki kwa wote.
P
are you saying mwanamke apewe nafasi ya juu ili tutimize usawa wa kijinsia?
Hizo nafasi ni nyeti sana.. hachaguliw mtu kwa jinsia. anachaguliwa kwa experience na uchapa kazi
 
Niongezee swali hivi jenerali na meja jenerali yupi mkubwa?
Jenerali ndiyo mkubwa ni four star General, anafuatiwa na Lieutnant General ambaye ni three star General halafu Major General ambaye ni two star General then Brigadier General ambaye ni one star General...
 
View attachment 1754602

Mimi si mjeda. Sijui mengi kuhusu ujeda. Sijui mengi kuhusu mengi.

Ni mbeba maboksi tu. Wengine husema nimeishia darasa la saba. Wengine hudai nimeishia kidato cha nne.

Hivyo, sina mengi niyajuayo. Ila, ninao uungwana wa kukubali nisiyoyajua.

Na dawa ya kuyajua usiyoyajua ni kujifunza.

Kujifunza kuko kwa namna nyingi. Moja ya hizo namna ni kuuliza.

Leo nauliza hivi: Hivi kwa Tanzania huwa tuna jenerali mmoja tu kwa wakati mmoja aliye jenerali kamili, yaani yule mwenye nyota 4?

Kama sijakosea, mkuu wa majeshi ndo huwa jenerali kamili mwenye nyota 4 tu kwa wakati mmoja. Jenerali huyo akistaafu ndo mwingine [labda luteni jenerali] anapandishwa cheo na kuwa jenerali kamili halafu ndo anakuwa mkuu wa majeshi.

Kwa nini iko hivyo? Tumeiga sehemu labda?

Najua India kwa mfano, kuna four star generals zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja.

Marekani currently wana four star generals 45, kama sijakosea.

Kwa mnaojua, kwa heshima na taadhima zote, naomba mnifute huu ujinga nilionao.

Shukran jazilan 🙏.
Mkuu,

Huwezi kuwa na majenerali wawili au zaidi kwa wakati mmoja wakiwa bado wako kwenye utendaji hai wa jeshi kutasababisha ukosefu wa nidhamu maana jenerali kwa mjibu wa ngazi ya mamlaka ya jeshi likiwa haliko vitani ndio cheo kikuu cha kutoa amri utekelezaji wa suala lolote. Endapo pakiwa na majenerali zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja na mmoja akaona mwenzie anafanya kwa maoni yake ndivyo sivyo kisha akatoa amri kwa vikosi kwenda kinyume ni rahisi kusababisha uasi.

Kitu cha kwanza jeshi ni

1. NIDHAMU na UTII kwa kuzingatia mtiririko wa mamlaka na wajibu
1621842519039.png

2. KUFANYA KAZI KWA JUHUDI NA MAARIFA
3. KUTHAMINI na KUITETEA TANZANIA kwa GHARAMA ZOZOTE
4. UZALENDO na UPENDO kwa WANANCHI ambao ndio CHANZO cha JESHI hilo
 
are you saying mwanamke apewe nafasi ya juu ili tutimize usawa wa kijinsia?
Hizo nafasi ni nyeti sana.. hachaguliw mtu kwa jinsia. anachaguliwa kwa experience na uchapa kazi
No sisemi mwanamke apewe nafasi ya juu, bali tuko sawa, kwanini wanawake wasitendewe haki sawa hadi jeshini?.
P
 
It depends, hata ungekuwa wewe, ukasoma bandiko kama hili
Unaweza kuingia hasira na kujiuliza ni hawawezi au kuna systematic errors za kutokea by a coincidence tuu hakuna Mzanzibari aliyewahi kuwa mkuu wa Jeshi lolote si la mgambo, polisi, uhamiaji, zimamoto, Idara ya usalama wala JWTZ yenyewe!. Tena enda ikawa Mwanamke. The highest rank iliyowahi kushikwa na mwanamke jeshini kwetu ni Maj. Gen. Zawadi Madawili, its about time tutende haki kwa wote.
P
Sasa nimejua kwa nini tulipokua JKT serengeti wakati mwingine walikua wanawaita Madawili
 
It depends, hata ungekuwa wewe, ukasoma bandiko kama hili
Unaweza kuingia hasira na kujiuliza ni hawawezi au kuna systematic errors za kutokea by a coincidence tuu hakuna Mzanzibari aliyewahi kuwa mkuu wa Jeshi lolote si la mgambo, polisi, uhamiaji, zimamoto, Idara ya usalama wala JWTZ yenyewe!. Tena enda ikawa Mwanamke. The highest rank iliyowahi kushikwa na mwanamke jeshini kwetu ni Maj. Gen. Zawadi Madawili, its about time tutende haki kwa wote.
P
mkuu, hatutaki 'woke' culture hapa kwetu, mambo ya kumpa mtu cheo kisa mwanamke hatuyataki kabisaaaaaa........
 
It depends, hata ungekuwa wewe, ukasoma bandiko kama hili
Unaweza kuingia hasira na kujiuliza ni hawawezi au kuna systematic errors za kutokea by a coincidence tuu hakuna Mzanzibari aliyewahi kuwa mkuu wa Jeshi lolote si la mgambo, polisi, uhamiaji, zimamoto, Idara ya usalama wala JWTZ yenyewe!. Tena enda ikawa Mwanamke. The highest rank iliyowahi kushikwa na mwanamke jeshini kwetu ni Maj. Gen. Zawadi Madawili, its about time tutende haki kwa wote.
P

Mkuu, nadhani unalalamika prematurely. So far ni watu wangapi wamewahi kuwa wakuu wa kila jeshi katika taifa letu? Kwa kufuata proportional representation, Wazanzibari au wanawake can actually go for a few centuries before one them becomes a CDF, kwa sababu ya uchache wao. That’s just the nature of the beast. Hakuna sababu ya kufanya siasa za viti maalumu jeshini.
 
Mkuu,

Huwezi kuwa na majenerali wawili au zaidi kwa wakati mmoja wakiwa bado wako kwenye utendaji hai wa jeshi kutasababisha ukosefu wa nidhamu maana jenerali kwa mjibu wa ngazi ya mamlaka ya jeshi likiwa haliko vitani ndio cheo kikuu cha kutoa amri utekelezaji wa suala lolote. Endapo pakiwa na majenerali zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja na mmoja akaona mwenzie anafanya kwa maoni yake ndivyo sivyo kisha akatoa amri kwa vikosi kwenda kinyume ni rahisi kusababisha uasi.

Kitu cha kwanza jeshi ni

1. NIDHAMU na UTII kwa kuzingatia mtiririko wa mamlaka na wajibu
View attachment 1795990
2. KUFANYA KAZI KWA JUHUDI NA MAARIFA
3. KUTHAMINI na KUITETEA TANZANIA kwa GHARAMA ZOZOTE
4. UZALENDO na UPENDO kwa WANANCHI ambao ndio CHANZO cha JESHI hilo
Hizo ni hisia zako tu!

Mbona nchi zingine zina majenerali zaidi ya mmoja na hakuna ukosefu wa nidhamu unaofanya hayo majeshi yasiweze kutekeleza majukumu yake?

Hujaandika kwa kujua! Umeandika kwa kuhisi lakini ukajifanya unaandika kama unajua ilhali haujui!!!
 
Hizo ni hisia zako tu!

Mbona nchi zingine zina majenerali zaidi ya mmoja na hakuna ukosefu wa nidhamu unaofanya hayo majeshi yasiweze kutekeleza majukumu yake?

Hujaandika kwa kujua! Umeandika kwa kuhisi lakini ukajifanya unaandika kama unajua ilhali haujui!!!

The most plausible reason ni kwamba jeshi letu ni dogo. Ukamanda wa kijeshi unakwenda kwa idadi ya askari.

Jeshi la Marekani lina askari zaidi ya million moja, chini ya 11 combatant commands. Pamoja na hayo, lina 45 active-duty 4-star generals tu!
 
The most plausible reason ni kwamba jeshi letu ni dogo. Ukamanda wa kijeshi unakwenda kwa idadi ya askari.

Jeshi la Marekani lina askari zaidi ya million moja, chini ya 11 combatant commands. Pamoja na hayo, lina 45 active-duty 4-star generals tu!
👍
 
Hizo ni hisia zako tu!

Mbona nchi zingine zina majenerali zaidi ya mmoja na hakuna ukosefu wa nidhamu unaofanya hayo majeshi yasiweze kutekeleza majukumu yake?

Hujaandika kwa kujua! Umeandika kwa kuhisi lakini ukajifanya unaandika kama unajua ilhali haujui!!!
Muundo wa jeshi la Tanzania hauna ulazima wa kuwa na majenerali zaidi ya mmoja. Ni jeshi lenye watumishi wachache na kamandi chache ukilinganisha na mataifa mengine yenye kamandi nyingi hasa idara za kisayansi zilizopo jeshini.

Kwa hiyo JWTZ linaundwa na idadi maalumu( limited in number) ya maafisa wa juu, maafisa wa Kati na makamanda wa vikosi na wapiganaji.
 
No sisemi mwanamke apewe nafasi ya juu, bali tuko sawa, kwanini wanawake wasitendewe haki sawa hadi jeshini?.
P
hatuko sawa. ndio maana hata jeshin wao wana separate pass marks ( na ziko low ukilinganisha na za mwanaume ) na wanaume.
kuna vikosi wao hawapo kutokana na maumbile yao... uwezo wao.

unataka haki sawa. not jeshini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom