Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
Everything a man can do, a woman can do!. Kuna ma generali kibao wa jeshi ambao ni wanawake.hatuko sawa. ndio maana hata jeshin wao wana separate pass marks ( na ziko low ukilinganisha na za mwanaume ) na wanaume.
kuna vikosi wao hawapo kutokana na maumbile yao... uwezo wao.
unataka haki sawa. not jeshini.
P