CUF hatutayumbishwa na nyodo zenu

CUF hatutayumbishwa na nyodo zenu

Hii post mijitu ya ccm imetuma yenyewe na yanachangia yenyewe kiukweli ukawa wako smart so ccm tulien nyie c mumeleta tingatinga lenye kufanya kazi kwa nguvu bila akili ukawa tunawaletea akili kubwa yenye maono ya ufumbuzii.naona mnajitekenya wenyewe ccm ili kuonekane ukawa kunashida tulieni kwanza
 
CUF acheni ubabaishaji...Mnarihidhisha U CCM-B wenu sasa. Kwani wakati kura zinapigwa ndani ya UKAWA akachaguliwa Dr. Slaa hamkujua mlihitaji ridhaa ya watu wenu kushiriki kupiga kura? Je, angekua amechaguliwa Prof. Lipumba bado mngekataa na kusema haturidhii Prof. apeperushe bendera ya UKAWA hadi wana CUF watoe ridhaa????

Usiwachekeshe walionuna wewe Dr. Slaa amechaguliwa lini kupitia UKAWA?
 
amakura maragwe ya wapi huyu, wamesema maamuzi bado sasa huyu anamsemea nani? atoe ushuzi wake hapa.
 
All what CUF is planning to do is to play "Religion Card". Mmeona kwamba CCM wamesimamisha mgombea mkristo na UKAWA wameweka Mkristo, sasa mkaona mjitoe ili mgombea wenu Muislam apewe kura za huruma na waislam... Hiyo strategy ni mbaya mbaya mno ndugu zangu. Mnajua hatahivyo kura atakazopewa prof Lipumba hazitatosha kumpa uraisi lkn mnadhani kura zitakua nyingi kiaasi cha kuwafanya mpate zuruku kubwa kuliko mnayoipokea sasa. Nakuhakikishie kwa mtindo huo hatutapata Katiba ya wananchi ambayo watanzania wanaisubiria toka kwenu. Na CUF hamtaaminika tena na vyama vingine isipokua CCM tu..

Hayo ni mawazo yako wala si mawazo ya viongozi wa CUF, kinachoangaliwa ni haki sawa kwa wote wala sio udini unaoleta wewe!!
 
Hatutafika kwa lugha zenu za kibaguzi. But nawahakikishia kwamba kikao kikiamua ndipo mtaamini sisi ndio waasisi wa ukawa. hatukurupuki bali tunajipanga kuona maslahi na hasara ambayo tutaipata kupitia maamuzi yetu.
Kimsingi wote tulifanya makosa kuamua bila mkataba wa kisheria ambao utatuwezesha kuwabana wasaliti hapo baadae wakitugeuka. Kama mmeona chadema wamesimamisha mgombea vunjo maana yake nini?


Mkuu,,,,unajitambua kweli? nilini CDM wamepitisha wagombea wa UBUNGE nyinyi ndio mlipitisha Wagombea kwenye majombo ya CDM UBUNGO,,,KAWE nk Ninachokiona kwenu CUF mnadhani bado mnaCREDIBILITY ya zamani lazima mjua nw mambo yamebadilika yaani tangu Bunge la Katiba kwanini hamkukaa na wanachama wenu,,,Tambueni jambo 1 Mkiuvunja UKAWA damu yawapenda mabadiliko itakuwa juu yenu
 
Nani atakubali kupewa wabunge wachache katika majimbo tata wakati nyie mkigombania majimbo ambayo dhahiri mwajua cuf tupo juu?
Kwanini kila hoja mnataka mshinde nyie tu? kama mnaona nyie ndio kila kitu why mlikubali ombi la kuungana?

Mkuu mpaka sasa huku Bara mnawaBunge wangapi wakuchaguliwa...Acheni haya mambo wakati CDM wako SITE wanajenga chama nyie mko kwenye Press conference then mnataka mgawane sawa hiyo haikubaliki Jitafakarini
 
Prof.Lipumba ni msomi wa elimu dunia.... Dr.Slaa hakubaliki zanzibar kasomea elimu ya upande mmoja ambao ni udini kumsimamisha.

Kwa namna hii mwisho utasema kilichoujaza Moyo wako
 
Ndugu wanajamvi, nimehuzunishwa sana na jinsi ambavyo CUF na viongozi wetu wamekuwa wakibezwa na kuzodolewa na wafuasi na washabiki wenzetu wa UKAWA.


Kimsingi suala la sisi kuamua kukutana na kuweka maamuzi ya kichama ndio msingi imara wa kidemocrasia. Chama sio mtu mmoja kama ambavyo mnapenda tuamini. Prof lipumba hayupo juu ya sheria ya cuf. Tunaongozwa na katiba na maamuzi yetu tunaheshimu matakwa ya watu wetu.

Kwamsingi huu hakuna sababu ya wanachadema/nccr kutubeza. Kwenu wenzetu mmebahatika kwamba mkiamua kitu wafuasi wenu wanafuata tu hatakama mnawaburuza. huku kwetu hatuishi hivyo so naomba mtuheshimu.

Mnasema sisi ni wadini wabaguzi nk... kama nihivyo why mliungana na sisi hamkujua? ndio maana tunapata shaka uthabiti wa nia yenu katika muungano wetu... huenda ni kweli mnataka kupanda kupitia sisi then baadae mtugeuke...

Please tuacheni tufanye vikao vyetu kama katiba inavyotaka.

Nangu Mahwelu

Mara nyingi sana si-comment thread za kipuuzi, lakini hii lazima ni-comment. Wewe itakuwa ni wanufaika wa pesa za maCCM; jadilini mambo yenu tarehe tajwa ikifika lakini usituletee ujinga wako
 
Sina tatizo na hilo ,kauli hiyo itatimia ambapo kundi la wana Ccm wakiona sasa siasa za kinafiki na unyanyasaji zimetosha nakuamia upinzani ila hili la mtu mmoja mmoja kutoka Ccm kwenda upinzani tutasubiri Sana kutimia kwa hiyo kauli
Hilo la Dr kugoma silijui nadhani lipumba atakua anajua vyema muulize yeye

Mkuu Prof,,Lipumba hapokei Simu inasemekana amekula PESA ila Maalim Sefu kawaambia wakijitoa UKAWA watajijua yy yuko na UKAWA
 
Ndugu wanajamvi, nimehuzunishwa sana na jinsi ambavyo CUF na viongozi wetu wamekuwa wakibezwa na kuzodolewa na wafuasi na washabiki wenzetu wa UKAWA.

Kimsingi suala la sisi kuamua kukutana na kuweka maamuzi ya kichama ndio msingi imara wa kidemocrasia. Chama sio mtu mmoja kama ambavyo mnapenda tuamini. Prof lipumba hayupo juu ya sheria ya cuf. Tunaongozwa na katiba na maamuzi yetu tunaheshimu matakwa ya watu wetu.

Kwamsingi huu hakuna sababu ya wanachadema/nccr kutubeza. Kwenu wenzetu mmebahatika kwamba mkiamua kitu wafuasi wenu wanafuata tu hatakama mnawaburuza. huku kwetu hatuishi hivyo so naomba mtuheshimu.

Mnasema sisi ni wadini wabaguzi nk... kama nihivyo why mliungana na sisi hamkujua? ndio maana tunapata shaka uthabiti wa nia yenu katika muungano wetu... huenda ni kweli mnataka kupanda kupitia sisi then baadae mtugeuke...

Please tuacheni tufanye vikao vyetu kama katiba inavyotaka.

Nangu Mahwelu

Hahaaa, Prof wenu njaa sana. na kuna taarifa za kuaminika kuwa Lipumba ameshachukua mkwanja kutoka ccm ili aibomoe ukawa. shame on you
 
Hakuna mwenye jimbo ndiyomaana tunaenda kwenye uchaguzi. Mkuu hujawahi kuona jimbo linahama toka chama kimoja kwenda kingine? hatuongelei 2010.

Mkuu kama unajua hivyo kumbuka tamaa ilimuua fisi na nina uhakika jimbo la Lindi kama mkisimama peke yenu
Mama Kikwete atawapiga asubuhi kabisa na hapo mtatoweka kabisa Tanzania bara.
 
UKIWA huu ndio muda wenu wa kujitambua kuwa mliunda umoja wa maslahi. ACT-wazalendo inawakaribisheni mje muwe wazalendo muachane na muungano wa maslahi.
 
Back
Top Bottom