Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,647
- 11,227
Tushindane kwa hoja sio matusi... serikali ya kitaifa zanzibar ipo kisheria na imeleta ufanisi na amani zanzibar. kama mnatutakia mema mlitakiwa mtusifie kuishi kwa amani.
Kuhusu kujitoa UKAWA siyo kweli. sisi ndio waasisi wa ukawa muulizeni dr.slaa atawaambia role ambayo cuf imeplay. Tatizo kubwa hapa ni kwamba mmeaminishwa kwamba bila slaa hatushindi huo ni woga na upumbavu maana mmepumbazwa na propaganda.
Mgombea wenu tayari ni Lipumba na hope kuna kupitishwa yeye au kutopitishwa sasa mnajadili nini,Lipumba alipatikanaje?