CUF hatutayumbishwa na nyodo zenu

CUF hatutayumbishwa na nyodo zenu

Prof.Lipumba ni msomi wa elimu dunia.... Dr.Slaa hakubaliki zanzibar kasomea elimu ya upande mmoja ambao ni udini kumsimamisha.
Slaa amesomea elimu ya Agano la kale...
 
Hakuna mwana CUF atakaye post upumbavu kama huu....... Wewe siyo mwana CUF, bali unataka kutumia mwamvuli wa CUF kuivuruga UKAWA..... Wewe ni mpumbavu

Hao ni ccm tuu..hawana jipya
 
Dr.slaa hauziki zanzibar tumewaambia kiuwazi kabisa.. alipotokea gwajima akawakashifu waislamu katika kisa cha Kadinali pengo na mkasa wa mahakama ya kadhi... fikiria dr.slaa kawa wa kwanza lowasa kwenda kumsalimia kumuunga mkono. huku zanzibar imewachefua watu wengi hatupati kura.. wenzetu ccm wameliona mapema wamekona.
 
Prof.Lipumba ni msomi wa elimu dunia.... Dr.Slaa hakubaliki zanzibar kasomea elimu ya upande mmoja ambao ni udini kumsimamisha.

UKAWA haitafuti mhadhiri,inataka mtu anayekubalika ili aweze kiondoa ccm!
 
CUF acheni ubabaishaji...Mnarihidhisha U CCM-B wenu sasa. Kwani wakati kura zinapigwa ndani ya UKAWA akachaguliwa Dr. Slaa hamkujua mlihitaji ridhaa ya watu wenu kushiriki kupiga kura? Je, angekua amechaguliwa Prof. Lipumba bado mngekataa na kusema haturidhii Prof. apeperushe bendera ya UKAWA hadi wana CUF watoe ridhaa????

Mnarihidhisha= Mnadhihirisha
 
Ndugu wanajamvi, nimehuzunishwa sana na jinsi ambavyo CUF na viongozi wetu wamekuwa wakibezwa na kuzodolewa na wafuasi na washabiki wenzetu wa UKAWA.

Kimsingi suala la sisi kuamua kukutana na kuweka maamuzi ya kichama ndio msingi imara wa kidemocrasia. Chama sio mtu mmoja kama ambavyo mnapenda tuamini. Prof lipumba hayupo juu ya sheria ya cuf. Tunaongozwa na katiba na maamuzi yetu tunaheshimu matakwa ya watu wetu.

Kwamsingi huu hakuna sababu ya wanachadema/nccr kutubeza. Kwenu wenzetu mmebahatika kwamba mkiamua kitu wafuasi wenu wanafuata tu hatakama mnawaburuza. huku kwetu hatuishi hivyo so naomba mtuheshimu.

Mnasema sisi ni wadini wabaguzi nk... kama nihivyo why mliungana na sisi hamkujua? ndio maana tunapata shaka uthabiti wa nia yenu katika muungano wetu... huenda ni kweli mnataka kupanda kupitia sisi then baadae mtugeuke...

Please tuacheni tufanye vikao vyetu kama katiba inavyotaka.

Nangu Mahwelu
Lakini mtayubishwa na nyodo za ccm watumwa nyinyi.

swissme
 
Mnalazimisha kila penye mbunge tusigawe tena, kuna wabunge hawana mvuto tena. Mambo ya 2010 haya apply leo. siasa imebadilika kila chama kimejijenga hamtaki kukubali.

I am sure hata mbatia angetumia akili alitakiwa kujua kwamba huu udhalimu ndio unaowaondoa watu wake kwenda ACT. cuf hatutakubali tufikie hatua ambapo watu wetu watuhame bila sababu ya msingi.
 
CUF acheni ubabaishaji...Mnarihidhisha U CCM-B wenu sasa. Kwani wakati kura zinapigwa ndani ya UKAWA akachaguliwa Dr. Slaa hamkujua mlihitaji ridhaa ya watu wenu kushiriki kupiga kura? Je, angekua amechaguliwa Prof. Lipumba bado mngekataa na kusema haturidhii Prof. apeperushe bendera ya UKAWA hadi wana CUF watoe ridhaa????

Acha urongo hakuna kura iliyopigwa mnafiki mkubwa wewe na katika vigezo vya kumpata mgombea wa ukawa kura hakuna.Na swala la kukaa vikao baraza kuu waliwaambia viongozi wanaokwenda katika vikao vya ukawa nendeni katika vikao mkimaliza leteni mrejesho unafikiri cuf wanakurupuka tu kama nyinyi.
 
Chadema wamezoea kuburuzwa na Mbowe mkuu, hamna demokrasia mle ndani. Hongereni cuf kwa kujitambua!

Wao akisema mmoja ndo imepita chama sio cha mmoja na Lipumba chama sio chake alipewa maagizo lazima atuletee tupitie halafu tumtume tena
Hakiii
 
Prof.Lipumba ni msomi wa elimu dunia.... Dr.Slaa hakubaliki zanzibar kasomea elimu ya upande mmoja ambao ni udini kumsimamisha.

now you are showing your true colours udini, dk Slaa hakuchaguliwa kwa sababu ya iman yake bali jinsi anavyokubalika na wapiga kura(rejea matokeo ya kura za 2010)lkn nyingi kigezo ni dini wake,kumbe CCM Mwaka 2000 hawakukosea kuwaita nyie wadini
 
Tushindane kwa hoja sio matusi... serikali ya kitaifa zanzibar ipo kisheria na imeleta ufanisi na amani zanzibar. kama mnatutakia mema mlitakiwa mtusifie kuishi kwa amani.

Kuhusu kujitoa UKAWA siyo kweli. sisi ndio waasisi wa ukawa muulizeni dr.slaa atawaambia role ambayo cuf imeplay. Tatizo kubwa hapa ni kwamba mmeaminishwa kwamba bila slaa hatushindi huo ni woga na upumbavu maana mmepumbazwa na propaganda.

Punguza moto huo mkuu ,hapa unacheza na id's tu ,unasema mshindane kwa hoja sio Matusi alafu mwishoni unaua kabisa
 
Toka mwaka jana mlikuwa wapi? Mbona ile ya zanzibar ya kuungana na ccm hamkukaa kikao? Acha unafiki wewe, mmemkumbuka bwana wenu ccm!!

Jaribu kujifunza historia kiongozi yeyote wa cuf hachukui maamuzi peke yake lazima alishirikishe barza kuu.Hata hiyo serikali ya mseto cuf ndo ilipendekeza na baraza kuu liliridhia.Cuf sio chama cha watu wawili kama nyinyi huko
 
Mnalazimisha kila penye mbunge tusigawe tena, kuna wabunge hawana mvuto tena. Mambo ya 2010 haya apply leo. siasa imebadilika kila chama kimejijenga hamtaki kukubali.

I am sure hata mbatia angetumia akili alitakiwa kujua kwamba huu udhalimu ndio unaowaondoa watu wake kwenda ACT. cuf hatutakubali tufikie hatua ambapo watu wetu watuhame bila sababu ya msingi.
mkuu endelea kuwapa somo hawa Bavicha..
 
Back
Top Bottom