Rugaijamu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2010
- 2,942
- 1,300
Usiwe mpuuzi Maalim seif kachukua fomu na akawa mgombea pekee cuf. Zanzibar hakuna upinzani mbali ya cuf so hakukuwa na haja ya kupata baraka za ukawa.
Huku bara wote tunanguvu na uzoefu. Lazima tuchuane kidemocrasia na kuridhiwa na wanachama wetu.
We Mmakonde bure kabisa, khaaa!!