CUF hatutayumbishwa na nyodo zenu

CUF hatutayumbishwa na nyodo zenu

Toka mwaka jana mlikuwa wapi? Mbona ile ya zanzibar ya kuungana na ccm hamkukaa kikao? Acha unafiki wewe, mmemkumbuka bwana wenu ccm!!
Na nyie mlikuwa wapi hadi sasa hamna mgombea Urais na hamja kaa kikao kumteua? Au ni yule yule padri?
 
Tushindane kwa hoja sio matusi... serikali ya kitaifa zanzibar ipo kisheria na imeleta ufanisi na amani zanzibar. kama mnatutakia mema mlitakiwa mtusifie kuishi kwa amani.

Kuhusu kujitoa UKAWA siyo kweli. sisi ndio waasisi wa ukawa muulizeni dr.slaa atawaambia role ambayo cuf imeplay. Tatizo kubwa hapa ni kwamba mmeaminishwa kwamba bila slaa hatushindi huo ni woga na upumbavu maana mmepumbazwa na propaganda.
Naona unawapa somo Bavicha!
cc Ritz
 
Last edited by a moderator:
Umeandika vizuri, lakini kumbuka wanaochangia si wana UKAWA bali ni watanzania - utakuwa umefanya kosa kubwa kuwahukumu CHADEMA na NCCR wakati huna uhakika wachangiaji wa humu ni kina nani!!

Hata hivyo ilikuwa hakuna haya ya kufikia huko ulipofika, na sidhani kama wewe ni mwanakafu kiongozi mwandamizi, sababu usingeandika utumbo huu.
Wana Bavicha wana julikana hivyo usimpangie cha kuandika!Acha awape dawa mnadhani mna hati miliki ya UKAWA.
 
Tuheshimiane Mkuu... Cuf ndiyo chama pekee ambacho hatujapata kashfa juu ya matumizi ya pesa pia rushwa... wengine issue ya pesa wamevurugana sana.
nani akuheshimu punguani wewe,hoja yako ni ipi mbona watapatapa?mara kashfa ya ruzuku mara CUF sijui.njoo na hoja tukujibu
 
CUF acheni ubabaishaji...Mnarihidhisha U CCM-B wenu sasa. Kwani wakati kura zinapigwa ndani ya UKAWA akachaguliwa Dr. Slaa hamkujua mlihitaji ridhaa ya watu wenu kushiriki kupiga kura? Je, angekua amechaguliwa Prof. Lipumba bado mngekataa na kusema haturidhii Prof. apeperushe bendera ya UKAWA hadi wana CUF watoe ridhaa????
Kumbe Dr.W.Slaa alishachaguliwa kuwa mgombea wa UKAWA? Sasa hiyo Agosti chadema wanakwenda kuchagua nini?
 
Last edited by a moderator:
Yaani muda wote huu toka mwaka jana ndo vikao muanze kufanya leo,si bure mmepata kitu kidogo,tena vikao vianze baada ya CCM kupata mgombea why? Si bure hapa

kama alivyo fanya mbowe kachukuwa mkwanja kwa luwasa
 
CUF acheni ubabaishaji...Mnarihidhisha U CCM-B wenu sasa. Kwani wakati kura zinapigwa ndani ya UKAWA akachaguliwa Dr. Slaa hamkujua mlihitaji ridhaa ya watu wenu kushiriki kupiga kura? Je, angekua amechaguliwa Prof. Lipumba bado mngekataa na kusema haturidhii Prof. apeperushe bendera ya UKAWA hadi wana CUF watoe ridhaa????

Kwasasa Chadema ndo imekuwa CCM B baada ya kukubali kupigwa ndoa ya mkeka na mafisadi makapi kutoka CCM
 
Ukweli cuf mmeua upinzani,ndio maana hata kipindi cha uchaguzi wa kikwete mlimpa kura,aliyasema lipumba msikitini
 
Kueni makini sana yasijeyakatokea kama ya nchini Zambia hayati Michel sata alimwambia hakainde ichelema waunganishe nguvu. Hakainde ichilema alikataa baada ya uchaguzi kufanyika Michel sata iliishinda selikali ya mmd iliyokua ikiongozwa na lupia banda
 
we ACT-Kigoma acha mbwembwe!!

Nashangaa Leo hajajichekesha chekesha mtoto wa kiume ovyooooo! badala ya kutoa mchango wake kama gt yeye analeta ushabiki kama wa Yanga na Simba
 
Ukweli cuf mmeua upinzani,ndio maana hata kipindi cha uchaguzi wa kikwete mlimpa kura,aliyasema lipumba msikitini
Bavicha mmesahau na nyie mliua upinzani kwa kuwaita CUF mashoga na CCM B?
 
Kueni makini sana yasijeyakatokea kama ya nchini Zambia hayati Michel sata alimwambia hakainde ichelema waunganishe nguvu. Hakainde ichilema alikataa baada ya uchaguzi kufanyika Michel sata iliishinda selikali ya mmd iliyokua ikiongozwa na lupia banda
Teh Teh....
 
Hatutafika kwa lugha zenu za kibaguzi. But nawahakikishia kwamba kikao kikiamua ndipo mtaamini sisi ndio waasisi wa ukawa. hatukurupuki bali tunajipanga kuona maslahi na hasara ambayo tutaipata kupitia maamuzi yetu.
Kimsingi wote tulifanya makosa kuamua bila mkataba wa kisheria ambao utatuwezesha kuwabana wasaliti hapo baadae wakitugeuka. Kama mmeona chadema wamesimamisha mgombea vunjo maana yake nini?

 
Back
Top Bottom