Jamaa anapenda sana SIFA kwa wanawake. Jamaa hakuna post yake au video clip
itakayoeleza mema ya mwanaume. Yeye clip zake zote ni kumponda mwanaume dhidi ya Mwanamke. Yaani utafikiri hiyo taaluma yake ya Saikolojia ni kwaajili ya Mapungufu ya Wanaume dhidi ya wanawake. Kumbe hajui pia saikojia inaeleza kuwa tabia za mtu hutambulisha kundi lake. Mauki post/clips zake zinamuonyesha kana kwamba yupo kundi la waathirika na tabia za wanaume(!!!!!!!!).
Mauki kama mwl wa saikolojia katika mahusiano alitakiwa kuielimisha jamii bila kubagua.
Ila jamaa kafanikiwa sana kujipatia umaarufu kwa WANAWAKE
itakayoeleza mema ya mwanaume. Yeye clip zake zote ni kumponda mwanaume dhidi ya Mwanamke. Yaani utafikiri hiyo taaluma yake ya Saikolojia ni kwaajili ya Mapungufu ya Wanaume dhidi ya wanawake. Kumbe hajui pia saikojia inaeleza kuwa tabia za mtu hutambulisha kundi lake. Mauki post/clips zake zinamuonyesha kana kwamba yupo kundi la waathirika na tabia za wanaume(!!!!!!!!).
Mauki kama mwl wa saikolojia katika mahusiano alitakiwa kuielimisha jamii bila kubagua.
Ila jamaa kafanikiwa sana kujipatia umaarufu kwa WANAWAKE