TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 4,977
- 15,318
Nimetoka kusoma kisa cha mwanamuziki mmoja wa Zambia ambae amejiua na kuacha ujumbe mrefu kwamba chanzo cha kifo chake ni tabia ya mkewe kuchepuka kulikopitiliza ambapo jamaa ameshamfuma zaidi ya mara 15 kitandani kwake akiwa na wanaume tofautitofauti including ndugu, jamaa na marafiki zake.
Nikawa najaribu kuvuta kumbukumbu kama nimewahi kusikia kesi ya mwanamke kujiua kwasababu ya mwanaume kumbukumbu zikagoma kabisa.
Ina maana nyie wanawake hua hamtupendi? Mbona nyie hamjiui kwaajili yetu? Kwanini kila siku ni wanaume tuu tunajiua kwa ajili yenu? Nini kimejificha nyuma ya hili?
!aodn aataK
Nikawa najaribu kuvuta kumbukumbu kama nimewahi kusikia kesi ya mwanamke kujiua kwasababu ya mwanaume kumbukumbu zikagoma kabisa.
Ina maana nyie wanawake hua hamtupendi? Mbona nyie hamjiui kwaajili yetu? Kwanini kila siku ni wanaume tuu tunajiua kwa ajili yenu? Nini kimejificha nyuma ya hili?
!aodn aataK