Crazy things we do tukiwa na mawazo juu ya tuwapendao.....

Crazy things we do tukiwa na mawazo juu ya tuwapendao.....

Daaa mahaba yanibebe kama mafuriko ya jagwan, tena yanivuruge kama bunge LA katiba na yanipoteze kama ndege ya Malaysia jaman achen tu siku ya kufall in love akili huwa haikai sawa ...kuwa makin tuu usiwe na haraka
 
For now,my wife is at the countryside.I'm all alone. Now,when preparing ugali one day,I put a lot of water without knowing ??? in a sufuria,cooked the ugali,put flour then added,added,added hadi nikawa napika smthng ambacho ningeaibika iwapo ningalikuwa na mgeni.

hahhaha,poleeeh mkuu...bila shaka ulikula ugali jiweee
 
Umenikumbusha mbali miaka hiyooo niliandika jina lake kila nilipopta mwanya, nilikua nafanya kazi basi muda ule wa kuondoka ulikua haufiki haraka , jamani tulipendana sana hata hakuna namna ya kuandika vizuri hapa. Huwezi amini huyu ndiye mume wangu na mpaka sasa ule upendo haujawahi kuchuja . Namshukuru sana Mungu.

woooow how sweet ...
 
Inawezekana mkuu, all I know is she made me go nuts that time na namshukuru Mungu ilienda vile tulitaka and we ar here now. Ila am not a believer saana of true love hahaaa

Heeee tenaaa......wengi huwa hawatendi lile wanaloliamini but u are different.....huamini lile unalolitenda
 
Umenikumbusha mbali miaka hiyooo niliandika jina lake kila nilipopta mwanya, nilikua nafanya kazi basi muda ule wa kuondoka ulikua haufiki haraka , jamani tulipendana sana hata hakuna namna ya kuandika vizuri hapa. Huwezi amini huyu ndiye mume wangu na mpaka sasa ule upendo haujawahi kuchuja . Namshukuru sana Mungu.

Hongera.....
 
mi huwaga najisemesha mwenyewe hahhahah

naigiza kama niko nae hhahahha

kwa mfano nasema you know M i lov u

basi najijibu mwenyewe me too baby,sitaki kukukosa kabisa
dahh kuunguza chakula hata juzi niliunguza nikanunua chips nikala ila sikumwambia
 
tatizo lako ndogo tu ni UVIVU na KUJISIKILIZIA.
Tatizo likiunganika linauwezo wa kutengeneza scen mbalmbal kchwan ili tu ukae kichovuchovu.Mwenzako hana muda wa kukuwaza hvyo na HAKIKA AKIKUOA ATAKUACHA KWA KUUNGUZA VYAKULA
 
tatizo lako ndogo tu ni UVIVU na KUJISIKILIZIA.
Tatizo likiunganika linauwezo wa kutengeneza scen mbalmbal kchwan ili tu ukae kichovuchovu.Mwenzako hana muda wa kukuwaza hvyo na HAKIKA AKIKUOA ATAKUACHA KWA KUUNGUZA VYAKULA

imebidi tu nichekeeeee,all in all DUA YA KUKU HALIMPATI MWEWWEE..namuamini Mungu
 
mi huwaga najisemesha mwenyewe hahhahah

naigiza kama niko nae hhahahha

kwa mfano nasema you know M i lov u

basi najijibu mwenyewe me too baby,sitaki kukukosa kabisa
dahh kuunguza chakula hata juzi niliunguza nikanunua chips nikala ila sikumwambia

hahhahah,hii nishawahi fanya lol..
 
imebidi tu nichekeeeee,all in all DUA YA KUKU HALIMPATI MWEWWEE..namuamini Mungu

kwa hyo m kuku nawe mwewe.kuku anaweza kuwaza kwa logic kama mimi.HAKIKA UTAACHWA KUFANANISHA WANAUME KAMA KUKU.ALAFU WE N MWEWE KWA HYO N KIRUKA RUKA.NAMUONEA HURUMA ANAYEDANGANYWA ANAPENDWA NA MWEWE MWE!
 
kwa hyo m kuku nawe mwewe.kuku anaweza kuwaza kwa logic kama mimi.HAKIKA UTAACHWA KUFANANISHA WANAUME KAMA KUKU.ALAFU WE N MWEWE KWA HYO N KIRUKA RUKA.NAMUONEA HURUMA ANAYEDANGANYWA ANAPENDWA NA MWEWE MWE!

mhhh sijui tumefikaje kote huku,'dua ya kuku haimpati mwewe' is just a metaphor,...
 
For now,my wife is at the countryside.I'm all alone. Now,when preparing ugali one day,I put a lot of water without knowing ??? in a sufuria,cooked the ugali,put flour then added,added,added hadi nikawa napika smthng ambacho ningeaibika iwapo ningalikuwa na mgeni.

bora tu ungeandika kiswahili ungeeleweka vizuri.hata hivyo umeandika kama mtoto wa kike vile.
 
badiebey bana! Kale kapm nilikurushia ndo kanakuchanganya hivyo?
 
Last edited by a moderator:
Umenikumbusha mbali miaka hiyooo niliandika jina lake kila nilipopta mwanya, nilikua nafanya kazi basi muda ule wa kuondoka ulikua haufiki haraka , jamani tulipendana sana hata hakuna namna ya kuandika vizuri hapa. Huwezi amini huyu ndiye mume wangu na mpaka sasa ule upendo haujawahi kuchuja . Namshukuru sana Mungu.

Safi sana hiyo
 
Back
Top Bottom