Habarini za Jioni wana JF MMU....
Leo yamenikuta yale kuchanganyikiwa kidogo kisa kumuwaza mtu....mhhh and it's been hell of a long time since i felt this way,sijui am falling in love??...mhh naogopaje sasa hizi mambo...simnajua mambo mengi sikuhizi ,moyo wa mtu siwezi usemea hata kidogo..:
BACK TO STORY
Nipo zangu napika na kibaridi hiki nishaoga nimetupia sweater na socks,namuwaza YULE KAKA,hehhh sijui imekuwaje eti the next thing i know chakula kinaungua jikoni ndo nakurupuka nabadilisha sufuria,sijui how it happened,siunguzagi msosi kabisa,
naweka chai nayo bila kujua naona ishamwagikia jiko,aaahhhhh,nimeshangaa sana leo,and nilikuwa nimekaa tu muda yanatokea....yote haya kisa kumuwaza mtu,moyo wangu sijui una ajenda gani ya siri.....I wanna know umenipa ninii....
Enewei...em na wewe niambie the times u did crazy things for the one you loved wether kwa kujua ama kutojijua,mana mi leo sikujua kabisa wat was happening hapa wakati napika.......