Couples za JF ni hizi...!

Couples za JF ni hizi...!

jamani kuna nini umu ndani?????????.........kuna nini????????........... eeh, hebu niambieni nini kinaendelea...............

we pearl, niambie haraka nini kinaendelea hapa?????????? na hayo mapaka shume sijui mapaka jimmy sijui ma dkfoni sijui madokta phoni.............. eeeeh, hebu niambie haraka kabla sijafanya maamuzi magumu.................

na we shem bht ndio nini sasa mnanifanyia na twin wako............. hata kunitonya kuwa kuna watu wanasarandia nyumbani, hukujali............ kimya kabisaaaaaaaaaaa..................

Pooole Akili Pole, Pooole Akili Pole
 
jamani kuna nini umu ndani?????????.........kuna nini????????........... eeh, hebu niambieni nini kinaendelea...............

we pearl, niambie haraka nini kinaendelea hapa?????????? na hayo mapaka shume sijui mapaka jimmy sijui ma dkfoni sijui madokta phoni.............. eeeeh, hebu niambie haraka kabla sijafanya maamuzi magumu.................

na we shem bht ndio nini sasa mnanifanyia na twin wako............. hata kunitonya kuwa kuna watu wanasarandia nyumbani, hukujali............ kimya kabisaaaaaaaaaaa..................

shem hivi kile kiapo umekiona lakini???

sasa ya nini nishtuke wakati najua twin anamrusha jamaa roho tu ....EASY!!!
 
Hahahahah! Fidel naona una utani...Semenya umemtoa wapi? Mimi nimepewa Binti Maringo bana!
icon10.gif

Hehehehe Semenya ndo saizi yako watu hawajui bana couple mm nasema Semenya ndo mnaendana kama bht na Nguli huyo B sio saizi yake kabisa.
 
sasa unakwazika nn?hujui ukipenda boga?fata nyuki upate manundu
Sijamkataa, ila nimeomba CV yake Pearl akasema eti natakiwa nikiwa nae nivae kigoloko wenyewe wanaita ''bring bring'' kama wazee wa ngwasuma. Nikakwazika!
icon10.gif
 
Mimi naombeni kumpata Charity

hapo utahamia kinondoni makaburini AKA mwembe jini, maana status yako itabadilishwa kabisa

huyo ni wifi yangu usimguse utachomwa kisu cha tumbo
penda maisha, leave Charity alone baba......!!!
 
Hehehehe Semenya ndo saizi yako watu hawajui bana couple mm nasema Semenya ndo mnaendana kama bht na Nguli huyo B sio saizi yake kabisa.

Fide you can do anything to destory my happiness.....hayo ya kale na Nguli umeyafufulia wapi au ndo unamtaarifu Bala??

Masaki stick to BM!!!
 
jamani kuna nini umu ndani?????????.........kuna nini????????........... eeh, hebu niambieni nini kinaendelea...............

we pearl, niambie haraka nini kinaendelea hapa?????????? na hayo mapaka shume sijui mapaka jimmy sijui ma dkfoni sijui madokta phoni.............. eeeeh, hebu niambie haraka kabla sijafanya maamuzi magumu.................

na we shem bht ndio nini sasa mnanifanyia na twin wako............. hata kunitonya kuwa kuna watu wanasarandia nyumbani, hukujali............ kimya kabisaaaaaaaaaaa..................

Usizamishe meli ya wenzio mwaya!
Iache ielee. Usione vyaelea, vimeundwa!..huh!
 
basi sina budi kuapa mbele ya wana JF"mm pearl pelepetua nakubali kuwa na ww Paka jimmy paka,kuwa mume wangu wa ndoa lakini kama pesa zitakuwa hazipungui mfukoni,katika raha peke yake,shida zako na familia yako,katika uzim tu ugonjwa utajiju,hadi kifo kitutenganishe,ww kufa mm nachukua mtu mwingine.pasi apa na ww mume
wewe binti hujatulia kabisa
 
jamani kuna nini umu ndani?????????.........kuna nini????????........... eeh, hebu niambieni nini kinaendelea...............

we pearl, niambie haraka nini kinaendelea hapa?????????? na hayo mapaka shume sijui mapaka jimmy sijui ma dkfoni sijui madokta phoni.............. eeeeh, hebu niambie haraka kabla sijafanya maamuzi magumu.................

na we shem bht ndio nini sasa mnanifanyia na twin wako............. hata kunitonya kuwa kuna watu wanasarandia nyumbani, hukujali............ kimya kabisaaaaaaaaaaa..................
Wewe huna chako.Pearl kasema wazi kuwa kakuacha Solemba.Nadhani uwe mpole tu Pearl hataki walokole kama wewe.anataka wanywa valuu na wadumisha mila.
 
hapo utahamia kinondoni makaburini AKA mwembe jini, maana status yako itabadilishwa kabisa

huyo ni wifi yangu usimguse utachomwa kisu cha tumbo
penda maisha, leave Charity alone baba......!!!
Ngoja aamue mwenyewe bana bht inawezekana kaka yako amesha-bug step, ngoja nikaoongee naye faragha(PM) then utaona mwenyewe atakavyojibu
 
Fide you can do anything to destory my happiness.....hayo ya kale na Nguli umeyafufulia wapi au ndo unamtaarifu Bala??

Masaki stick to BM!!!

Hivi kuonja inaruhusiwa? Hasa kama umependekezwa kwenye couple zaidi ya moja?
icon10.gif
icon10.gif
icon10.gif
 
sasa unakwazika nn?hujui ukipenda boga?fata nyuki upate manundu

And you twinushka hebu behave kwa afya yangu jamani, presha inapanda sasa...... please!!
 
Hivi kuonja inaruhusiwa? Hasa kama umependekezwa kwenye couple zaidi ya moja?
icon10.gif
icon10.gif
icon10.gif

aaaaah I will withdraw my propose.......you are wasting my energy here!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom