May be watu wamechoka kutoa ushauri....sasa wameamua kujipa raha tu!!sijui siku hizi kuna nini hapa jf, hata sielewi lol!
jamani mbona mie mmenisahau!!!inakuwaje tena.!!!
ningemchagua pakajimmy lkn naona hadi viapo wameshakula,fidel naye namba aliyoizimikia sijui kama naweza shindana nayo,
mzee mwanakijiji namzimikia lkn namuheshimu sista fl sitaki ugomvi naye.
akili kichwani tayari ana mke wake pearl.
mnasemaje mimi na genekai,au masanilo,au au baba enock,au
ha ha ha hii ndo wanaita unaokota dodo chini ya mbuyu!! nipo mwaya haya twende tukapumzike!! Lol!Kimey mpenzi uko wapi twende zetu tukapumzike?????? wewe si semenya mmh
namtafuta Krolokwini ,mwenye habari zake ani PM tafadhari .
dawa ya Maralia popote ulipo ...jitokeze
zawadi nono itatolewa
May be watu wamechoka kutoa ushauri....sasa wameamua kujipa raha tu!!
Kwa hiyo so far couples ambazo zimependekezwa na wenyewe wameridhika ni kama ifuatavyo;
1. FL1 na Mwanakijiji
2. PakaJimmy na Perl
3. JS na Kimey
4.Lilyflower na Boss
5.
6.
7.
Endeleeni kujaza
We we we hujipendi wewe nakumabia utajibeba, ngoja fudenge fudenge aje hapa patachimbika.Mimi naombeni kumpata Charity
Yaani thanks sisy umenikumbusha lunch ngoja niende.Currently Active Users Viewing This Thread: 46 (28 members and 18 guests) FirstLady1, Ambassador+, Amoeba, bht, Bigirita, carmel, Charity+, Che Kalizozele, D5, elimumali, Fugwe, Gender Sensitive+, ICU, Jozdon, Kimey, Lily Flower, m-bongotz, mayenga, Mkorintho, muka, Mwita Maranya, Nasolwa, nyangoma, Nyuki, PakaJimmy+, queenkami, SMU, Tripo9
Du wale mlioko Bongo sidhani kama mmeshapata Lunch kiukweli!!!
Jamani mwenzio naogopa.
carmel hako kachanga ni kweli ama??sijui siku hizi kuna nini hapa jf, hata sielewi lol!
ndo ukweli wenyewe huo babukijanacarmel hako kachanga ni kweli ama??
Du ulikuwa na appointment naye?Jamani BWABWA mmemuona wapi.........
Jamani BWABWA mmemuona wapi.........
Jamani BWABWA mmemuona wapi.........
Du ulikuwa na appointment naye?
acha kutuchafulia hali ya hewa humu