Couples za JF ni hizi...!

Couples za JF ni hizi...!

Hivi kuonja inaruhusiwa? Hasa kama umependekezwa kwenye couple zaidi ya moja?
icon10.gif
icon10.gif
icon10.gif
hapana Kaka, unataka watu wa-colapse within a minute........kwamfano kuna waliopendekezwa kwa watu zaidi ya kumi wataonjeka mara ngapi!! Mmmh!!
 
Dah! Hivi ilikuwaje akasahaulika huyu? Mimi naona ataendana sana na Baba Enock!

kwa huyo atakuwa analia kila siku...she is delicate and frigille (na ulimwengu wake wa kufikirika)
BK atamfaa sana......
 
hata mimi nilikwazika on your behalf binamu haaaa!!! voda to voda au inakuwaje???

eeeeh wakwetu kumbe ndo hivyo...nilikuwa sijajua.....kweli nimewakwaza
 
wewe bht utamu wa bia za sisiem unaongezeka kadri Oktoba inavyojongea

hahaaa kumbe zina uhusiano wa moja kwa moja na uchaguzi eeeh, nilidhani rangi tu
 
aaaaah I will withdraw my propose.......you are wasting my energy here!!!
Afadhali umechagua fungu lililo jema.......bora kukosa kuliko kuonja onja au kuonjwa onjwa.......kwani karanga hizi/hizo
 
aaaaah I will withdraw my propose.......you are wasting my energy here!!!

Was is it too much to ask? My intention is to guide those who have been nominated more than once..........!!
icon10.gif
 
my dream is pearl and cheusimangala and carmel before not now,kuna yeyote yuko tayari hapo?
 
hapana Kaka, unataka watu wa-colapse within a minute........kwamfano kuna waliopendekezwa kwa watu zaidi ya kumi wataonjeka mara ngapi!! Mmmh!!

Lilikuwa swali, sio pendekezo.........!!!

Samahani kama nitakuwa nimewakwaza!
 
sijui siku hizi kuna nini hapa jf, hata sielewi lol!
 
Kwa hiyo so far couples ambazo zimependekezwa na wenyewe wameridhika ni kama ifuatavyo;

1. FL1 na Mwanakijiji
2. PakaJimmy na Perl
3. JS na Kimey
4.Lilyflower na Boss
5.
6.
7.

Endeleeni kujaza



Mweeee braza Masaki mmmh lol!!!
 
my dream is pearl and cheusimangala and carmel before not now,kuna yeyote yuko tayari hapo?

bht unaona sasa! Nimekwambia Baba Enock atamfaa Mwanajamii One! Huyu babukijana wako unayempigia debe hajatulia!
 
jamani mbona mie mmenisahau!!!inakuwaje tena.!!!
ningemchagua pakajimmy lkn naona hadi viapo wameshakula,fidel naye namba aliyoizimikia sijui kama naweza shindana nayo,
mzee mwanakijiji namzimikia lkn namuheshimu sista fl sitaki ugomvi naye.
akili kichwani tayari ana mke wake pearl.
mnasemaje mimi na genekai,au masanilo,au au baba enock,au
 
Kimey mpenzi uko wapi twende zetu tukapumzike?????? wewe si semenya mmh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom