Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,235
Kwa hiyo huu ndio ujumbe kuwa umemwacha Solemba? Na alivyokuwa anajidahi? mbona atakuwa mdogo!teh teh! una mambo binti wewe.Mie yangu mackio na macho ya kuangalia screen.jamani akili kichwani ni mlokole si mwaji wa valuu wala mzee ya totozzzzzz,naona presssure inapanda pressure inashuka!